mheshimiwa na shujaa wetu, hon,Dr. harrison mwakyembe amefiwa na mpendwa Mama yake mzazi, kwa mujibu wa mtangazo ya vifo ya radio free afrika monitored here in meya this morning, mpendwa marehemu mama huyu atazikwa huko kyela siku ya jumatano
POLE SANA DR. MWAKYEMBE, MUNGU AKUTIE NGUVU!
dah ni Dec mwaka jana tu......alikuwa kwenye hali kama hiyo tena....Pole sana Mh Mwakyembe