Abdul kalaam
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 435
- 545
Mwache ale bata hata ungekuwa wewe ungefanya hivowakati huohuo mama yenu anazurura tu duniani kwa lidege lenu la gharama na msururu wa watu. kifupi anakula bata tu.
Mwache ale bata hata ungekuwa wewe ungefanya hivowakati huohuo mama yenu anazurura tu duniani kwa lidege lenu la gharama na msururu wa watu. kifupi anakula bata tu.
Kama leo hajalipa itakuwa keshoPoleni sana watumishi
Mpaka muda huu kimya. Hii sio kawaida kabisa.Kweli inashangaza siamin km kuna watu hawajapata salary, mi nimepata toka jana ni kuzitungua hela hata kazin cjaenda
Siyo kawaida kabisa kuna shida pahalaMpaka muda huu kimya. Hii sio kawaida kabisa.
Tembelea mof.labda utapata update.Siyo kawaida kabisa kuna shida pahala
Acha utani basi wewe ni askari au halmashauriHatimaye nimepata changu
Hapana ni shirika la serikali tuAcha utani basi wewe ni askari au halmashauri
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Basi umepata pekeyakoHapana ni shirika la serikali tu