Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,812
- 11,987
Ufafanuzi wa Awali:
Malipo ya Ada ya Mafunzo (Tuition Fee) ya mwanafunzi-mnufaika wa mkopo wa elimu ya juu unaotolewa na serikali hulipwa kwa baada ya masuala yafuatayo kukamilika:
Tunaendelea kufuatilia kwa kuwasiliana na ongozi wa UDOM ili kupata ufafanuzi wa kina.
UDOM WAFAFANUA
Aidha, Ukurasa rami wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) nao umetoa maelezo kwa kuandika:
"Ukweli ni kwamba fedha zao zilikuja kutoka Bodi ya Elimu ya Juu (HESLB) na hawakwenda kusaini kwa muda waliwekewa mpaka fedha zikarejeshwa Bodi, kwa hiyo wanapashwa kufuatilia Bodi ili fedha hizo zirejeshwe chuo."
Pia soma: DOKEZO - Uongozi wa UDOM unazuia matokeo ya mitihani kwa Wanafunzi ambao tumecheleweshewa malipo ya ada kutoka Bodi ya Mikopo
Malipo ya Ada ya Mafunzo (Tuition Fee) ya mwanafunzi-mnufaika wa mkopo wa elimu ya juu unaotolewa na serikali hulipwa kwa baada ya masuala yafuatayo kukamilika:
- Chuo kuwasilisha HESLB madai (invoice) sahihi na kwa wakati;
- 'Invoice' sahihi ni ile yenye kiwango (amount) sahihi kama kinavyoonekana kwenye mpango wa mkopo wa mwanafunzi (Loans Allocation). Hivyo, kama mwanafunzi amepangiwa ada ya TZS 1,000,000.00, inategenewa 'invoice' itakayowasilishwa iwe ya kiwango hicho;
- Kuwasilishwa kwa 'invoice' kwa wakati maana yake ni kuwa katika mwaka wa masomo, ada hulipwa mara mbili, kila baada ya 'semester' moja kwa kuwa utaratibu wa kibajeti ni kwa mwaka. Hivyo, wanafunzi wanapangiwa ada na zinalipwa ndani ya mwaka husika;
- Suala jingine, ni dhana ya wajibu. Tunapenda kuhakikisha kuwa hakuna tatizo la fedha na kuwa bajeti ya mikopo ya TZS 654 bilioni kwa mwaka 2022/2023 imetolewa yote na Serikali. Serikali imetimiza wajibu wake.
Tunaendelea kufuatilia kwa kuwasiliana na ongozi wa UDOM ili kupata ufafanuzi wa kina.
UDOM WAFAFANUA
Aidha, Ukurasa rami wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) nao umetoa maelezo kwa kuandika:
"Ukweli ni kwamba fedha zao zilikuja kutoka Bodi ya Elimu ya Juu (HESLB) na hawakwenda kusaini kwa muda waliwekewa mpaka fedha zikarejeshwa Bodi, kwa hiyo wanapashwa kufuatilia Bodi ili fedha hizo zirejeshwe chuo."
Pia soma: DOKEZO - Uongozi wa UDOM unazuia matokeo ya mitihani kwa Wanafunzi ambao tumecheleweshewa malipo ya ada kutoka Bodi ya Mikopo