GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,631
- 108,992
GENTAMYCINE sijashangaa sana kwa hili la Ali Kiba ( mwana Yanga SC lia lia kwa 100% ) kuhamia Simba SC kwani kama Mwenyekiti wa Simba SC Murtaza Mangungu ni mwana Yanga SC lia lia, Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni mwana Yanga SC lia lia, Mjumbe wa zamani Simba SC ( tena nimesoma nae Sekondari ) Said Tuli ( sasa ni Mshauri Kivuli wa Klabu ya Simba ) japo ni Wakala wa Wachezaji ni mwana Yanga SC lia lia, Mratibu wa Timu Abbas nae akiwa ni mwana Yanga SC lia lia na Fred Ngajiro ( Fred Vunjabei ) aliyekuwa Kit Sponsor Wetu alikuwa na ni mwana Yanga SC lia lia kwanini na Yeye Kirusi Ali Kiba asiwe mwana Simba SC Usoni ila mwana Yanga SC rohoni?
Halafu Yanga SC wakisema ( tena kwa Kutamba ) kuwa Watakuwa Mabingwa wa NBC Premier League na kwamba watatufunga mno Simba SC huwa mnawakatalia na hamuwaelewi.
Hovyo kabisa yaani Mtu ana Bifu lake la Kushindwa Mziki na Kubanduliwa ampendae na Mwamba Nasib na kamshindwa kuona atafute Msaada wa Kusapotiwa Kimuziki na Kurudishwa katika Chati akaona aje Kwetu Mimbumbumbu ( Fools ) na kweli tumempokea na tarehe 6 August, 2023 tunaenda Kumpandisha Chati kisha akisharejea katika Kiwango chake mwakani anarejea zake Yanga SC anakokupenda zaidi.
Yaani Ali Kiba ambaye aligombana na Mchezaji Haruna Fafhil Hakizimana Niyonzima alipoihama Yanga SC na kuja Simba SC hadi Wakaufuta Urafiki na Kukacha kabisa Kuntembelea Niyonzima alipokuwa akikaa Sinza leo hii anakuja Kutubania Pua yake na kusema.... kuanzia leo Mimi ni mwana Simba SC.....
Yaani mmenikera na kuniboa Kweli!!
Halafu Yanga SC wakisema ( tena kwa Kutamba ) kuwa Watakuwa Mabingwa wa NBC Premier League na kwamba watatufunga mno Simba SC huwa mnawakatalia na hamuwaelewi.
Hovyo kabisa yaani Mtu ana Bifu lake la Kushindwa Mziki na Kubanduliwa ampendae na Mwamba Nasib na kamshindwa kuona atafute Msaada wa Kusapotiwa Kimuziki na Kurudishwa katika Chati akaona aje Kwetu Mimbumbumbu ( Fools ) na kweli tumempokea na tarehe 6 August, 2023 tunaenda Kumpandisha Chati kisha akisharejea katika Kiwango chake mwakani anarejea zake Yanga SC anakokupenda zaidi.
Yaani Ali Kiba ambaye aligombana na Mchezaji Haruna Fafhil Hakizimana Niyonzima alipoihama Yanga SC na kuja Simba SC hadi Wakaufuta Urafiki na Kukacha kabisa Kuntembelea Niyonzima alipokuwa akikaa Sinza leo hii anakuja Kutubania Pua yake na kusema.... kuanzia leo Mimi ni mwana Simba SC.....
Yaani mmenikera na kuniboa Kweli!!