Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #81
sijui kwa nini tunaowathamini,kuwaamini,kuwajali mwisho wa siku huwa ndio wa kwanza kutuumiza....
shost we acha tu
sijui kwa nini tunaowathamini,kuwaamini,kuwajali mwisho wa siku huwa ndio wa kwanza kutuumiza....
LD we acha tu ...majini hayaonekani bana ni mindoto tu ile achana nayo .... huyu binti namwangalia hadi sim-malizi ......Mmmmh pole Ivuga.
Usikute ni lile Jini Mahaba linakuharibia mambo aisee.
<br /><br />
<br /><br />
<br />
mkuu PJ kuna mademu wengine ni madege yasiyoliwa kaka haijalishi anaridhika au la, nadhani wana pepo wa ngono
LD we acha tu ...majini hayaonekani bana ni mindoto tu ile achana nayo .... huyu binti namwangalia hadi sim-malizi ......
Ni yule jini mahaba au mwengine?
Ndio limeona Demu wako anampa kauzibe, likaona bora amsukumie kwa jamaa yako huyo.
Huyu hawa wana nguvu aisee.........
Dah, na ulivyo lisifia lilikuwa linakuona na kusikia lol.
Pole sana mkuu, rafiki mkia wa fisi.........., rafiki mkia wa komba ukiuchezea uta...........................We endelea kusaidia watu bana kila mtu na tabia yake.
mkuu hivi kweli mtu kakumegea demu wako uliyekuwa unamuaminithen unahata nguvu za kukaa naye chini ati kuongelea kwa nini alimmega msichana wako?? mimi sina hii pumzi but nashukuru kwa ushauri rafikiPole sana kwa hiyo misfortune. Wanasema kila jambo liwe baya au zuri linalomtokea mtu basi kuna asilimia fulani anahusika.
Tukio hilo baya ni funzo kwako/kwetu pia kujua wapi tunakosea mathalani kumwamini mtu kupita kiasi, kutoa fursa kwa rafiki kuwa karibu na mpenzi wako na mengine mengi. Lengo ni kujifunza yasikutokee tena maishani.
Kuhusu huyo she ni wazi kuwa hakufai kwa maana ya kutokukuheshimu kwa kutembea na mtu anayekufamu let alone kucheat. Find sometime ongea nao wote kuregister malalamiko yako na kujua kwanini? Hilo litakusaidia sana kwani maisha lazima yaendelee.
sitoacha kusaidia mtu kwa sababu tu umemegewa na aliyekumegea ni mtu wako wa karibu/rafiki yako wa karibu na hilo pekee halitoshi kuacha kumsaidia mtu.. Sasa mzee kama umemegewa na best friend tu marelia inapanda hadi kichwani je ukimegewa na mdogo wako au kaka yako wa tumbo moja? Si utakufa kabisa? Cha msingi temana na hako ka demu au kama una moyo wa kusamehe poa tu... Kwani nini kaka ile kitu si haisomi kilometa mzee..we komaa nayo kama vipi...
Cha msingi sana katika maamuzi yako mie nilishashauriwa na mzee wangu kwamba usimwamini mtoto wa kike hata kwa dakika moja... Akili kumkichwa,
Ujue IVUGA namuheshimu sana kwa michango yake hapa jukwaani ndio maana niliamua kukaa kimya bila kuchangia nione je wanaJF tunakumbuka thread za nyuma au kila siku ikiletwa thread mpya tunaanza kuchangia? Jamaa mara kaoa, mara amekumbwa na jini mahaba na sasa kamegewa demu story za jama hata za alfu lela ulela hazioni ndanihuyu na yeye anatuyeyusha sana bana! mara kamegewa , mara jini mahaba, mara waifu kenda msalani mimba imetoka! hizi skript zake zinafanana na za king majuto.
wakuu hapa nilipo maleria hadi imepanda kichwani baada ya demu wangu niliyekuwa namwamini kumegwa na mshkaji wangu wa karibu sana ambaye nilishamsaidia sana (kifedha) na hadi kupata kazi
sasa hapa nifanyeje?
nakumbuka kaka yangu aliniambia kuwa nisiwe nasaidia kila mtu
kuanzia leo sitasaidia mtu kitu chochote nadhani hii sio dhambi bora lawama kuliko fedheha, na kama nitakuwa nataka kutoa msaada bora nipeleke kwenye vituo vya kulelea watoto kuliko kumsaidia binadamu.
kimwanamke chenyewe kinajifanya kukataa kimeruka hadi mita mia kukataa
sijui nikiache, kudddkkkki
nawashauri msiwe mnasaidia watu kama sio ndugu yako wa tumbo moja.
na kama huamini ipo siku itakuja kupata yaliyonipata leo
Msaada na mapenzi vitu wviwili tofauti braza. We ulihonga na sio kuwa ulisaidia.
Sasa labda ungesema hutakiwi kumhonga mtu ambae sio ndugu yako?? I think ingesaund vyema Unaposaidia hutegemei reward kutoka kwa mtu unaemsaidia ni swala la wewe kutenda mema bila kutegemea malipo. Kama ulikuwa unategemea fadhila huo sio msaada ni KUHONGA.
My Take: Nitaendelea kusaidia binadam yeyote ambae naona anahitaji msaada wangu na si ndugu pekee maana hata ndugu wanaweza kukudispoint vilevile!!!!
mkuu hii kitu imetokea kiukweli na sio kambaUjue IVUGA namuheshimu sana kwa michango yake hapa jukwaani ndio maana niliamua kukaa kimya bila kuchangia nione je wanaJF tunakumbuka thread za nyuma au kila siku ikiletwa thread mpya tunaanza kuchangia? Jamaa mara kaoa, mara amekumbwa na jini mahaba na sasa kamegewa demu story za jama hata za alfu lela ulela hazioni ndani
mkuu hii kitu imetokea kiukweli na sio kamba
Kaka na Yule Jini mshapigana chini??au ndo atakuwa kamshawishi mshikaji akumegee??Maana yale madude hayatabiriki!!
Usiache kusaidia mtu kwa sababu mtu mmoja kakufanyia ubaya,huu sio mtamazo unaojenga!Dem na mshikaji wako woote kimeo so kula kona songa mbele
pole kwa kumegewa demu wako, najua inauma sana.
Lakini endelea na moyo wa kusaidia watu, hakuna uhusiano wa kusaidia mtu na kumegewa demu wako.
Kwa kupunguza machungu, tafuta demu wa mshikaji na wewe ummege. kumbuka madem ndio urithi pekee tulioachiwa sisi.
du........Pole kwa kumegewa Demu wako, Najua Inauma Sana.
Lakini Endelea na Moyo wa kusaidia watu, Hakuna uhusiano wa kusaidia mtu na kumegewa demu wako.
Kwa kupunguza machungu, tafuta Demu wa mshikaji na wewe ummege. Kumbuka Madem ndio urithi pekee tulioachiwa sisi.