mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,840
Kama kuna sehemu. Mmeambiwa mle nguruwe kwenye biblia IWEKE.Ndio umeishia hapo tu?
Kama kuna sehemu. Mmeambiwa mle nguruwe kwenye biblia IWEKE.Ndio umeishia hapo tu?
Kuna sehemu mmeambiwa mle mbuzi kwenye Biblia. IWEKEKama kuna sehemu. Mmeambiwa mle nguruwe kwenye biblia IWEKE.
Mambo ya Walawi waliandikiwa Watu wa ukoo wa Lawi ambao ni ukoo wa Kikuhani. Watanzania mambo ya Walawi hayatuhusuAya ya 7 na 8
Kuna sehemu mmeambiwa mle mbuzi kwenye Biblia. IWEKE
Mathayo 15 : 11Kama kuna sehemu. Mmeambiwa mle nguruwe kwenye biblia IWEKE.
Nataka sehemu waliotaja mbuzi sio kwato
SOMA AYA YA 3.
Hajui chochote huyo.Mambo ya Walawi waliandikiwa Watu wa ukoo wa Lawi ambao ni ukoo wa Kikuhani. Watanzania mambo ya Walawi hayatuhusu
WAPI MMEAMBIWA KWENYE BIBLIA WAKRISTO WA TANZANIA MUENDE KANISANI?Mambo ya Walawi waliandikiwa Watu wa ukoo wa Lawi ambao ni ukoo wa Kikuhani. Watanzania mambo ya Walawi hayatuhusu
biblia ni kitabu cha hadithi za watu wa kaleAya ya 7 na 8
KWA HYO HIZO AYA ZA WALAWI ZIMETUNGWA?Mathayo 15 : 11
Sio kile kiingiacho kinywani chamtia mtu unajisi bali kimtokacho kinywani.
Una uelewa wa kuelewa au hujaelewa?
hahahah mapokeo yana shida sana! hii ni sawa sawa na kujilazimisha kuishi kama wazungu wanavyoishiWAPI MMEAMBIWA KWENYE BIBLIA WAKRISTO WA TANZANIA MUENDE KANISANI?
Unamjua mbuzi? Ana kwato au Ana vidole?Nataka sehemu waliotaja mbuzi sio kwato
Ohoooo mm ndukiKuna mpango mkubwa wa serikali wa kuanzisha Ranch ya Nguruwe huko Unguja na Pemba
mda wa watu wa kaskazini ushafika.nakuonaMoshi ni mji wa kitalii.Mji ulioanza kuona wazungu hapa Tanzania.
Pombe kali na kitimoto rosti ni wengi sana bila kujali jinsia. Watoto wadogo na vibinti vinakula pombe sana.
Vijiwe maarufu vya kitimoto Moshi mjini ambavyo ni maarufu ni:-
Mbosho
MINJAS Pub Majengo stand
Toroka uje- Kiboroloni
Masikio
Msonge
Pamela Pub - Soweto
Unakuta mtu anashusha konyagi kubwa na kitimoto rosti na ugali.
Moshi raha sana
Ndio maana wana Akili nyingi.
Ukiishia kula kashata na urojo unakuwa ngumbaru jike.
Hata nyumbu ana kwato nataka unipe kifungu kinachotutaka tule Mbuzi.Unamjua mbuzi? Ana kwato au Ana vidole?
Na wewe una sapoti hoja yake dhaifu.Hajui chochote huyo.
Ni wale wale.
Itungwe kwani imekuwa Kile kitabu cha Muddy alichodai kashushiwa kutoka angani?KWA HYO HIZO AYA ZA WALAWI ZIMETUNGWA?
Kwani nyumbu haliwi?Hata nyumbu ana kwato nataka unipe kifungu kinachotutaka tule Mbuzi.
Hebu kuwa muelewa:Na wewe una sapoti hoja yake dhaifu.
KWANI WATANZANIA MNA BIBLIA YENU TOFAUTI NA ILE ILIYOKUWEPO KIPINDI CHA WALAWI?