kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,077
- 8,132
Wakuu salaam sana.
Nimepata kamtaji kidogo nataka nijiongeze nianzishe biashara ya kuagiza laptops used toka Uk.
Tayari nina contacts na suppliers kadhaa ambao wameonesha utayari wa kufanya nao biashara.
Tatizo langu kubwa na lilofanya niombe ushauri ni kuhusu kiwango cha kodi wanachotoza kama ushuru wa customs kwenye aina hii ya bidhaa nisije nikatelekeza mali yangu kwa wazee wa TRA baada ya kununua na kulipia mzigo kabisa.
Kama kuna yoyote ana uzoefu na hii kitu au anajua naomba msaada tafadhali.
Nimepata kamtaji kidogo nataka nijiongeze nianzishe biashara ya kuagiza laptops used toka Uk.
Tayari nina contacts na suppliers kadhaa ambao wameonesha utayari wa kufanya nao biashara.
Tatizo langu kubwa na lilofanya niombe ushauri ni kuhusu kiwango cha kodi wanachotoza kama ushuru wa customs kwenye aina hii ya bidhaa nisije nikatelekeza mali yangu kwa wazee wa TRA baada ya kununua na kulipia mzigo kabisa.
Kama kuna yoyote ana uzoefu na hii kitu au anajua naomba msaada tafadhali.