white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,314
- 13,279
Mkuu kama hujui utaratibu wa malipo kwa hizi kazi za ukandarasi ni bora kuuliza kuliko kuja hivi, ulivyokuja!!kazi za ukandarasi , hulipwa kulingana na certificates, unaamaliza kazi fulani, una issue certificate, wanakuja kukagua unalipwa kwa kazi hiyo kwanza, ndipo unaendelea!!sasa ka awamu hii mkandarasi ana issue certificate kibao, halipwi, ana kuja kiongozi wa kisiasa anaanza kubwabwaja, kuwa kazi imekushinda, nitafanyaje kazi bila kulipwa pesa??huyu amethubutu kujitoa muhanga kwani kwa mazingira ya sasa ni ngumu kujitokeza nankusema hayo!!lakini ndio hali inayowakumba wakandarasi wote nchini!!na huyu usije shangaa akavunjiwa mkataba kuwa sio MZALENDO!!!Anatumika na mabeberu na asipewe kazi tena nchini!!!Ina maana amelipwa bil 27 bado billion 1 , napenda nijue stend imefikia wap , Kwa deni hlo naamin stend imefikia 99% ya ujenzi wake