wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Hii kamati ya Mwanjala naona ina " play safe."
Morrison kwa kujua hana mkataba na Yanga hata kama anashauri kibiashara lazima aendelee na maisha.
Hata kama hukumu ingekuwa dhidi yake ni yeye ndiye angepata madhara.
Vipi kama hii kamati haioni kuwa Morrison alikuwa anakimbizana deal yake kuwa closed kwa kusajiliwa na Simba. Kama angeikosa angemdai nani fidia.?
Morrison kwa kujua hana mkataba na Yanga hata kama anashauri kibiashara lazima aendelee na maisha.
Hata kama hukumu ingekuwa dhidi yake ni yeye ndiye angepata madhara.
Vipi kama hii kamati haioni kuwa Morrison alikuwa anakimbizana deal yake kuwa closed kwa kusajiliwa na Simba. Kama angeikosa angemdai nani fidia.?