donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,047
- 21,523
Habari wakuu,
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, ninahitaji msaada wa kupata connection ya mtu au kampuni ambayo wanahusika na kusafirisha wanyama.
Nina mbwa wangu mdogo GSD ninahitaji kumsafirisha kutoka Dar kumpeleka Dodoma ila changamoto ni usafiri.
Naomba msaada ndugu zangu au hata kwa mtu anayefahamu yoyote mwenye private car ambaye hua anapiga route za Dar - Dom aweze kuniunganisha.
Asante
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, ninahitaji msaada wa kupata connection ya mtu au kampuni ambayo wanahusika na kusafirisha wanyama.
Nina mbwa wangu mdogo GSD ninahitaji kumsafirisha kutoka Dar kumpeleka Dodoma ila changamoto ni usafiri.
Naomba msaada ndugu zangu au hata kwa mtu anayefahamu yoyote mwenye private car ambaye hua anapiga route za Dar - Dom aweze kuniunganisha.
Asante