Je, unatamani kuagiza bidhaa kutoka China/ nje ya nchi wewe mwenyewe?

Sammy1961

JF-Expert Member
Dec 23, 2019
298
303
Kama huwa unapenda ama unaskia au unatamani kuagiza mizigo china au nje ya nchi basi huu uzi ndio mahali yako.

Kwanza kabla sijaendelea, nikupe pole wewe uliyepatwa na hili janga la kutapeliwa huku mtandaoni juu ya kutaka kuagiziwa mizigo nje ya nchi au china, huenda ukawa bado una maumivu juu ya changamoto uliyoipata.

Sasa leo inaweza kuwa ndio mwanzo wa kufuta kilio na manunguniko yaliyojaa moyoni mwako na pengine ukafungua njia ya wewe kuanza kufanya vitu vyako wewe binafsi.

Kuna baadhi ya nyuzi nliziona huku jamii forum watu wanalalamika kuwa wametapeliwa kisa watu wa kuagiza mizigo china sana sana, wengine hadi wemeweka number za watu waliowatapeli inauma roho sema ukweli mchungu ni kwamba tayari tapeli ameshakuramba.

Na kitu kingine mtandaoni ukiwa mzembe mzembe basi kurambwa ni rahisi sana, saa zingine pia kuna hata wajanja wanarambwa vile vile . Ni kwa vile tu huwa wanavunga hawaesemi.

Kwaiyo nachotaka kusema ni hivi, kwa huku online iwe jamii forums, whatsapp, instagram au facebook usiwahi kumuamini mtu hata kama ni rafiki yako au mtu mnaheshimiana likija kwenye swala la hela tena hela nyingi.

Watu tumeumbiwa tamaa na ubinafsi sana, kwaiyo nianze na mada iliyofanya niandike huu uzi.

Kwanza kabisa nikupongeze kwa kusoma mpaka kufika hapa na imani kama ukiendelea basi kuna kitu utajifunza kupitia huu uzi.

Kwanza kabisa kila mtu anafahamu kuagiza bidhaa nchi za nje kuna unafuu fulani ukilinganisha na kununua hapa hapa nchini, ila kwa upande mwingine unaweza ukaagiza nje ya nchi ila ukapata kuna mtu yuko Kariakoo au Mwanza ana bidhaa kama yako na bei ikawa inafanana na nchi za nje.

Kwaiyo kuagiza bidhaa nje ya nchi sio kukupa guarantee ya wewe kupunguza gharama ila ni kukusaidia wewe kuwajua potential suppliers ambao mnaweza mkatengeneza bond na hata urafiki mkawa mnafanya biashara.
 
Sasa ndio watu wanachukuaga point hapo hapo ya kusema wanaanza kuwaagizia watu mizigo kutoka UCHINA, sasa leo nataka nikusogezee mchango wangu kidogo nikutoe kwenye mindset ya kutaka kuagiziwa mzigo na uanze mwenyewe.

Kuna darasa fupi ambalo utaelekezwa jinsi ya kujua kuzitumia Ali express, alibaba pamoja na masoko mengine ya mtandaoni. Darasa hili utaelekezwa kwanzia wale suppliers wa nje ambao sio wasumbufu kwa lugha ingine wazinguaji.

Pia utaonyeshwa na makampuni mazuri ambayo utayatumia kama AGENTS wako endapo utataka kuagiza mzigo wako nje ya nchi kama vile China.

Darasa hilo halitaishia hapo utapata na nafasi ya kuendelea kuelekezwa endapo utakwama kwenye kuagiza mzigo wako yaani kama utakuwa unapata shida ya kuagiza basi unaweza saidiwa ufanye ni na nini ili uweze kuagiza mzigo wako SUCCESSFULLY.

Cha mwisho kabisa kama utahitaji kuwajua na baadhi ya masuppliers uwe unawasiliana nao direct pia kuna nafasi ya kutumiwa number zao pamoja na catalogue zao zilizo na bei pamoja na bei zake.

Vitu ambavyo unaweza kujifunza kwenye hilo darasa.
1: Jinsi ya kuwajua Verified Suppliers kutoka ali express na alibaba.
2: Jinsi ya kufahamu maAGENT wa kusafirisha mizigo kutoka nchi za UCHINA na nchi zingine.
3: Kuyajua machimbo mbalimbali kama simu, nguo, viatu, n.k
4: Kujenga uhusiano mzuri na watu wengine tunaita COMMUNITY.
5: Unaweza kujifunza lugha mbalimbali wewe binafsi kupitia application.
6: Mwisho kabisa kupata account verified ya WeChat.

Ila mwisho kabisa uzi huu sio kwa ajili ya kumuagizia mtu mzigo kutoka nje ya nchi, ila ni kwa ajili ya mtu kujifunza na akaweza kujinunulia bidhaa zake nje ya nchi.

Ni hiari mtu kujumuika kwenye hii fursa kama ukiona kwa sasa haupo tayari basi unaweza subscribe huu uzi kusoma maoni ya watu wengine kuhusu biashara ya kuagiza mizigo kutoka nje ya nchi.
 
Kujifunza kuagiza mizigo kutoka china pamoja na kuwajua verified Suppliers ni 15,000/=.

Kujua kuagiza mizigo kutoka uturuki+dubai+china pamoja na suppliers 30,000/=

Unaweza kuingia kwa whatsapp ukapata taarifa zingine zote mkuu 🫡.
 
Ngoja waje.
Wenzako toka mwaka 2017 wanatiririka na kugawa elimu bure hapo kwenye uzi uko pinned hapo juu.
Poa poa mkuu ila hapo nlipita nkaona watu wanaongelea sana kuhusu kuagiza nchi za America, ambapo masoko ni EBAY, AMAZON na mengine ambayo yanapatikana nchi Bara la America.

Ngoja tuone kama watakuja watu wanaojua kuongelea kuhusu masoko ya uchina na bara la asia, labda tutapata kitu.
 
Malipo Jumla 45000.
Asante
Hapana mkuu, iko hivi ukitaka kujua jinsi ya kuagiza China ni 10,000/= ila kama unataka kufahamu jinsi ya kuagiza nchi zingine tofauti na uchina basi utatoa 30,000/=

Hapo najua utakuwa umeelewa mkuu, pia hii ni hiari kama mtu unatamani kujua basi ndio mahala pake unaweza gusa link ya group ukaendelea kuona mambo mengine pamoja na mawasiliano.

Ukiipenda fursa basi unamcheck admin wa group akupe maelekezo ya malipo
 
Hapana mkuu, iko hivi ukitaka kujua jinsi ya kuagiza China ni 10,000/= ila kama unataka kufahamu jinsi ya kuagiza nchi zingine tofauti na uchina basi utatoa 30,000/=

Hapo najua utakuwa umeelewa mkuu, pia hii ni hiari kama mtu unatamani kujua basi ndio mahala pake unaweza gusa link ya group ukaendelea kuona mambo mengine pamoja na mawasiliano.

Ukiipenda fursa basi unamcheck admin wa group akupe maelekezo ya malipo
Namba za whatsapp ziko wapi mkuu
 
Ngoja waje.
Wenzako toka mwaka 2017 wanatiririka na kugawa elimu bure hapo kwenye uzi uko pinned hapo juu.
Sio toka 2017 Bali tokea 2011 huko tunatiririka tu.
Hachaneni na huyu njaa kali njooni kule channel ya xiaomi users Hilo darasa na connection utapata bure
 
Kujifunza kuagiza mizigo kutoka china pamoja na kuwajua verified Suppliers ni 15,000/=.

Kujua kuagiza mizigo kutoka uturuki+dubai+china pamoja na suppliers 30,000/=

Unaweza kuingia kwa whatsapp ukapata taarifa zingine zote mkuu 🫡.
Hakuna namba ya whatsap uliyoiweka
 
Kama huwa unapenda ama unaskia au unatamani kuagiza mizigo china au nje ya nchi basi huu uzi ndio mahali yako.

Kwanza kabla sijaendelea, nikupe pole wewe uliyepatwa na hili janga la kutapeliwa huku mtandaoni juu ya kutaka kuagiziwa mizigo nje ya nchi au china, huenda ukawa bado una maumivu juu ya changamoto uliyoipata.

Sasa leo inaweza kuwa ndio mwanzo wa kufuta kilio na manunguniko yaliyojaa moyoni mwako na pengine ukafungua njia ya wewe kuanza kufanya vitu vyako wewe binafsi.

Kuna baadhi ya nyuzi nliziona huku jamii forum watu wanalalamika kuwa wametapeliwa kisa watu wa kuagiza mizigo china sana sana, wengine hadi wemeweka number za watu waliowatapeli inauma roho sema ukweli mchungu ni kwamba tayari tapeli ameshakuramba.

Na kitu kingine mtandaoni ukiwa mzembe mzembe basi kurambwa ni rahisi sana, saa zingine pia kuna hata wajanja wanarambwa vile vile . Ni kwa vile tu huwa wanavunga hawaesemi.

Kwaiyo nachotaka kusema ni hivi, kwa huku online iwe jamii forums, whatsapp, instagram au facebook usiwahi kumuamini mtu hata kama ni rafiki yako au mtu mnaheshimiana likija kwenye swala la hela tena hela nyingi.

Watu tumeumbiwa tamaa na ubinafsi sana, kwaiyo nianze na mada iliyofanya niandike huu uzi.

Kwanza kabisa nikupongeze kwa kusoma mpaka kufika hapa na imani kama ukiendelea basi kuna kitu utajifunza kupitia huu uzi.

Kwanza kabisa kila mtu anafahamu kuagiza bidhaa nchi za nje kuna unafuu fulani ukilinganisha na kununua hapa hapa nchini, ila kwa upande mwingine unaweza ukaagiza nje ya nchi ila ukapata kuna mtu yuko Kariakoo au Mwanza ana bidhaa kama yako na bei ikawa inafanana na nchi za nje.

Kwaiyo kuagiza bidhaa nje ya nchi sio kukupa guarantee ya wewe kupunguza gharama ila ni kukusaidia wewe kuwajua potential suppliers ambao mnaweza mkatengeneza bond na hata urafiki mkawa mnafanya biashara.
Hivi nchi ya turkey kuna app zinazotumika kuagizia mizigo kama china ilivyo alibaba,aliexpress,pinduo n.k

Je uturuki app zao ni zipi
 
Hivi nchi ya turkey kuna app zinazotumika kuagizia mizigo kama china ilivyo alibaba,aliexpress,pinduo n.k

Je uturuki app zao ni zipi
Uturuki hakuna ila kuna namba za wauza mizigo huko pamoja na magroup ya telegram
 
Back
Top Bottom