Mpasuko mkubwa CHADEMA Mbeya mjini, Msigwa avunja uongozi huku walioondolewa wakimpinga. Ni mparaganyiko mkuu

hahaaaaa yaani bado unaamini hakuna mgogoro huko? yaani chadema wote tabia zenu ziko sawa mbowe anawachangisha hela anakula mnashabikia msigwa anawachangisha anakula wamemshitukia anakuwa mkali anafukuza wat hovyo halafu mnataka kuchukuwa nchi mnaweza kuiongoza kama mnashindwa kujiongoza ndani ya chama?

Hicho CDM ni chama cha aina gani kisichokufa, kama ni migogoro tumeona mingi toka enzi za kina Walid Kabarou, Zito, Slaa, akina Mashinji, covid nk. Sasa huo mnaoita mgogoro huko uchochoroni ndio utaua CDM?
 
Hicho CDM ni chama cha aina gani kisichokufa, kama ni migogoro tumeona mingi toka enzi za kina Walid Kabarou, Zito, Slaa, akina Mashinji, covid nk. Sasa huo mnaoita mgogoro huko uchochoroni ndio utaua CDM?
KUBE MNAKIJUWA KUWA SI CHAMA BALI NI KIKUNDI CHA MIGOGORO AIBU
 
KUBE MNAKIJUWA KUWA SI CHAMA BALI NI KIKUNDI CHA MIGOGORO AIBU

Kuna taasisi watu wasiyotofautiana? Huo ndio uimara wa chama, na hiyo ndio siri ya CDM kuendelea kuwa hai na imara mpaka sasa.
 
Yaani nimeishia kucheka tu. Hivi watu wengine vyama vya siasa vinawaloga au vinawafanyaje?

Mtu unamuonesha kitu cheupe na unamumbia hiki kitu ni cheupe, lakini yeye bado atasema sio cheupe. Nadhani huo ni uwendawazimu sasa!

Be serious mkuu. Video haionyeshi “mpasuko”.

Inaonyesha tamko rasmi la uongozi wa kanda kuhusu hatua za kikatiba zilizochukuliwa kurekebisha uongozi wa Mbeya mjini. Linashangiliwa.

Pia mwenyekiti aliyeondolewa anaonyeshwa akilalamika nje ya kikao mbele ya press. Keshaambiwa kukata rufaa ruksa.

Mpasuko ungedhihirika zingetokea faction mbili za wanachama zikipingana katika kikao hicho kuhusu uamuzi huo bila muafaka.
 
Cdm waupe tu bado sn wanachama wa cdm wanna mihemuko mbaya.kila kitu ubabe ubabe
 
Wanachama, kama hao wa Mbeya, wakiondika HAKIKA chama chenu kitakufa
Bahati mbaya sana CHADEMA sasa ndiyo platform pekee ya upinzani Tanzania inayotegemewa hata na wanaCCM wakiwemo watendaji wa vyombo vya dola wenye kero na uongozi wa nchi. Hakuna namna inaweza kufa.

Itabakia kuwa jinamizi la kudumu kwa CCM katika kila hatua yake ya kuwahadaa Watanzania. Leo hii kila anayekosoa serikali hata mitandaoni anaitwa CHADEMA!

Serikali ifanye kazi ya ziada kuminya sauti ya “CHADEMA”. You need all the luck.
 
Be serious mkuu. Video haionyeshi “mpasuko”.

Inaonyesha tamko rasmi la uongozi wa kanda kuhusu hatua za kikatiba zilizochukuliwa kurekebisha uongozi wa Mbeya mjini. Linashangiliwa.

Pia mwenyekiti aliyeondolewa anaonyeshwa akilalamika nje ya kikao mbele ya press. Keshaambiwa kukata rufaa ruksa.

Mpasuko ungedhihirika zingetokea faction mbili za wanachama zikipingana katika kikao hicho kuhusu uamuzi huo bila muafaka.

Msigwa anazungumzia swala la kuwaunganisha wanachama gani ambao wanahitaji kuunganishwa?

It’s unrealistic kufikiri kwamba uongozi uliovunjwa hauna support kutoka kwa baadhi ya wanachama.

Hicho kikao cha kuvunja uongozi wa jimbo kitakuwa kimeitishwa na faction moja ya chama.

Mwenyekiti anasema wajumbe wanne kati ya kumi wa kamati ya kanda ndio waliofanya kile alichokiita uhuni.

Mwisho, kuna haja ya hivi vyama vya siasa kuboresha katiba zake kabla ya kutaka kuboresha Katiba ya nchi. Huwezi kuwa na katiba ambayo inawapa watu fulani uwezo wa kuvunja uongozi wa chama (wa ngazi yoyote) wa kuchaguliwa na wanachama. Hiyo siyo democracy; ni dictatorship!
 
nyie mnasubiri tuvurugane kufikia 2025 wakati nyinyi mmeashaanza sasa hivi kuvurugana mpaka 2025 tutakuwa na ACT WAZALENDO tu nyie mtakuwa mmeshamalizana wenyewe kwa wenyewe
Utakuwa umezaliwa jana wewe hujui lolote zaidi ya ushabiki ulioambukizwa na wazazi wako.
 
Back
Top Bottom