Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Mkuu Mwafrika Wa kike,
Heshima mbele, hata siku moja sijawahi kutishika mkuu, huo u-moderator wako haunitishi hata siku moja mkuu, ya PM ni ya PM, huwa hata siku moja mambo ya siri kwenye Pm, huwa siyaweki hapa na ninayo mengi tena sana mkuu,
Kwenu wewe na Lunyungu, ninachosema ni kwamba hata siku moja msimamo wangu hapa hautabadilika, Sherehe ya mama Migiro, nilihudhuria kama wa-bongo wengine wote nikiwa NY, Muungwana akiwa huko pia nilikuwepo kushiriki kwenye futari, Yes I said it, lakini sikumbuki kusema kuwa ninaishi Ny, au mahala popote duniani, maana haibadilishi hata kitu kimoja katika mawazo yangu, au labda nitaogopa na kuwafuata mawazo yenu, hiyo haitakuja kutokea!
Inaonekana hatuwezi kuukwepa unazi hapa, mnaweza kuendelea nao, lakini mimi hata siku moja nitaendelea na taifa, unazi hata siku moja, kama ni kutumia huo u-moderator wako kutaka kunitisha nafikiri unaelewa hilo mkuu, jawabu lake ni simple msimamo wangu siku zote ni ule ule, hakuna mtu yoyote hapa anyekatazwa kuandika anything kwenye PM, ila nimeshitushwa na huu mchezo mpya wa Lunyungu akisaidiwa na wewe, nilijua kuwa it is only a matter of time, kabla hujajitokeza mwenyewe, karibu mkuu nipo, na siendi kokote na sibaidili msimamo hata siku moja,
Viongozi wa CCM wamezomewa, na pia kiongozi mmoja wa upinzani, amezomewa, hizo ni fact hakuna opinion, mimi ni mwanachama wa CCM tena hai, and proud of it, CCM chama changu kina matatizo mengi ya uongozi mbovu, kutokana na kuwa na baadhi ya viongozi wabovu hilo sina tatizo kukubali, na ninaamini kuwa as a nation tunahitaji mabadiliko ya katiba na kisiasa, ili kuimarisha demokrasia tuliyonayo tayari, na kwenye sitalala hata siku moja mpaka kieleweke, lakini kwenye unazi au kubadilika kwa sababu ya kutishiwa na ID, au anything, hata siku moja!
I am here to stay wakuu, siendi kokote wala sibadiliki!
hata wewe mkuu humtishi yeyote kwa hiyo we are all here to stay kama vile JF ilivyo here to stay bila kujali mbinu za watu kuanza kuipondea ili kuiharibu.
Utakachoamua kufikiria kuhusu mimi it is up to you. You dont know who I am na ninachofanya hapa JF.
All I know ni kwamba wewe umejaribu kudisclose ID za watu kutumia PM (most of the time ukiwa wrong) na I stand by what I said. Historia yangu hapa nimekuwa nakuheshimu na nitaendelea kukuheshimu. Otherwise ukitishia kutoa ID za watu basi you are very welcome coz most people can play that game!