Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,793
- 12,238
johnthebaptist waambie ndugu zako wamlipe fedha zake, waache ubabaishaji.
Usijifanye mjuaji sana,hata huyo mungu wako Jiwe alishapita hapo na akakubaliana na hiyo budget.STANDI YA BILIONI 28 MOSHI???? TAKUKURU WAMULIKE HUO MRADI LAZIMA UNA UFISADI MKUBWA SANAAAA! MIMI KAMA MWANA MOSHI SIKUBALIANI NA HILO.
WEKENI HUMU MICHORO NA DESIGN KAMA MLIVYOFANYA KWA DAR ILI TUJADILI VIZURI! DUUUU!
Moshi jengo gani halina watu?I don't care about you distorted mind.. nikukosee heshima kwa kuhighlight mapungufu ya fikra wakati wa kujenga wazo!?
Mjini moshi kuna majengo yako tupu.. hayana wapangaji. Huko stand mpya unakwenda kuwatoa wapangaji wapi!? Au washona viatu unatarajia wataingia walipe kodi ya pango!?
Na trip generation moshi iko wapi!? Mabasi yote yanaondoka asubuhi na kurudi usiku.. asilimia hamsini na zaidi na watu wanapita tu kwenye DOm Arusha Tanga na DSM... Halafu unaweka bilioni 28!? Uzirudisheje!? Kama sio ufahari tuu
Wamezoea stend ya kumwaga lami Kama ya kange,singida ,na nyingineUsijifanye mjuaji sana,hata huyo mungu wako Jiwe alishapita hapo na akakubaliana na hiyo budget.
Uchumi houseMoshi jengo gani halina watu?
Stend kusiwe na biashara Moshi?
Unaijua Moshi mjini vizuri?
Kuanzia dar Street,majengo na mitaa yake,njoro na mitaa yake,kcmc na mitaa yake, rau na mitaa yake , ngangamfumuni na mitaa yake,ushirika,Kiboriloni,shant town,ccp,Soweto, mbuyuni,
Yaani kuna watu,ni wa ajabu sana!!kila sehemu analeta ushabiki wa yanga na simba, bila hata kujua utaratibu uliopo wa jambo husika!!Unajua mkuu, Kuna watu ujuaji mwingi alafu hamna kitu.
Bora umewafafanulia vizuri wasipoelewa usiumize kichwa, unafikiri malipo ya kazi za serikali kama unaenda kwa mangi kununua mchele
Jengo la uchumi limeadhirika na uwepo wa stend karibu nilikuwa hapo mwaka juzi pako vizuri
Mkandarasi anayejenga stendi kubwa ya mabasi ya kimataifa ya Ngangamfumini, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro yenye thamani ya bilioni 28, ametoa wiki moja kwa serikali imlipe fedha zake ambazo ni zaidi ya bilioni 1 anazodai kabla hajasimama kuendelea na ujenzi wa stendi hiyo.
Charles Shimilwa, Msimamizi wa ujenzi wa stendi hiyo kutoka kampuni ya CRJE East Africa.
Msimamizi wa ujenzi wa jengo hilo kutoka kampuni ya CRJE East Africa, Charles Shimilwa, amesema kuwa mpaka sasa kampuni hiyo imeshindwa kuendelea na ujenzi kutokana na madeni wanayoidai serikali kwa kipindi kirefu hali iliyosababisha kupoteza ajira zaidi ya 100.
Kwa upande wake mwenyekiti wa kamati ya fedha na utawala ambaye pia ni mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Juma Raibu, amesema endapo mkandarasi huyo atasimamisha ujenzi wa jengo hilo serikali italazimika kumlipa fidia kwa mujibu wa mkataba wa ujenzi huo na kuiomba serikali kulipa fedha hizo ili kukamilisha kwa wakati ujenzi wa stendi hiyo.
Naye Diwani wa kata ya Ngangamfuni inapojengwa stendi hiyo, Stuart Nathanael, amesema endapo mradi wa stendi hiyo utasimama utaathiri shughuli za uchumi katika kata hiyo na manispaa kukosa mapato na kuiomba serikali kuangalia uwezekano wa kulipa fedha hizo kwa haraka.
EATV
Amekueleza vizuri kuwa urudie kusoma, hujaelewa.Nirudie nini ??, we ndo rudia , unakrupuka tuu, stend Gharama ni bil 28 , mkandarasi anadai bil 1....matokeo ya shule za kata tabu sana
Mkandarasi mwenyewe ni beberu wa kikomunisti ambaye ndio alijenga na kuwekeza kwenye miradi mikubwa nazani hata reli ya tazara alijenga yeye pia kwaio sio wa mchezo mchezo mjini amejenga majengo mengi na hoteli visiwaniMkuu kama hujui utaratibu wa malipo kwa hizi kazi za ukandarasi ni bora kuuliza kuliko kuja hivi, ulivyokuja!!kazi za ukandarasi , hulipwa kulingana na certificates, unaamaliza kazi fulani, una issue certificate, wanakuja kukagua unalipwa kwa kazi hiyo kwanza, ndipo unaendelea!!sasa ka awamu hii mkandarasi ana issue certificate kibao, halipwi, ana kuja kiongozi wa kisiasa anaanza kubwabwaja, kuwa kazi imekushinda, nitafanyaje kazi bila kulipwa pesa??huyu amethubutu kujitoa muhanga kwani kwa mazingira ya sasa ni ngumu kujitokeza nankusema hayo!!lakini ndio hali inayowakumba wakandarasi wote nchini!!na huyu usije shangaa akavunjiwa mkataba kuwa sio MZALENDO!!!Anatumika na mabeberu na asipewe kazi tena nchini!!!
Sasahivi hakuna cha sheria ni maagizo ya mtu mmojaMkataba na sheria havina cha serikali.Na serikali sio jiwe, jiwe ni mpitaji serikali ipo milele.
Unawasaliti Wachagga wenzio bwasheeKwa wachaga weka nukta katikati ya 2 na 8 zinazobaki zinaingia mifukoni!
Anataka kugusa nyeti ya simba huyo!! Eti anaipa serikali wiki??
Haki ya mtu aipotei hata kwa maagizo.Umeingia mkataba na serikali na sio mtuSasahivi hakuna cha sheria ni maagizo ya mtu mmoja
Serikali ni mali binafsi ya diktetaHaki ya mtu aipotei hata kwa maagizo.Umeingia mkataba na serikali na sio mtu
Awamu hii,na sio awamu zijazoSerikali ni mali binafsi ya dikteta