Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,502
- 51,098
Leo Mrisho Gambo ametema cheche bungeni kwa kuitaka serikali iongeze nyongeza za mishahara ya watumishi na kutaka makato ya wanafunzi bodi ya mikopo yapunguzwe kutoka 15%
Amesema, sheria huwa hairudi nyuma sasa inakuwaje sheria iliyoweka 15% ianze kufanya kazi kwa watu waliokopa kabla ya sheria hiyo ambao mikataba yao ya ukopaji ni kutakiwa kulipa 8%
Tunahitaji wabunge wanaosimama bungeni na kungea issues za msingi kama hizi.
Pia nimefurahishwa na Gambo ambaye kakemea watu wanaotaka tuishi katika kivuli cha Marehemu Magufuli wakati sasa hivi ni zama za raisi mwingine ambaye ameonyesha nia na muelekeo wa kubadili aina ya uongozi wa ukandamizaji, uonevu, kutofuata sheria.
Wale Wanazi wa Magufuli wamuache mama Samia afanye kazi yake.
Amesema, sheria huwa hairudi nyuma sasa inakuwaje sheria iliyoweka 15% ianze kufanya kazi kwa watu waliokopa kabla ya sheria hiyo ambao mikataba yao ya ukopaji ni kutakiwa kulipa 8%
Tunahitaji wabunge wanaosimama bungeni na kungea issues za msingi kama hizi.
Pia nimefurahishwa na Gambo ambaye kakemea watu wanaotaka tuishi katika kivuli cha Marehemu Magufuli wakati sasa hivi ni zama za raisi mwingine ambaye ameonyesha nia na muelekeo wa kubadili aina ya uongozi wa ukandamizaji, uonevu, kutofuata sheria.
Wale Wanazi wa Magufuli wamuache mama Samia afanye kazi yake.