Mkutano wa mjadala wa utekelezaji wa mradi wa uimarishaji ya miliki ya ardhi(land tenure improvement program)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,897
941
MKUTANO WA MJADALA WA UTEKELEZAJI WA MRADI WA UHIMALISHAJI YA MILIKI YA ARDHI (LAND TENURE IMPROVEMENT PROGRAM)

Tumefungua mkutano wa mjadala wa Utekelezaji wa Mradi wa uhimalishaji Salama ya Miliki za Ardhi yaani Land Tenure Improvement Program. Mradi huu unakwenda kupima, na kutambua Vipande vya Ardhi katika Mikoa 16, Halmashauri 41 na Ujenzi wa Miundombinu ikiwemo Majengo ya Makamishna wa Ardhi Mikoa yote ya Tanzania Bara na kufunga Mifumo ya kiteknolojia kwa ajili ya kurahisisha upimaji na utambuzi katika utawala wa Ardhi.

Gharama ya Mradi mzima ni Shilingi Bilioni 345 Mkopo toka Benki ya Dunia.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na maendeleo ya Makazi Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb)

#KaziInaendelea
#ArdhiYetu

indexqaw.jpg
indexxcvfgty.jpg
indexqaszxcd.jpg
indexvbgtyhui.jpg
indexvbghty.jpg
indexwerty.jpg
 
Mhe. Ridhiwani Kikwete ambaye ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa niaba ya Waziri wake Jana Jijini Dodoma amefungua mkutano wa mjadala wa Utekelezaji wa Mradi wa uimarishaji wa usalama ya Miliki za Ardhi yaani Land Tenure Improvement Program.

Mradi huu unakwenda kupima, na kutambua Vipande vya Ardhi katika Mikoa 16, Halmashauri 41 na Ujenzi wa Miundombinu ikiwemo Majengo ya Makamishna wa Ardhi Mikoa yote ya Tanzania Bara na kufunga Mifumo ya kiteknolojia kwa ajili ya kurahisisha upimaji na utambuzi katika utawala wa Ardhi. Gharama ya Mradi mzima ni Shilingi Bilioni 345 Mkopo toka Benki ya Dunia.

#KaziInaendelea #ArdhiYetu

IMG-20230118-WA0028.jpg

IMG-20230118-WA0029.jpg

IMG-20230118-WA0030.jpg

IMG-20230118-WA0031.jpg
 
Shewuyo, muungwana sana, maisha yake ni alama ya uonevu mkubwa aliofanyiwa na awamu Ile, naona bado yupo, Jiwe alimtoa huku, Mungu akamuweka hapo.

Twende hatua mbele zaidi, iwe rahisi kwa mwananchi kufanya search ya miliki, Sasa mpaka aende kwa msajili wa hati! Iwezekane mambo yote online, analipia hukohuko aliko, analodge request, anajibiwa online kuhusu status ya umiliki,.na jibu linakuja within a certain minimum days. The Ministry should go digital.

Pia iwe rahisi kwa mwananchi kujua ardhi imepimwa au laaa ili kama ananunua afanye maamuzi sahihi kabla ya kununua.

Pia iwepo link kati ya msajili wa ndoa/vifo na msajili wa hati/mabenki, itapunguza kesi za mwanandoa mmoja kukopa bila ridhaa ya mwenzake, hasa anapojifanya Yuko singo, kumbe kaoa, anaweka dhamana Mali ya ndoa.
Jina likiingia tu katika system, anajulikana marital status.

Jiji kama Dsm, mtu anawekeza ghorofa zaidi ya ishirini, unampa hati ya miaka 99? Kwa maeneo hayo twende mbele, iwekwe zone maalum katikati ya miji kama Arusha, mwanza, Dar es salaam, mbeya, dodoma, kwamba pale mtu anapowekeza uwekezaji mkubwa, basi apewe hati ya zaidi ya miaka 99, mfano miaka 169. Itavutia uwekezaji mkubwa, na hii itaondoa horizontal investment, tunaenda vertical, ardhi inakwisha.

Hii pia kwa wawekezaji wa kilimo, wakubwa, kama Kagera Sugar, Mtibwa, na wengine ambao tayari wako saiti, itawavutia kuona Wana security of tenure
 
Back
Top Bottom