Haiingii akilini kabisa kuona nchi kama Tanzania eti tunaagiza mchele nje ya nchi! Yaani kivipi?

Blender

JF-Expert Member
Mar 5, 2022
3,421
5,277
Kitendo cha kuagiza mchele nje ya nchi siyo kitendo cha kukiacha kipite hivi hivi tu kama ni jambo la kawaida na halina maana yoyote. Jambo hili ni ishara mbaya sana na siyo dalili nzuri sana huko tuendako kama taifa.

Haiingii akilini kabisa kuona nchi kama Tanzania eti tunaagiza mchele nje ya nchi! Yaani kivipi? Kwamba Tanzania imeshindwa kuzalisha mchele wa kutosha ? Kwamba Tanzania mavuno ya mpunga hayakuwa mazuri au ni nini? Kwamba idadi ya watu imeongezeka ghafla binu vuu? Kama haya ni sahihi sasa je? Zile takwimu tunasomewaga pale bungeni na waziri bashe huwa anazitoa wapi? anapika takwimu? Anadanganywa? Au ni nini haswa?

LAKINI haya tuliyaonya mwanzoni kuwa Tanzania inauza sana chakula nje ya nchi na mazao ya chakula yanasafirishwa sana kwenda nje ya nchi ,tukajibiwa kuwa hayo ni mambo ya soko la EAC na hatujui kitu tukae kimya.

Round ya Kwanza, Mwaka 2021-2022 tuliagiza Mchele from Japan.

Round ya pili, 2024.
Sasa ivi tunaagiza kutoka India, wa Indi wenye maghala ya kuhifadhia chakula hapa Dar watapiga Sana mpunga kupitia Wazir bashe

Hali hii ni ishara mbaya sana na siyo ya kubeza kwa kuwa tunajua muda wowote tutatangaziwa kuwa kuwa uhaba wa mafuta ya kupikia nchini. Tulishakuwa na uhaba wa kila kitu hii ni dalili kuwa uchumi wa nchi yetu una suffocate na taifa liko kwenye CRISIS. Tujipange mapema na hakuna haja ya kufichaficha mambo.

Ivi ni lini SSH atakuja kugundua kuwa bashe anafanya biashara ya chakula kupitia wafanya biashara wa kubwa, pasipo Halali na kuliingiza nchi kwenye hasara ya kutumia fedha nyingi za kigeni kununua chakula na pembejeo .

Sasa hatuwezi kukaa kimya na kutohoji nchi inapita kwenye majanga ya kila aina na kila kona watu wanalalamika halafu tuone ni suala la kawaida tu . Hapana haiwezikuwa kawaida na lazima tuwe wakweli na wawazi kuwa tuna shida mahali na tuwe na majibu ya kuwapa wataanzania.

Hili suala la kuagiza mchele kutoka nje siyo la kubeza na ni suala linalotaka majibu na tafakari nzito sana.
 
Unaweza kuwa na hoja ila bado ina mapungufu. Kuuza chakula nje sio kosa la mkulima. Ulitaka mkulima amenyeke halafu wakati wa kuvuna apangiwe kutouza mazao yake? Uamuzi sahihi ulikuwa ni serikali kununua mazao yote kwa bei nzuri toka kwa wakulima na sio kuzuia waulima kuuza mazao yao huku serikali hainunui. Yale mabilioni yanayoteketea kwenye programs mfu za Bashe ndo yanatakiwa kutumika kununulia mazao ya wakulima.
 
Unaweza kuwa na hoja ila bado ina mapungufu. Kuuza chakula nje sio kosa la mkulima. Ulitaka mkulima amenyeke halafu wakati wa kuvuna apangiwe kutouza mazao yake? Uamuzi sahihi ulikuwa ni serikali kununua mazao yote kwa bei nzuri toka kwa wakulima na sio kuzuia waulima kuuza mazao yao huku serikali hainunui. Yale mabilioni yanayoteketea kwenye programs mfu za Bashe ndo yanatakiwa kutumika kununulia mazao ya wakulima.
Okay 👍 sawa Kwamba BBT ni scam, bashe kaitumia kuchota fedha za umma, kumbukeni bashe nae anasema anataka kuwa raisi wa tz 🇹🇿😂
 
Unaweza kuwa na hoja ila bado ina mapungufu. Kuuza chakula nje sio kosa la mkulima. Ulitaka mkulima amenyeke halafu wakati wa kuvuna apangiwe kutouza mazao yake? Uamuzi sahihi ulikuwa ni serikali kununua mazao yote kwa bei nzuri toka kwa wakulima na sio kuzuia waulima kuuza mazao yao huku serikali hainunui. Yale mabilioni yanayoteketea kwenye programs mfu za Bashe ndo yanatakiwa kutumika kununulia mazao ya wakulima.
Sawa nimekuelewa,

Sasa kama wakulima wanauza chakula nje ya nchi, inamaana wamepata soko la uhakika na wanaingiza Sana faida .

Je mbona uzalishali haukui uko vile vile kila siku ?
 
Nimelima kwa gharama harafu unipangie kwa kuuza?, nauza kwa mteja atayenilipa vyema! .
Na wewe mkulima unayeuza chakula nje ya nchi unauza Kwa currencies ipi Dola$,£,€, maana tz 🇹🇿 😂 kuna ukata wa foreign currencies,

AU mnauza kwenye minada ya ulanguzi

Kumbuka tz itanunua Mchele India Kwa dollars na Sio rupiahs.
 
Tatizo ni fedha za kigeni hapo ndio pabaya zaidi
Mkulima anauza bidhaa zake kwa majirani ila sidhani kama tunapata hela za kigeni hapo kama dollars badala yake analipa kwa shillings
Kuagiza kutoka nje sawa lakini je tunauza nini nje in return?
Kama mnaagiza kutoka je hatuna cha kuwauzia India na sisi
 
Ushawahi kujishughulisha na kilimo kidogo mkuu?, bei za mbolea na pembejeo zipo juu sana, tafadhali acheni wakulima wauze wanapotaka
Ni chakula Gani mnacho uza nje ya nchi nyie ?, coz Hata bashe anashindwa kutoa ufanunuzi juu ya data anazosrms
 
Tatizo ni fedha za kigeni hapo ndio pabaya zaidi
Mkulima anauza bidhaa zake kwa majirani ila sidhani kama tunapata hela za kigeni hapo kama dollars badala yake analipa kwa shillings
Kuagiza kutoka nje sawa lakini je tunauza nini nje in return?
Kama mnaagiza kutoka je hatuna cha kuwauzia India na sisi
Tz hakuna cha maana tunacho uza ukilinganisha na India anavyo uza bidhaa za chakula kwetu.
 
Kitendo cha kuagiza mchele nje ya nchi siyo kitendo cha kukiacha kipite hivi hivi tu kama ni jambo la kawaida na halina maana yoyote. Jambo hili ni ishara mbaya sana na siyo dalili nzuri sana huko tuendako kama taifa.

Haiingii akilini kabisa kuona nchi kama Tanzania eti tunaagiza mchele nje ya nchi! Yaani kivipi? Kwamba Tanzania imeshindwa kuzalisha mchele wa kutosha ? Kwamba Tanzania mavuno ya mpunga hayakuwa mazuri au ni nini? Kwamba idadi ya watu imeongezeka ghafla binu vuu? Kama haya ni sahihi sasa je? Zile takwimu tunasomewaga pale bungeni na waziri bashe huwa anazitoa wapi? anapika takwimu? Anadanganywa? Au ni nini haswa?

LAKINI haya tuliyaonya mwanzoni kuwa Tanzania inauza sana chakula nje ya nchi na mazao ya chakula yanasafirishwa sana kwenda nje ya nchi ,tukajibiwa kuwa hayo ni mambo ya soko la EAC na hatujui kitu tukae kimya.

Round ya Kwanza, Mwaka 2021-2022 tuliagiza Mchele from Japan.

Round ya pili, 2024.
Sasa ivi tunaagiza kutoka India, wa Indi wenye maghala ya kuhifadhia chakula hapa Dar watapiga Sana mpunga kupitia Wazir bashe

Hali hii ni ishara mbaya sana na siyo ya kubeza kwa kuwa tunajua muda wowote tutatangaziwa kuwa kuwa uhaba wa mafuta ya kupikia nchini. Tulishakuwa na uhaba wa kila kitu hii ni dalili kuwa uchumi wa nchi yetu una suffocate na taifa liko kwenye CRISIS. Tujipange mapema na hakuna haja ya kufichaficha mambo.

Ivi ni lini SSH atakuja kugundua kuwa bashe anafanya biashara ya chakula kupitia wafanya biashara wa kubwa, pasipo Halali na kuliingiza nchi kwenye hasara ya kutumia fedha nyingi za kigeni kununua chakula na pembejeo .

Sasa hatuwezi kukaa kimya na kutohoji nchi inapita kwenye majanga ya kila aina na kila kona watu wanalalamika halafu tuone ni suala la kawaida tu . Hapana haiwezikuwa kawaida na lazima tuwe wakweli na wawazi kuwa tuna shida mahali na tuwe na majibu ya kuwapa wataanzania.

Hili suala la kuagiza mchele kutoka nje siyo la kubeza na ni suala linalotaka majibu na tafakari nzito sana.
Wewe umelima hactare ngapi za mchele au zao lingine??
 
Kama Sukari tunaagiza nje mbona Mchele kawaida tu mkuu bila ujanja ujanja hii Nchi hakuna kitu kinaenda...
 
Tz hakuna cha maana tunacho uza ukilinganisha na India anavyo uza bidhaa za chakula kwetu.
Aisee huwezi kuamini
Hapa nilipo tunaagiza spices za aina zote kutoka India yaani kila aina na jamii za karanga pia kama korosho na karanga
Nilijaribu kuomba sample kutoka bongo za spices daa hazikuvuka kiwango kinachotakiwa
Hata Korosho tunazo nzuri sana ila ni local sana na bei inakuwa kubwa mpaka kupata vibali vyote
Kwa hiyo bidhaa nyingi zinatoka India
Ila kuna matatizo mengi sana kwa biashara nyumbani maana hata jirani wanatuacha mbali sana
 
Nani atalima wakati nyie mnashinda mjini mnalalamika? Mkiambiwa mwende kijijini hamtaki. Fursa hiyo. Unataka nani alime?

Kitendo cha kuagiza mchele nje ya nchi siyo kitendo cha kukiacha kipite hivi hivi tu kama ni jambo la kawaida na halina maana yoyote. Jambo hili ni ishara mbaya sana na siyo dalili nzuri sana huko tuendako kama taifa.

Haiingii akilini kabisa kuona nchi kama Tanzania eti tunaagiza mchele nje ya nchi! Yaani kivipi? Kwamba Tanzania imeshindwa kuzalisha mchele wa kutosha ? Kwamba Tanzania mavuno ya mpunga hayakuwa mazuri au ni nini? Kwamba idadi ya watu imeongezeka ghafla binu vuu? Kama haya ni sahihi sasa je? Zile takwimu tunasomewaga pale bungeni na waziri bashe huwa anazitoa wapi? anapika takwimu? Anadanganywa? Au ni nini haswa?

LAKINI haya tuliyaonya mwanzoni kuwa Tanzania inauza sana chakula nje ya nchi na mazao ya chakula yanasafirishwa sana kwenda nje ya nchi ,tukajibiwa kuwa hayo ni mambo ya soko la EAC na hatujui kitu tukae kimya.

Round ya Kwanza, Mwaka 2021-2022 tuliagiza Mchele from Japan.

Round ya pili, 2024.
Sasa ivi tunaagiza kutoka India, wa Indi wenye maghala ya kuhifadhia chakula hapa Dar watapiga Sana mpunga kupitia Wazir bashe

Hali hii ni ishara mbaya sana na siyo ya kubeza kwa kuwa tunajua muda wowote tutatangaziwa kuwa kuwa uhaba wa mafuta ya kupikia nchini. Tulishakuwa na uhaba wa kila kitu hii ni dalili kuwa uchumi wa nchi yetu una suffocate na taifa liko kwenye CRISIS. Tujipange mapema na hakuna haja ya kufichaficha mambo.

Ivi ni lini SSH atakuja kugundua kuwa bashe anafanya biashara ya chakula kupitia wafanya biashara wa kubwa, pasipo Halali na kuliingiza nchi kwenye hasara ya kutumia fedha nyingi za kigeni kununua chakula na pembejeo .

Sasa hatuwezi kukaa kimya na kutohoji nchi inapita kwenye majanga ya kila aina na kila kona watu wanalalamika halafu tuone ni suala la kawaida tu . Hapana haiwezikuwa kawaida na lazima tuwe wakweli na wawazi kuwa tuna shida mahali na tuwe na majibu ya kuwapa wataanzania.

Hili suala la kuagiza mchele kutoka nje siyo la kubeza na ni suala linalotaka majibu na tafakari nzito sana.
 
Sawa nimekuelewa,

Sasa kama wakulima wanauza chakula nje ya nchi, inamaana wamepata soko la uhakika na wanaingiza Sana faida .

Je mbona uzalishali haukui uko vile vile kila siku ?
Kuna sababu nyingi ila sababu kuu ni nchi kutofanya kilimo cha kisasa. Tanzania watu wanalima maeneo makubwa ila mavuno kiduchu kutokana na kilimo duni. Kuna nchi zinalima jangwani ila zina mavuno makubwa kuliko sisi kutokana na kulima kisasa. Saudi Arabia inapata mvua 150mm kwa mwaka huku walivuna 1.2million metric tonnes za ngano wakati Tanzania ina mvua 1150mm kwa mwaka huku ikivuna 68000 metric tonnes.

Jinsi ya kuondokana na kilimo duni ni kuwa na sera nzuri za kilimo zitakazowezesha watu kuhamasika kulima kisasa kwasababu pembejeo zitakuwa ni nafuu huku wakiwa na uhakika wa soko. Serikali inatakiwa iwe mnunuzi namba moja wa mazao ya wakulima kwa bei nzuri. Tanzania yenye mito na maziwa inatakiwa kwa nia moja ipunguze kilimo cha kutegemea mvua.
 
Back
Top Bottom