Halafu mke wa Mgonja anaishi California toka kitambo sasa.
Kuzomea, kuibua kashfa za serikali, kupinga na kukosoa ni kazi muhimu sana ya chama cha upinzani, lakini hii peke yake haikufanyi wananchi wakuchague. Ili uchaguliwe lazima uonyesha kwamba wewe ni alternative government kwa kuwa na timu imara na sera mbadala utakazotekeleza mara ukabidhiapo madaraka. Kwa hiyo, kwa maoni yangu, hiki kilichokwishafanywa so far na opposition, hasa CHADEMA, is sufficient enough to make us a credible opposition, but not good enough to convince the masses that we are a better government in waiting. Ili tuwe a credible government in waiting lazima tuchukue the next step, ambayo ni kuwaonyesha wananchi kwamba sisi tuna mawazo,sera, mikakati na timu mbadala murua na bora zaidi zitakazotatuta, pamoja na matatizo mengine, tatizo la ufisadi kama wakitupa tuendeshe serikali yao. Kuna haja kubwa sana sasa kujikita katika kuelezea sera na mikakati yao juu ya matatizo mbalimbali ya nchi yetu.
QUOTE]
Kaka Kitila nakubaliana nawe 100%. Huu ndio mtazamo wangu kwa muda mrefu sasa. Kazi kwako kushurutisha hili ndani ya chama...
Tanzanianjema
Unamshukuru polisi kwa kufukuza mwizi ?
Unamshukuru Mkuu wa Tume ya kupambana na rushwa kwa kupambana na rushwa ?
Unamshukuru Mwanasheria Mkuu kwa kufuata sheria ?
Mimi ni kuli. Kwa kila mzigo ninaopakia na kupakua kwenye malori ya kampuni bosi anadunduliza hela sehemu kila mwisho wa siku. Zikifika wiki mbili karani wa kampuni ananipa hundi. Sijawahi kuambiwa ahsante. Tena mwenye mizigo hii, mmiliki wa kampuni, sijawahi hata kuteta nae.
Nikadai shukurani ?
Haya kaka Mgonja karibu Sero bwana mudogo!! Hivi murifiliria kuwa hamutakamatwa eh?? Hebu afande Chare riweke kure ndani hiri riarifu jingine......... Uache na nafasi kwani kuna menzake mengine mengi yanakuja hasa rire rinene renye kitambi kama afande Arufonsi.
Haya kaka Mgonja karibu Sero bwana mudogo!! Hivi murifiliria kuwa hamutakamatwa eh?? Hebu afande Chare riweke kure ndani hiri riarifu jingine......... Uache na nafasi kwani kuna menzake mengine mengi yanakuja hasa rire rinene renye kitambi kama afande Arufonsi.
Hilo la preferential treatment,watu wa magereza nafikiri walishalitolea ufafanuzi.walisema hata zombe hawajamuweka na watuhumiwa wengine kwasababu wapo wanatuhumiwa wenye hasira naye wanaweza kumdhulu.Zombe yuko pamoja na Jeetu na Johnson Lukaza selo moja.
Next on the line, Mama Meghji....sasa hapa tunamiss one puzzle tu, yaani Balali, lakini bado tuko kwenye right track!
Mzee ES naomba kama una inside kuhusu kesi ya Mama Meghji, maana ninavyosikia mimi ni kuwa hakuna suala lolote kuhusu Mama Meghji alilofanya ambalo ni la kifisadi. Issue yake ilikuwa tu kuwapa auditors info kuhusu TISS kuhusika na pesa za Kagoda kwa mambo ya kiusalama ambalo alilirekebisha within days. Adhabu aliyopata ni kutoswa kutoka kwenye cabinet.
- Mkulu wangu, the inside nilizonazo ni kwamba mawaziri wote waliotemwa kwa kuwa na harufu ya ufisadi, wako njiani kwenda Kisutu, infact hata Warioba yumo njiani kwenye Mwananchi Gold, na hii operation inaenda mpaka 2010 by then wote watakuwa wameshafikishwa kwa Pilato.
- Mramba ana kesi nyingi sana, kiasi kwamba ni kupoteza muda kwake kujipanga na mawakili, nusu ya kesi za Mramba zinamvuta Mama Meghji, aliyekua aki-act under orders za RA, ndiyo sababu ya RA kutolewa kiungwana na Muungwana kule Hazina ya CCM.
Je ushahidi wa kutosha (Complete and Exhaustive) umeshapangwa na hawa waendesha mashitaka? Manake mambo ya viini macho au stori za kuwa watu wemeshindwa kesi au wanapewa vifungo vya kijinga kijinga wakati tamaa na uhujumu wao umesababisha maafa kwa wadanganyika chungu nzima miaka nenda rudi hatuzitaki.
-Mama Meghji, aliyekua aki-act under orders za RA, ndiyo sababu ya RA kutolewa kiungwana na Muungwana kule Hazina ya CCM.