Salaam wakuu!
Sisi sote ni watanganyika na wazanzibari tunaoishi kwa kupendana kwa kudumisha udugu wetu.
Naomba mwenye sample ya andiko la mrad wowote anisaidie.
Kama mtanganyika nahitaji kuandaa andiko langu ili niweze kujitafutia walau riziki yangu.
Naomba msaada tfadhali.
Sisi sote ni watanganyika na wazanzibari tunaoishi kwa kupendana kwa kudumisha udugu wetu.
Naomba mwenye sample ya andiko la mrad wowote anisaidie.
Kama mtanganyika nahitaji kuandaa andiko langu ili niweze kujitafutia walau riziki yangu.
Naomba msaada tfadhali.