Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,485
- 40,012
Brutus... thanks for the vote of confidence..hujanipa ushauri chama gani? naona kama mtu unataka kufanya kweli ni bora iwe CCM... so na ukosoaji wangu huu wote unafikiri wanaweza hata kuniangalia? Sidhani CCM inahitaji mpiga kelele kama mimi! kuzungumza huku shamba inatosha..!