Kwanini fundi asikuoneshe alizojenga yeye.Wakuu mambo vp nahitaji kudecoration sebule mwenye picha kali za decorations naomba atupie apa niweze kumuonyesha fundi wangu aweze kunijengea.
Fundi hana cm kubwa anatak anipeleke site alikojenga ila me mda uwo cn kwa kweliKwann fundi asikuoneshe alizojenga yy?
Una hela?Wakuu mambo vp nahitaji kudecoration sebule mwenye picha kali za decorations naomba atupie apa niweze kumuonyesha fundi wangu aweze kunijengea.
Yeah ikiwa itanipendez kwel nitatoa ila stak pic za inst wala fbUna hela?
Huko Instagram unapokataa ndo kuna ideas kibaoYeah ikiwa itanipendez kwel nitatoa ila stak pic za inst wala fb
Nimeshaona ila naona hakuna jipya ideas zot zinafananaHuko Instagram unapokataa ndo kuna ideas kibao
Jaribu pia na Google,youtube unaweza kupata kitu kipyaNimeshaona ila naona hakuna jipya ideas zot zinafanana
ShukranJaribu pia na Google,youtube unaweza kupata kitu kipya
Shukran ndugKila la laheri katika kupendezesha sebule yako ndugu.
Ok shukranIngia Pinterest Kuna ideas nyingi
Kama fundi wako hana sample ya kazi zake una uhakika ukipata picha ataweza kutengeneza kama inavyopaswa?Wakuu mambo vp nahitaji kudecoration sebule mwenye picha kali za decorations naomba atupie apa niweze kumuonyesha fundi wangu aweze kunijengea.
Ataweza jamaa yupo vizuri san ila kinachomharibia ni stareh yake anatumia mihadarati yaan hafanyi kaz kama hajavuta unga icho ndo kinachomrudisha nyuma amesha disigne mrocho kesh tukijaliw anaanza kujenga ukikamilik nitakuja kutupia pic apaKama fundi wako hana sample ya kazi zake una uhakika ukipata picha ataweza kutengeneza kama inavyopaswa?
Au simu hana mbona atakuwa yuko ulimwengu wa peke yake kikazi...
oky vzur...Ataweza jamaa yupo vzr san ila kinachomharibia ni stareh yake anatumia mihadarati yaan hafanyi kaz kama hajavuta unga icho ndo kinachomrudisha nyuma amesha disigne mrocho kesh tukijaliw anaanza kujenga ukikamilik nitakuja kutupia pic apa
Shukran sana boss nimeshafanikisha