Mshkaji wa karibu kammega demu wangu

uliza kwanza msaada gani nilimsaidia/?
jamaa alikuja akawa anaishi kwanggu kwa mda so hapo ndio alivyojuana na demu wangu
hope umenipata

...alaa...Ok, mimi nilikusoma msaada wa kifedha na kazi tu.
Pole bana.


wakuu hapa nilipo maleria hadi imepanda kichwani baada ya demu wangu niliyekuwa namwamini kumegwa na mshkaji wangu wa karibu sana ambaye nilishamsaidia sana (kifedha) na hadi kupata kazi ...

...sasa vipi demu wako, bado unaye? ushamsamehe?

.... cha msingi temana na hako ka demu au kama una moyo wa kusamehe poa tu... kwani nini kaka ile kitu si haisomi kilometa mzee..we komaa nayo kama vipi...

cha msingi sana katika maamuzi yako mie nilishashauriwa na mzee wangu kwamba USIMWAMINI MTOTO WA KIKE HATA KWA DAKIKA MOJA... Akili kumkichwa,

...contradictory statements hizo Easymutant!
Mimi ningemshauri aendelee kuamini, ila awe mwangalifu.
 
wakuu hapa nilipo maleria hadi imepanda kichwani baada ya demu wangu niliyekuwa namwamini kumegwa na mshkaji wangu wa karibu sana ambaye nilishamsaidia sana (kifedha) na hadi kupata kazi
sasa hapa nifanyeje?
nakumbuka kaka yangu aliniambia kuwa nisiwe nasaidia kila mtu
kuanzia leo sitasaidia mtu kitu chochote nadhani hii sio dhambi bora lawama kuliko fedheha, na kama nitakuwa nataka kutoa msaada bora nipeleke kwenye vituo vya kulelea watoto kuliko kumsaidia binadamu.
kimwanamke chenyewe kinajifanya kukataa kimeruka hadi mita mia kukataa
sijui nikiache, kudddkkkki
nawashauri msiwe mnasaidia watu kama sio ndugu yako wa tumbo moja.
na kama huamini ipo siku itakuja kupata yaliyonipata leo

Kuna watu wamemegewa wake zao na ndugu yake wa tumbo moja,yaani amemtoa kijijini,amemsomesha,amemlisha,kamvika na kamtafutia kazi na bado anatembea na mke wake(shemeji yake)!!!Bora wewe amemega mshikaji wako.Anyway hujasema umejeuaje au kuhakikisha kama ni kweli,kama ni kweli basi achana nae ila usiache kusaidia watu ila usiwaamini watu.Binadamu hawafanani tabia.
 
PJ sio kweli kabisa huyu mtoto anapata kila kittu na ninavyoona jamaa alianza kumfuatilia mda sana ...na walitumia huu mwanya niliposafiri kwenda nje ya nchi .. dah!! but sema bado sijafunga bdoa ningeua jamaa yule

...delusions!, ...nikikwambia u list kila kitu anachokipata utaweza?
Kuna kitu kimekosekana mzee, rudia kwenye drawing board.
 
Pole sana kwa maumivu. Unaonekana umepatwa na hasira sana hata hujui unachokisema. Mara Maleria imepanda na kwamba huoni sababu ya kumsaidi mtu mwingine labda ndugu yako wa damu na watoto katika vituo vya kulelea watoto...

Ushauri:
Tuliza akili na mawazo yako taratibu. Tulia na usichukue hatua ya kukurupuka tu. Chunguza na kupata ukweli. Tafakari na kufanya uamuzi wa busara.
Kila la kheri...
 
Kuna watu wamemegewa wake zao na ndugu yake wa tumbo moja,yaani amemtoa kijijini,amemsomesha,amemlisha,kamvika na kamtafutia kazi na bado anatembea na mke wake(shemeji yake)!!!Bora wewe amemega mshikaji wako.Anyway hujasema umejeuaje au kuhakikisha kama ni kweli,kama ni kweli basi achana nae ila usiache kusaidia watu ila usiwaamini watu.Binadamu hawafanani tabia.

..mnh, kwenye mambo haya hakuna bora fulani bana,...LOL!
 
Hapo kwenye mstari naona unapotosha kaka. Si vizuri kumega mademu za watu ipo siku yanaweza kukutokea puani ukajuta kuzaliwa. Pia ukumbuke maradhi na kikombe cha babu ni kimoja tu bora uchukue tahadhari. Tabia za kumega mega zimepitwa na wakati. Mbona wapo mademu chungu nzima hawana wanaume sasa hawa wa wenzenu mnawatamania nini?

Mwanamke kama hajaolewa yupo huru kumegwa na mtu yeyote. Hakuna Sheria inayokulinda kama hujafunga Ndoa. Kwa maana hiyo hakuna kitu kinachoitwa DEmu Wako, kisheria kinachoelewekani MKE WAKO. Halalisha kabla hatuja kumegea na wewe.
 
umemtuhumu demu wako lakini umekimbilia mabo ya msaada na hivyi kuharibu habari yote........

kaka kusaidia wewe saidia wala uskate tamaa.....umemuuliza demu wako amekataa( mita mia) je umemuuliza huyo rafiki yako?....bado anakaa kwako?....ilikuwaje mpaka ukajua kuwa rafiki yako amemega demu wako?......halafu kwa mbali inaonekana kama huyo demu wako ulikuwa humuheshimu( kuna neno hapo juu kwenye habri yako umelitumia) pengine ndio maana imetokea kitu kama hicho......halafu kaka nikwambie....unafanya makosa sana kusema/kutwambia kuwa tusisaidie watu kama sio tumbo moja....hili ni kosa kubbwa sana kamanda....mimi huku niliko naishi na watu na ambao tunasaidiana kuliko hata ndugu.......tamaa za demu wak na rafiki yako zisikufnaye ukabadili mfumo mzima wa maisha......hata ukifa mara nyingi watu baki huwa ndio wanappiga koleo pale kaburini kukuzika tena wengine hawakuwahi kukutana na wewe wakati wa uhai......so we saidia bwana....by the way kaka halua haina kipolo mpige chini na tafuta mwingine....kwani nini upashe kipolo wakati vya kupikwa vipo?
nilikamata meseji kwenye simu yake ,mimi huwa sina tabiuia ya kuangalia au kushika simu ya sichana wangu huwa nampa uhuru sana na simu yake so niliporudi , akaja kwangu alipoenda kuoga mesji ikaingia nilipoisoma jamaa(mshkaji wangua) akawa amemuandikia kumuuliza kama nimerudi k(kumbuka nilikuwa safarini) ila mda mwingi sana naspent na huyu mwanamke na nilipoendelea kusoma meseji nikakuta meseji kibao na wote nikiwauliza mwanamke anaruka hana cha kujitetea lakini na jamaa katoka nduki na line kabadilisha
 
...delusions!, ...nikikwambia u list kila kitu anachokipata utaweza?
Kuna kitu kimekosekana mzee, rudia kwenye drawing board.

hapa namaanisha hadi unyumba na mimi nipo strong ndugu yangu ,msichana wangu wa kwanza niliishi naye kwa miaka mitano kabla sijaenda masomoni kwa mda mrefu ndio akaolewa na yeye hakuwahi kunifanyia huu upuuzi ndio maan hata na huyu nikawa namwamini sana
 
wakuu hapa nilipo maleria hadi imepanda kichwani baada ya demu wangu niliyekuwa namwamini kumegwa na mshkaji wangu wa karibu sana ambaye nilishamsaidia sana (kifedha) na hadi kupata kazi
sasa hapa nifanyeje?
nakumbuka kaka yangu aliniambia kuwa nisiwe nasaidia kila mtu
kuanzia leo sitasaidia mtu kitu chochote nadhani hii sio dhambi bora lawama kuliko fedheha, na kama nitakuwa nataka kutoa msaada bora nipeleke kwenye vituo vya kulelea watoto kuliko kumsaidia binadamu.
kimwanamke chenyewe kinajifanya kukataa kimeruka hadi mita mia kukataa
sijui nikiache, kudddkkkki
nawashauri msiwe mnasaidia watu kama sio ndugu yako wa tumbo moja.
na kama huamini ipo siku itakuja kupata yaliyonipata leo
samahan
kama ni kweli shukuru mungu umemshtukia mapema.
ila na wewe ulitoka wapi na hicho kicheche, inaelekea mungu amekupa copy yako hivi au ........
 
nilikamata meseji kwenye simu yake ,mimi huwa sina tabiuia ya kuangalia au kushika simu ya sichana wangu huwa nampa uhuru sana na simu yake so niliporudi , akaja kwangu alipoenda kuoga mesji ikaingia nilipoisoma jamaa(mshkaji wangua) akawa amemuandikia kumuuliza kama nimerudi k(kumbuka nilikuwa safarini) ila mda mwingi sana naspent na huyu mwanamke na nilipoendelea kusoma meseji nikakuta meseji kibao na wote nikiwauliza mwanamke anaruka hana cha kujitetea lakini na jamaa katoka nduki na line kabadilisha

hapo sasa nimekupata mkuu...sasa fanya hivi...kwa hekima kabisa achana na huyo dada tena bila kufanya chochote...Ignore mkuu wangu....na piga moyo konde.....hiki kisa chako kinafanana kabisan na cha ndugu yangu mmoja....yeye alipinduka na gari na kulazwa kcmc....rafiki wa karibu wa yule ndugu yangu akawa anamega mke wa ndugu yangu....ndugu yangu aliporudi akayapata maneno na na gest waliyokuwa wanaenda.....siku moja mtego ukawekwa kati ya ndugu yangu na mhudumu wa gesti...wale walipokuja basi ndugu yangu akastuliwa akaenda pale pamoja na watu wengine kama 5 hivi .....akappewa fungu ya ziada ya kile chumba...akafungua na kuwakuta wanafanya mambo....(wacha nikuchekeshe kitu yule jamaa hakushuka pale mpaka alipomaliza) huku rafiki (ndugu yangu) yupo pembeni anawaangalia.....walipomaliza akamuuliza yule jamaa..''kwa nini unanifanyia hivi?''yule jamaa akamjibu ndugu yangu kwamba...''chanzo ni mke wako''....baada ya jibu hilo ndugu yangu aliridi home + wale watu wengine( mashuhuda) na kukaa kimya..yule mama aliporudi alitamani kupigwa lakini ndugu yangu alikaa kimya hadi mwanamke alitoroak na kwenda kwako ambako aliishia kujiua.......ndugu yangu yupo anaendelea na maisha kama kawa na alipata mwanamke mwingine akaoa na maisha yanaendelea......Malaria haina haja ya kukupanda kichwani kaka.....tulia na fanya shughuli zako...tumeumbwa kusahau kaka nawe hili litapita wala usijali

 
kamwe usimwamini binadamu yoyote katka mapenzi, pili acha kuishi na binti kwa miaka mingi kama unampenda halalisha muishi kwa uhuru zaidi

achana na huyo binti kwani Mungu amekuonyesha tabia yake mapema, piga goti utapata mke mwema.
 
Pole kwa kumegewa Demu wako, Najua Inauma Sana.
Lakini Endelea na Moyo wa kusaidia watu, Hakuna uhusiano wa kusaidia mtu na kumegewa demu wako.

Kwa kupunguza machungu, tafuta Demu wa mshikaji na wewe ummege. Kumbuka Madem ndio urithi pekee tulioachiwa sisi.
ohh kumbe ndio urithi pekee tulioachiwa nimefunguka macho :lol:
 
jamaa alikuwa anaishi kwangu wakati anatafuta kazi nilimsaidia sana hadi kifedha lakini mwisho wa siku ndio kaja kunifanyia mambo kama haya

Ha ha ha ha wewe ulitakaje sasa unakwenda kazini unachelewa kurudi jamaa akawa anajisevia pole mwaya ndo ukubwa huo
 
uliza kwanza msaada gani nilimsaidia/?
jamaa alikuja akawa anaishi kwanggu kwa mda so hapo ndio alivyojuana na demu wangu
hope umenipata


Sasa unatulalamikia nini; huoni kuwa hata huko kumegewa , demu wako alikuwa anaendeleza tabia yako njema ya kutoa msaada panapohusika?

We enedelea kusaidia tu na demu wako usimwache kwa kijimambo kama hiki bana! Isitoshe utampata wapi mwingine mtakayerandana namna hiyo kitabia?
 
I'm not getting this!! Ni kwamba mwanamke alimegwa bila ridhaa yake. Kwamba alikuwa kajikalia tu na jamaa akawa na hamu ya kufanya kwa hiyo akamgeuza huyo mwanamke na yeye bila pingamizi akageuka tu.

Kwa maneno mengine mwanamke alikuwa hataki kufanya. Kila kitu kilifanywa na mwanamme. Huyo mwanamke hakuwa na usemi wowote juu ya mwili wake na jinsi ulivyotumiwa na huyo mshikaji..

Daaah nachoka kabisa. Mwanamme habithi kabisa huyo kwa kummega demu wa mshikaji wake....
 
...alaa...Ok, mimi nilikusoma msaada wa kifedha na kazi tu.
Pole bana.




...sasa vipi demu wako, bado unaye? ushamsamehe?



...contradictory statements hizo Easymutant!
Mimi ningemshauri aendelee kuamini, ila awe mwangalifu.

hakuna contradictori yoyote hapo .. nimesema jamaa aliishi kwangu na nilikuwa namsaidia hadi fehdha i mean malazi na pesa
 
Sasa unatulalamikia nini; huoni kuwa hata huko kumegewa , demu wako alikuwa anaendeleza tabia yako njema ya kutoa msaada panapohusika?

We enedelea kusaidia tu na demu wako usimwache kwa kijimambo kama hiki bana! Isitoshe utampata wapi mwingine mtakayerandana namna hiyo kitabia?
sio lazima kucomment kila thread inayowekwa hapa zikine piga kimya kula lapa ok? wewe hujui nipo kwenye hali gani ..wewe na wewe si utaoa mwanamke? au unadhani mke wako atakuwa sio binadamua
 
Back
Top Bottom