Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,746
- 861,153
Copy link text nenda google Kai paste itafungukaMshana Jr link ulizoweka hazifunguki View attachment 3661472
Copy link text nenda google Kai paste itafungukaMshana Jr link ulizoweka hazifunguki View attachment 3661472
Mkuu Mshana Jr nakukumbushqa nilishawahi kukuomba utuandikie uzi kwa nini ofisi kubwa kubwa kunakuwa na maua ambayo ni ya asili ?
Majina yake kama Ulimi wa Mama Mkwe, Aloe Vera, Jerusalem flower etc huwa yana maana gani ? Kuna siri gani ?
Mshana ana special thread???Naomba Brother Mshana Jr aweke link za NYUZI zake zote kwenye hii part iwe rahisi kupata content zake za miaka ya kale.
tangu enzi za South Africa kujifunza ubuddist na uchawi mpaka kuokoka na kumrudia Sr.God.
Naomba iwepo, mods weekeeni piniKuna ubaya ikiwepo?
kwani akiwa na thread kuna ubaya?Mshana ana special thread???
Nakubali kwansababu sayansi mimea bado sua Wana suasua.
Kuna watu hawajui kwamba kuna muda unatakiwa ulale na bakuli la maji safi chumbani ili kuhakikisha O2 inakiwepo