Msaada kisima changu kimejaa chura

Msaada kisima changu kimejaa chura

nguvu

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
24,051
Reaction score
23,668
Wana JF ninapoishi mimi sina access na maji ya bomba ambayo unalipia bili kwahiyo nimeamua kuchimba kisima na maji nimepata tatizo vyura wamegeuza ndio makazi yao wapo wengi hadi kero, sasa kuna madhara yoyote kutumia maji ambayo vyura wanaishi humo?

Natumia kuoga, kufulia na kuoshea vyombo, sipikii wala sinywi ingawa natamani kuanza kupikia.
 
😀 😀 pole mkuu, ita watu wa Kihansi waje wabebe vyura wao.
JF raha sana.

Everyday is Saturday..........................😎
 
Wana JF ninapoishi mimi sina access na maji ya bomba ambayo unalipia bili kwahiyo nimeamua kuchimba kisima na maji nimepata tatizo vyura wamegeuza ndio makazi yao wapo wengi hadi kero, sasa kuna madhara yoyote kutumia maji ambayo vyura wanaishi humo?

Natumia kuoga, kufulia na kuoshea vyombo, sipikii wala sinywi ingawa natamani kuanza kupikia.
Hata kwenye matank ya idara ya maji kuna vyura.
 
Huwa kuna dawa za kuweka kwenye visima, hasa maduka ya wapemba au waarabu wana dawa.

Ukipata dawa fanya utaratibu utoe maji yote kabla ya kuweka dawa, vizuri pia kiwe na mfuniko ukiweza na kufuli, binadamu siyo wote wazuri waweza kutupia humo chochote.

okay nisiendelee zaidi kwanza
 
Wana JF ninapoishi mimi sina access na maji ya bomba ambayo unalipia bili kwahiyo nimeamua kuchimba kisima na maji nimepata tatizo vyura wamegeuza ndio makazi yao wapo wengi hadi kero, sasa kuna madhara yoyote kutumia maji ambayo vyura wanaishi humo?

Natumia kuoga, kufulia na kuoshea vyombo, sipikii wala sinywi ingawa natamani kuanza kupikia.
Watafute form six watakupa hela
 
Majibu ya wadau hadi nachoka, Asanteni kwa ushauri wenu, kwanza ntatia kambale pia ntaweka mfuniko
 
Back
Top Bottom