Mradi wa Bandari Bagamoyo bila uwazi wa ubovu wa mkataba, ni usaliti wa Bandari zilizopo

Kaa kwa kutulia, na uhakikishe maua hapo kwenye kaburi la dhalimu yananyeshewa. Tulipokuwa tunahoji mikataba ikae wazi, mlikuwa kimya maana mlikuwa kwenye chain ya upigaji, sasa hivi mmeoshwa mikono na mafuta taa mnalialia hapa.
Umekaa kizamani sana wewe, Hata hivyo, ninachoamini hata wewe ni mtu duni sana na dhaifu mno Mbele ya kifo, kwa kuwa hata huwezi amini iwapo kejeli zako hizi zikawa ni za mwisho nawe ukazikwa kama itakavyokuwa kwa kila mwenye mwili, Hekimika kijana
 
Hapana kwanza tuimarishe bandari ya DSM, tuzibe myanya yote ya rushwa na upotevu wa mapato ya serikali.
Ripoti ya CAG 2020 ilibainisha changamoto kibao TPA na kasoro hizo zimekuwa zikijirudia amabazo zimepelekea kutokea ubadhirifu wa kutisha ktk bandari ya DSM, sasa leo hii bado hatujadhibiti bandari ya DSM wanataka kutushawiishi kujenga bandari ya B.moyo!!! ili wapigaji na wabadhirifu wale vizuri!!! Hapana!
kwanza tunataka matokeo mazuri ktk bandari ya DSM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wachina wanatisha sana. Kama huamini nenda Zambia. Mradi ni wa muhimu lakini umilikiwe na serikali hata kwa kukopa ila si kwa ubia. Wenzetu ni wajanja wa mikataba ya kumataifa. Tunaweza kuishia kuwa wabeba mizigo ya wachina.
 
wewe ni mtu duni mno kifikra

Huwezi kusema vitu vya kipumbavu eti ndiyo viwe msingi wa vizazi vijavyo, Tunatumia akili kubwa tunapotazama mbele,

Sisi tunajadili uwekezaji wenye tija, wewe unakuja na mitusi utadhani ni chakula chako cha asubuhi, Jenga hoja, Narudia tena kukubali mradi wa Bandari Bagamoyo bila kuzingatia manufaa ya uchumi ya nchi yetu, na bila kuondoa baadhi ya mashariti kandamizi, ni kuuwa kwa maksudi bandari zilizopo

Sasa wewe, badala ya kuja na hoja unakuja na matusi utadhani wewe ni mjusi haya bhana
Kwa hiyo kujenga Airport Dodoma unauwa airport Dar au? Umeshaambiwa Bandari ya Dar imefika kikomo haina uwezo na wala haitakuwa na uwezo wa kupokea meli kubwa za kisasa ni lazima bandari mpya ijengwe kuendana na mahitaji ya biashara duniani. Bandari ni biashara ya ushindani duniani ndio maana hata Airport hazibaki the same tumejenga Terminal 3 sababu Terminal 2 haina uwezo tena lakini haina maana Terminal 2 umeuliwa inafanya kazi kwa uwezo wake. Kwa ufupi bandari ya Dar imefika kikomo uwezo wake. umeambiwa jana tukifanya mchezo bandari ya Dar itabaki kama kituo cha daladala.
 
Umekaa kizamani sana wewe, Hata hivyo, ninachoamini hata wewe ni mtu duni sana na dhaifu mno Mbele ya kifo, kwa kuwa hata huwezi amini iwapo kejeli zako hizi zikawa ni za mwisho nawe ukazikwa kama itakavyokuwa kwa kila mwenye mwili, Hekimika kijana

Mimi hata nikifa poa tu maana sijifanyi mzalendo na mcha Mungu, ila yeye dhalimu sasa.
 
kwa nini tunadhani JPM pamoja na aliyekuwa mgombea Uraisi kupitia Chadema 2015 mh EL wamekuwa waongo kuukataa huu mradi kwamba hauna manufaa yoyote kwa nchi yetu?
Huyo jiwe alikuwa mzandiki, mwongo na mfitini. Kwa miaka 5 tu alitudanganya:-
-ndege zinaleta faida akafanya mpk bongo movie ya gawio
-uchumi unakuwa kwa 7%
-tunajenga miradi ya kimkakati kwa fedha zetu za ndani
..n.k

Kwann umwamini mtu kama huyu?

Kwann tusidhani mzee Kikwete na SSH wako sahihi? Mzee Kikwete hajawahi kudanganya kwa miaka 10.
 
Huyo jiwe alikuwa mzandiki, mwongo na mfitini. Kwa miaka 5 tu alitudanganya:-
-ndege zinaleta faida akafanya mpk bongo movie ya gawio
-uchumi unakuwa kwa 7%
-tunajenga miradi ya kimkakati kwa fedha zetu za ndani
..n.k

Kwann umwamini mtu kama huyu?

Kwann tusidhani mzee Kikwete na SSH wako sahihi? Mzee Kikwete hajawahi kudanganya kwa miaka 10.
Na wewe 10%
 
Isije kuwa msoga king ana mpush mama hio agenda .

Aisee Kama uwepo wa huo mradi utaathiri bandari zetu Bora wakauacha

Na Kama utakuwepo Basi tuwe na percentage za kutosha kwenye gawio .

Na lazima mipaka iwekwe kwenye operation kujua hii inahudumia wapi na hii wapi
 
Tunataka Miradi mingi katika taifa letu, Lakini tunataka miradi ambayo kiukweli italeta ukombozi wa maisha ya wananchi

Mradi wa Bandari ya Bagamoyo, ni mradi mkubwa na unaumhimu wake, Lakini kwa nini usiwe wazi?

kwa nini tunadhani JPM pamoja na aliyekuwa mgombea Uraisi kupitia Chadema 2015 mh EL wamekuwa waongo kuukataa huu mradi kwamba hauna manufaa yoyote kwa nchi yetu?

Kuanzisha mradi wa Bandari Bagamoyo bila kuwepo uwazi wa mkataba uliotiliwa mashaka na viongozi mbalimbali wa nchi hii, ni uhujumu uchumi mkubwa na kuziua bandari zetu ambazo ni tegemeo kubwa la uchumi wetu

Hivi, Tanzania ni lini tutafahamu kwamba, uwingi wa miradi na sifa ya kuwepo wawekezaji wengi wasio na faida haituongezei chochote zaidi ya kutufanya tuwe taifa tegemezi na lisiloweza kujikomboa na umasikini..!

Kuwa na uwingi wa miradi haina maana kwamba umasikini ndiyo basi tena, Isipokuwa ni kuwa miradi yenye tija

Mungu ibariki Tanzania na Mungu bariki viongozi wetu
Unataka uwazi wa bandari ya Bagamoyo. Mbona huulizi mkataba wa ununuzi was ndege? Bunge halijaidhinisha lakini wanaofahamu ununuzi ni Mwendazake na mpwaye ambaye wakati huo alikuwa Paymaster General!
 
Justification ya kwamba mikataba yote ya siku za nyuma haikuwahi kuwekwa wazi na kwa hiyo hata huu wa bagamoyo tusihoji haina mashiko.

Ni kweli kabisa kwamba mikataba ya siku za nyuma haikuwahi kuwekwa wazi kwa Umma kusoma na kutoa mapendekezo.

Hayo yalikuwa makosa.

Sasa Je makosa yaendelee kufanyika au yarekebishwe kwa kuanza kuweka mikataba wazi na kusomwa na wananchi na kutoa mapendekezo?

Off course watasema labda ilikuwa inapelekwa bungeni kwa wawakilishi wa wananchi, sawa lakini ufanisi wa bunge ukoje?

Yani historia ikoje? Uzoefu Je?

Je Kuna mkataba wowote ambao uliwahi kataliwa na bunge kwa sababu moja ama nyingine?

Ni upi huo ? ai ni ipi hiyo?

Au Ndiyo kusema bunge la rubber stamp?

Lile la “ ndiyooooooooo” kwa kila kitu?

Tutafakali zaidi.
 
Inasikitisha sana kuona rais ambaye ni muisalam ambaye anashinda kutwa nzima amefunika kichwa chake huko China kuna kabila la Uyghurs ambalo wamesema ni haki yako kuabudi uislam wote wamekusanywa na kuwekwa kwenye concentration camp, shame on us!
Hela ndiyo zinaabudiwa kuliko hata imani raisi anayo shinda ana valia ushugi. Hawa ndiyo wawekezaji wa bagamoyo kwa muislam mwingine ambaye ni kama foreigner kwenye nchi yake anayezungukwa na watu masikini hohehahe wa kizaramo, elimu duni na afya mbili. …Magufuli alikuwa na inside informations za madudu yote ndiyo maana amekatishwa uhai wake na hicho ndiyo kisa kilichobaki mfikisha huko aliko
. Kinachofuatia ni kuwamaliza asikali watiifu wa Magufuli period, but time will tell.
Kwani bakwata wanasemaje kuhusu Hilo
 
Back
Top Bottom