voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,553
- 11,885
Huu ni ukweli na mchungu kwa "Waheshimiwa" ambao waligeuka "Waishiwa" wa "Hoja" na wakaamua kukifia"Chama Cha Maslahi" CCM na kuridhia uuzwaji wa Bandari zetu nchini.kwa bei ya bure kumpatia Mwarabu.
Ingawa ninajua kiuhalisia ni kwamba kuna viongozi wakubwa kitaifa ambao wameneemeka na wataendelea kuneemeka na vizazi vyao.kutokana na mkataba huu mbovu.Pia kuna ma-chawa kina Maulid kitenge,Mwijaku na Baba Revo kwa mfano wa haraka na wa wazi.
Lakini niseme tu kwa uwazi.....
kama watanzania tungejitafuta na kujitambua!
Kama sio kuiondoa
CCM- Maslahi basi walau wabunge wake kwa 75% warudishwe majumbani na kupisha kizazi kipya cha Bunge.
Hii itatoa fundisho kwa wabunge kuwa wanajitambua majukumu yao pale wanapochaguliwa
Wanakwenda kujiwakilisha wao na matumbo yao Badala ya kwenda kuwawakilisha wapiga kura waliowapigia kura huko majimboni.
Ingawa hata upinzani pia tumeyaona madudu mengi ila kwa sasa naongelea Waliouza bandari zetu kwanza watupishe kama taifa.
Pia soma hii
Ingawa ninajua kiuhalisia ni kwamba kuna viongozi wakubwa kitaifa ambao wameneemeka na wataendelea kuneemeka na vizazi vyao.kutokana na mkataba huu mbovu.Pia kuna ma-chawa kina Maulid kitenge,Mwijaku na Baba Revo kwa mfano wa haraka na wa wazi.
Lakini niseme tu kwa uwazi.....
kama watanzania tungejitafuta na kujitambua!
Kama sio kuiondoa
CCM- Maslahi basi walau wabunge wake kwa 75% warudishwe majumbani na kupisha kizazi kipya cha Bunge.
Hii itatoa fundisho kwa wabunge kuwa wanajitambua majukumu yao pale wanapochaguliwa
Wanakwenda kujiwakilisha wao na matumbo yao Badala ya kwenda kuwawakilisha wapiga kura waliowapigia kura huko majimboni.
Ingawa hata upinzani pia tumeyaona madudu mengi ila kwa sasa naongelea Waliouza bandari zetu kwanza watupishe kama taifa.
Pia soma hii
Ujio wa DP World: Bandari za Tanga na Mtwara Wanahusikaje? Tuliambiwa ni Dar tu tena gati tatu
Kuna sintofahamu inaendelea nchini baada ya Bandari nyingine za Mtwara na Tanga nao wafanyakazi kutangaziwa ujio wa DP World. Hii ni kinyume kabisa Mbarawa alivyokua anahakikishia watu kuwa maeneo yanayohusika sio Pwani yote bali ni Bandari ya Dar tu tena baadhi ya Gati. Ieleweke kuwa suala la...
www.jamiiforums.com