Tumain
JF-Expert Member
- Jun 28, 2009
- 3,154
- 70
a)Huyu jamaa kaleta mikataba ya kanisa na serikali =Upendeleo dahiri ulaaniwe!
b) kama kuna mtu ameona kuna mkataba kati ya serikali na Wailamu aulete ndio tujadili
lakini kwa sasa evidence iliyopo ni kwamba "serikali inapendele wakrsto" kwa kuweka mkataba wa siri,
Wachangiaji wakristo wanaona raha kanisa kunyonya walipa kodi==Huo unaitwa "Unafiki"
b) kama kuna mtu ameona kuna mkataba kati ya serikali na Wailamu aulete ndio tujadili
lakini kwa sasa evidence iliyopo ni kwamba "serikali inapendele wakrsto" kwa kuweka mkataba wa siri,
Wachangiaji wakristo wanaona raha kanisa kunyonya walipa kodi==Huo unaitwa "Unafiki"