WHY preferential treatment?.
Ukiba kuku unapata treatment mbaya ukiiba mabilioni unapata treatment nzuri!! WOW I love BONGO.
Hilo la preferential treatment,watu wa magereza nafikiri walishalitolea ufafanuzi.walisema hata zombe hawajamuweka na watuhumiwa wengine kwasababu wapo wanatuhumiwa wenye hasira naye wanaweza kumdhulu.Zombe yuko pamoja na Jeetu na Johnson Lukaza selo moja.