round kick
JF-Expert Member
- Feb 3, 2025
- 935
- 3,014
Tumezoea kusikia wasanii wa nchi kama Kenya wakilalamika wasanii wa nje kulipwa zaidi yao lakini hawaiachi pesa iende, Huko Ghana hali imekuwa tofauti, bilionea aliita wasanii watoe burudani kwenye Birthday yake, msanii maarufu wa Ghana alipogundua wasanii wa nje wamelipwa zaidi yake alirudisha pesa zote kwa tajiri.
Msanii maarufu wa Ghana Shatta Wale amerudisha kiasi cha $200,000 (Tsh Milioni 532+) alicholipwa kwa ajili ya kutumbuiza kwenye sherehe ya bilionea Richard Nii Quaye.
Ni baada ya kugundua kupitia vyanzo vyake makini kuwa Diamond Platnumz alilipwa $600,000 (Tsh Bilioni 1.5) na Davido alilipwa $500,000 (Tsh Bilioni 1.3) kwa sherehe hiyo hiyo, huku yeye akilipwa kiasi cha $200,000
Hii ni baada ya show, Diamond aliwamwagia Dola dancers wake wa Ghana, Noti moja ya dola 100 ni zaidi ya shilingi laki 2 na nusu.
Habari zinazotrend mitandao ya Ghana na Nigeria Diamond na Davido kulipwa mkwanja mrefu.
Msanii maarufu wa Ghana Shatta Wale amerudisha kiasi cha $200,000 (Tsh Milioni 532+) alicholipwa kwa ajili ya kutumbuiza kwenye sherehe ya bilionea Richard Nii Quaye.
Ni baada ya kugundua kupitia vyanzo vyake makini kuwa Diamond Platnumz alilipwa $600,000 (Tsh Bilioni 1.5) na Davido alilipwa $500,000 (Tsh Bilioni 1.3) kwa sherehe hiyo hiyo, huku yeye akilipwa kiasi cha $200,000
Hii ni baada ya show, Diamond aliwamwagia Dola dancers wake wa Ghana, Noti moja ya dola 100 ni zaidi ya shilingi laki 2 na nusu.
Habari zinazotrend mitandao ya Ghana na Nigeria Diamond na Davido kulipwa mkwanja mrefu.