Msaada kisima changu kimejaa chura

Msaada kisima changu kimejaa chura

Pole kiongozi
Mimi nimekereka na badhi ya wachangiaji wanaoleta utani kwa masuala sirias
mara ooh Yanga, mara form six nk
TUACHENI UTANI MTU ANAPO OMBA MSAADA WA MAWAZO
KAMA HUJUI SI UPITE TU...KWANI NILAZIMA KUCHANGIA KILA KITU??????
 
Siku hizi JF imejaa mizaha sana nmesoma comments 80% ni upuuzi tu hii sio JF iliyo nishawishi kujiunga nayo. Back to your topic tumia dawa ya kutibu maji ikiwezekana tafta tank kabla maji hayajatumika hifadhi kwenye tank yafanyie treatment then tumia , pili funika kisima chako pia tengeneza utaratibu wa kua una ki drain kuondoa uchafu .
 
Wauze guanzoo
Wana JF ninapoishi mimi sina access na maji ya bomba ambayo unalipia bili kwahiyo nimeamua kuchimba kisima na maji nimepata tatizo vyura wamegeuza ndio makazi yao wapo wengi hadi kero, sasa kuna madhara yoyote kutumia maji ambayo vyura wanaishi humo?

Natumia kuoga, kufulia na kuoshea vyombo, sipikii wala sinywi ingawa natamani kuanza kupikia.
 
Afya ya nani?
Watumiaji wa hayo maji and I think mleta mada avunje hicho kisima maana sio Bora kisima kimejaa vyura it's obvious sio safe kutumia, atumie Ile technology nyingine ya kuchimba sehemu ndogo mpaka chini
 
Hao ni mboga. Ni kama mtu alalamike kuwa kachimba kisima sasa kina samaki afanyeje? Watu watamshangaa sana. Vua hao chura kaanga unakula kwa ugali au wali. Unaweza pika roast pia huwa ni nzuri.
 
Wana JF ninapoishi mimi sina access na maji ya bomba ambayo unalipia bili kwahiyo nimeamua kuchimba kisima na maji nimepata tatizo vyura wamegeuza ndio makazi yao wapo wengi hadi kero, sasa kuna madhara yoyote kutumia maji ambayo vyura wanaishi humo?

Natumia kuoga, kufulia na kuoshea vyombo, sipikii wala sinywi ingawa natamani kuanza kupikia.
Weka chlorine wataondoka woote, ila ningekushauri utumie fursa hiyo mpya: siku hizi kuna demand kubwa za hizo makitu kwa majaribio ya a level, wauzie
 
Wana JF ninapoishi mimi sina access na maji ya bomba ambayo unalipia bili kwahiyo nimeamua kuchimba kisima na maji nimepata tatizo vyura wamegeuza ndio makazi yao wapo wengi hadi kero, sasa kuna madhara yoyote kutumia maji ambayo vyura wanaishi humo?

Natumia kuoga, kufulia na kuoshea vyombo, sipikii wala sinywi ingawa natamani kuanza kupikia.
Fanya usafi wa kisima chako umeacha hadi wanazaliana huo ni uchafu.
 
Wana JF ninapoishi mimi sina access na maji ya bomba ambayo unalipia bili kwahiyo nimeamua kuchimba kisima na maji nimepata tatizo vyura wamegeuza ndio makazi yao wapo wengi hadi kero, sasa kuna madhara yoyote kutumia maji ambayo vyura wanaishi humo?

Natumia kuoga, kufulia na kuoshea vyombo, sipikii wala sinywi ingawa natamani kuanza kupikia.
Hii habari haina impact ilifaa uitume WhatsApp group la mtaa wakupe ushauri,au balozi wako
 
Wana JF ninapoishi mimi sina access na maji ya bomba ambayo unalipia bili kwahiyo nimeamua kuchimba kisima na maji nimepata tatizo vyura wamegeuza ndio makazi yao wapo wengi hadi kero, sasa kuna madhara yoyote kutumia maji ambayo vyura wanaishi humo?

Natumia kuoga, kufulia na kuoshea vyombo, sipikii wala sinywi ingawa natamani kuanza kupikia.
Vua wauzie wachina wengine kula mwenyewe.
 
Wana JF ninapoishi mimi sina access na maji ya bomba ambayo unalipia bili kwahiyo nimeamua kuchimba kisima na maji nimepata tatizo vyura wamegeuza ndio makazi yao wapo wengi hadi kero, sasa kuna madhara yoyote kutumia maji ambayo vyura wanaishi humo?

Natumia kuoga, kufulia na kuoshea vyombo, sipikii wala sinywi ingawa natamani kuanza kupikia.
wewe wavune alaf kawauze kwenye migahawa ya wachina{fursa hiyo}
 
Back
Top Bottom