Rais wa Yanga SC Hersi na Msemaji Kamwe waombeni Radhi wana Yanga SC kwa Kuwadanganya kuhusu Mkataba wenu na Agha Khan Hospital leo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,595
108,963
Hivi ni kwanini lakini Viongozi wa Yanga SC hupenda Kuwadanganya Mashabiki wa Yanga SC na kuwaona ni kama vile hawana Akili na siyo Watu wanaopenda Kufuatilia mambo / masuala mtambuka ndani na nje ya Tanzania?

Kwa mshangao na masikitiko makubwa kabisa leo Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na hata baadae Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kwa pamoja na nyakati tofauti wamesema kuwa Tanzania nzima hadi Afrika Mashariki ni Yanga SC tu pekee ndiyo Klabu iliyoweza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa ya Agha Khan ambao ni wa mwaka mmoja.

Na kama kawaida Mijitu ( Mishabiki ). ya Yanga SC iliyo miepesi kukubali Uwongo na Kudanganywa imekubali na kujiona kuwa Wao ndiyo Waanzilishi wa Mafanikio ya Mikataba na Biashara hapa Tanzania wakati ukweli ni kwamba Vilabu vya Simba SC na Azam FC vimeizidi Yanga SC kwa mbali mno.

Haya Rais wa Yanga, Msemaji na Mashabiki wote wa Yanga SC GENTAMYCINE nimeamua Kuwaumbueni kwa Uwongo wenu kwa kuwawekea Ushahidi hapa chini wa Klabu ipi kati ya Yanga SC na Azam FC ndiyo ilikuwa / imekuwa ya Kwanza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa na ya Kimataifa ambayo miongo Minne iliyopita ilifanikisha kusaidia Kunileta duniani kwa Msaada mkubwa wa Manesi Wawili wa Kizungu Sister Agatha na Sister Brenda huku Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akiwa wa Kwanza kuja Kuniona na Kunibeba akitokea Ikulu Magogoni na kunipa Jina langu halisia la mwana Mapinduzi mkubwa wa Afrika ninalodumu nalo hadi sasa / leo na Nitazikwa nalo pia pale nikiitwa Mbinguni kwa Mungu Baba.

Tarehe 1 Februari, 2023

KLABU ya Azam FC imeingia mkataba wa miaka miwili na hospitali ya Aga Khan kwa ajili ya matibabu ya wachezaji na wafanyakazi wake wote.

Taarifa ya Azam FC imesema kwamba mkataba huo wa miaka miwili umesainiwa leo katika hospitali hiyo iliyopo eneo la Sea View Upanga Dar Es Salaam.

Mtendaji mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Nurdin Mohamed Amin 'Popat' na mwenzake Sisawo Konteh wa Aga Khan ndiyo waliosaini mkataba huo kwa niaba ya taasisi zao


( Chanzo ni Mtandao wa Michezo wa Bin Zubeiry na pia Taarifa hii ipo katika Mitandao mingine mbalimbali na hata katika Mtandao wao Hospitali ya Agha Khan )

Haya Mapovu ruksa enyi Mazuzu Ok?
 
Unajihangaisha bure tu kwa kuongea upuuzi.

Katika maandiko yako ni asilimia 10 ya maandiko ndo huwa na mashiko mengine yote ni mihemko
Another ZUZU from Twiga and Jangwani Street.
 
Hivi ni kwanini lakini Viongozi wa Yanga SC hupenda Kuwadanganya Mashabiki wa Yanga SC na kuwaona ni kama vile hawana Akili na siyo Watu wanaopenda Kufuatilia mambo / masuala mtambuka ndani na nje ya Tanzania?

Kwa mshangao na masikitiko makubwa kabisa leo Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na hata baadae Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kwa pamoja na nyakati tofauti wamesema kuwa Tanzania nzima hadi Afrika Mashariki ni Yanga SC tu pekee ndiyo Klabu iliyoweza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa ya Agha Khan ambao ni wa mwaka mmoja.

Na kama kawaida Mijitu ( Mishabiki ). ya Yanga SC iliyo miepesi kukubali Uwongo na Kudanganywa imekubali na kujiona kuwa Wao ndiyo Waanzilishi wa Mafanikio ya Mikataba na Biashara hapa Tanzania wakati ukweli ni kwamba Vilabu vya Simba SC na Azam FC vimeizidi Yanga SC kwa mbali mno.

Haya Rais wa Yanga, Msemaji na Mashabiki wote wa Yanga SC GENTAMYCINE nimeamua Kuwaumbueni kwa Uwongo wenu kwa kuwawekea Ushahidi hapa chini wa Klabu ipi kati ya Yanga SC na Azam FC ndiyo ilikuwa / imekuwa ya Kwanza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa na ya Kimataifa ambayo miongo Minne iliyopita ilifanikisha kusaidia Kunileta duniani kwa Msaada mkubwa wa Manesi Wawili wa Kizungu Sister Agatha na Sister Brenda huku Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akiwa wa Kwanza kuja Kuniona na Kunibeba akitokea Ikulu Magogoni na kunipa Jina langu halisia la mwana Mapinduzi mkubwa wa Afrika ninalodumu nalo hadi sasa / leo na Nitazikwa nalo pia pale nikiitwa Mbinguni kwa Mungu Baba.

Tarehe 1 Februari, 2023

KLABU ya Azam FC imeingia mkataba wa miaka miwili na hospitali ya Aga Khan kwa ajili ya matibabu ya wachezaji na wafanyakazi wake wote.

Taarifa ya Azam FC imesema kwamba mkataba huo wa miaka miwili umesainiwa leo katika hospitali hiyo iliyopo eneo la Sea View Upanga Dar Es Salaam.

Mtendaji mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Nurdin Mohamed Amin 'Popat' na mwenzake Sisawo Konteh wa Aga Khan ndiyo waliosaini mkataba huo kwa niaba ya taasisi zao


( Chanzo ni Mtandao wa Michezo wa Bin Zubeiry na pia Taarifa hii ipo katika Mitandao mingine mbalimbali na hata katika Mtandao wao Hospitali ya Agha Khan )

Haya Mapovu ruksa enyi Mazuzu Ok?
mkataba wa azam na wa yanga ni tofauti,azam wamesaini kwa ajili ya wachezaji na wafanyakazi,sawa;lakini wa yanga ni mkataba wa kwanza na wa aina yake ambao,wanachama wa yanga pia wamehusishwa,kwamba ukiwa na kadi ya yanga na ipo hai,unapunguziwa gharama za matibabu,sasa nitolee ushahidi hapa wa klabu ipi nyingine Tanzania hii,ina mkataba kama huo wa yanga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi ni kwanini lakini Viongozi wa Yanga SC hupenda Kuwadanganya Mashabiki wa Yanga SC na kuwaona ni kama vile hawana Akili na siyo Watu wanaopenda Kufuatilia mambo / masuala mtambuka ndani na nje ya Tanzania?

Kwa mshangao na masikitiko makubwa kabisa leo Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na hata baadae Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kwa pamoja na nyakati tofauti wamesema kuwa Tanzania nzima hadi Afrika Mashariki ni Yanga SC tu pekee ndiyo Klabu iliyoweza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa ya Agha Khan ambao ni wa mwaka mmoja.

Na kama kawaida Mijitu ( Mishabiki ). ya Yanga SC iliyo miepesi kukubali Uwongo na Kudanganywa imekubali na kujiona kuwa Wao ndiyo Waanzilishi wa Mafanikio ya Mikataba na Biashara hapa Tanzania wakati ukweli ni kwamba Vilabu vya Simba SC na Azam FC vimeizidi Yanga SC kwa mbali mno.

Haya Rais wa Yanga, Msemaji na Mashabiki wote wa Yanga SC GENTAMYCINE nimeamua Kuwaumbueni kwa Uwongo wenu kwa kuwawekea Ushahidi hapa chini wa Klabu ipi kati ya Yanga SC na Azam FC ndiyo ilikuwa / imekuwa ya Kwanza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa na ya Kimataifa ambayo miongo Minne iliyopita ilifanikisha kusaidia Kunileta duniani kwa Msaada mkubwa wa Manesi Wawili wa Kizungu Sister Agatha na Sister Brenda huku Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akiwa wa Kwanza kuja Kuniona na Kunibeba akitokea Ikulu Magogoni na kunipa Jina langu halisia la mwana Mapinduzi mkubwa wa Afrika ninalodumu nalo hadi sasa / leo na Nitazikwa nalo pia pale nikiitwa Mbinguni kwa Mungu Baba.

Tarehe 1 Februari, 2023

KLABU ya Azam FC imeingia mkataba wa miaka miwili na hospitali ya Aga Khan kwa ajili ya matibabu ya wachezaji na wafanyakazi wake wote.

Taarifa ya Azam FC imesema kwamba mkataba huo wa miaka miwili umesainiwa leo katika hospitali hiyo iliyopo eneo la Sea View Upanga Dar Es Salaam.

Mtendaji mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Nurdin Mohamed Amin 'Popat' na mwenzake Sisawo Konteh wa Aga Khan ndiyo waliosaini mkataba huo kwa niaba ya taasisi zao


( Chanzo ni Mtandao wa Michezo wa Bin Zubeiry na pia Taarifa hii ipo katika Mitandao mingine mbalimbali na hata katika Mtandao wao Hospitali ya Agha Khan )

Haya Mapovu ruksa enyi Mazuzu Ok?
Yanga wamezungumzia kuhusu kuwa wa kwanza kuingia mkataba mno na hiyo hospitali, siyo wa kwanza kuingia mkataba na hiyo hospitali.

Maelezo ya Yanga (kuhusu mkataba mnono) yanamaanisha thamani ya huo mkataba wao na hiyo hospitali, kuwa ni hela nyingi kuliko mikataba mingine yote ya namna hiyo.

Hivyo, mjadala wako ungekuwa sahihi kama ungeleta thamani ya mkataba wa Yanga na hiyo hospitali na thamani ya mkataba wa Azam na hiyo hospitali.

Kama Azam wangechukua pesa nyingi kuliko Yanga, tungethibitisha akina Kamwe kutoa taarifa ya uongo. Kwamba wao siyo wa kwanza.

Zingatia neno 'Mkataba Mnono', sio tu 'Mkataba'.

Ova
 
mkataba wa azam na wa yanga ni tofauti,azam wamesaini kwa ajili ya wachezaji na wafanyakazi,sawa;lakini wa yanga ni mkataba wa kwanza na wa aina yake ambao,wanachama wa yanga pia wamehusishwa,kwamba ukiwa na kadi ya yanga na ipo hai,unapunguziwa gharama za matibabu,sasa nitolee ushahidi hapa wa klabu ipi nyingine Tanzania hii,ina mkataba kama huo wa yanga

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini Mashabiki wa Yanga SC Viongozi wenu hupenda sana kuwafanyeni ni Mazuzu kama hivi?
 
Hivi ni kwanini lakini Viongozi wa Yanga SC hupenda Kuwadanganya Mashabiki wa Yanga SC na kuwaona ni kama vile hawana Akili na siyo Watu wanaopenda Kufuatilia mambo / masuala mtambuka ndani na nje ya Tanzania?

Kwa mshangao na masikitiko makubwa kabisa leo Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na hata baadae Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kwa pamoja na nyakati tofauti wamesema kuwa Tanzania nzima hadi Afrika Mashariki ni Yanga SC tu pekee ndiyo Klabu iliyoweza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa ya Agha Khan ambao ni wa mwaka mmoja.

Na kama kawaida Mijitu ( Mishabiki ). ya Yanga SC iliyo miepesi kukubali Uwongo na Kudanganywa imekubali na kujiona kuwa Wao ndiyo Waanzilishi wa Mafanikio ya Mikataba na Biashara hapa Tanzania wakati ukweli ni kwamba Vilabu vya Simba SC na Azam FC vimeizidi Yanga SC kwa mbali mno.

Haya Rais wa Yanga, Msemaji na Mashabiki wote wa Yanga SC GENTAMYCINE nimeamua Kuwaumbueni kwa Uwongo wenu kwa kuwawekea Ushahidi hapa chini wa Klabu ipi kati ya Yanga SC na Azam FC ndiyo ilikuwa / imekuwa ya Kwanza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa na ya Kimataifa ambayo miongo Minne iliyopita ilifanikisha kusaidia Kunileta duniani kwa Msaada mkubwa wa Manesi Wawili wa Kizungu Sister Agatha na Sister Brenda huku Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akiwa wa Kwanza kuja Kuniona na Kunibeba akitokea Ikulu Magogoni na kunipa Jina langu halisia la mwana Mapinduzi mkubwa wa Afrika ninalodumu nalo hadi sasa / leo na Nitazikwa nalo pia pale nikiitwa Mbinguni kwa Mungu Baba.

Tarehe 1 Februari, 2023

KLABU ya Azam FC imeingia mkataba wa miaka miwili na hospitali ya Aga Khan kwa ajili ya matibabu ya wachezaji na wafanyakazi wake wote.

Taarifa ya Azam FC imesema kwamba mkataba huo wa miaka miwili umesainiwa leo katika hospitali hiyo iliyopo eneo la Sea View Upanga Dar Es Salaam.

Mtendaji mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Nurdin Mohamed Amin 'Popat' na mwenzake Sisawo Konteh wa Aga Khan ndiyo waliosaini mkataba huo kwa niaba ya taasisi zao


( Chanzo ni Mtandao wa Michezo wa Bin Zubeiry na pia Taarifa hii ipo katika Mitandao mingine mbalimbali na hata katika Mtandao wao Hospitali ya Agha Khan )

Haya Mapovu ruksa enyi Mazuzu Ok?
Luc Eymael alipowaita hawa uto kuwa ni nyani hakukose kabisa
FB_IMG_1707213280656~3.jpg
 
mkataba wa azam na wa yanga ni tofauti,azam wamesaini kwa ajili ya wachezaji na wafanyakazi,sawa;lakini wa yanga ni mkataba wa kwanza na wa aina yake ambao,wanachama wa yanga pia wamehusishwa,kwamba ukiwa na kadi ya yanga na ipo hai,unapunguziwa gharama za matibabu,sasa nitolee ushahidi hapa wa klabu ipi nyingine Tanzania hii,ina mkataba kama huo wa yanga

Sent using Jamii Forums mobile app
Akikujibu nitag Mkuu.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Umeambiwa Mkataba wa Yanga na Agakhan ni mkataba mnono kama ambavyo hata wewe umeainisha hapo. Sasa unataka kufanisha na vitu gani vingine. Halafu sa 8 umesikia kuna jambo kaa tayari kutuhabarisha ndugu mwandishi wa habari za Yanga.

Acha uPopoma
 
Hivi ni kwanini lakini Viongozi wa Yanga SC hupenda Kuwadanganya Mashabiki wa Yanga SC na kuwaona ni kama vile hawana Akili na siyo Watu wanaopenda Kufuatilia mambo / masuala mtambuka ndani na nje ya Tanzania?

Kwa mshangao na masikitiko makubwa kabisa leo Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na hata baadae Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kwa pamoja na nyakati tofauti wamesema kuwa Tanzania nzima hadi Afrika Mashariki ni Yanga SC tu pekee ndiyo Klabu iliyoweza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa ya Agha Khan ambao ni wa mwaka mmoja.

Na kama kawaida Mijitu ( Mishabiki ). ya Yanga SC iliyo miepesi kukubali Uwongo na Kudanganywa imekubali na kujiona kuwa Wao ndiyo Waanzilishi wa Mafanikio ya Mikataba na Biashara hapa Tanzania wakati ukweli ni kwamba Vilabu vya Simba SC na Azam FC vimeizidi Yanga SC kwa mbali mno.

Haya Rais wa Yanga, Msemaji na Mashabiki wote wa Yanga SC GENTAMYCINE nimeamua Kuwaumbueni kwa Uwongo wenu kwa kuwawekea Ushahidi hapa chini wa Klabu ipi kati ya Yanga SC na Azam FC ndiyo ilikuwa / imekuwa ya Kwanza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa na ya Kimataifa ambayo miongo Minne iliyopita ilifanikisha kusaidia Kunileta duniani kwa Msaada mkubwa wa Manesi Wawili wa Kizungu Sister Agatha na Sister Brenda huku Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akiwa wa Kwanza kuja Kuniona na Kunibeba akitokea Ikulu Magogoni na kunipa Jina langu halisia la mwana Mapinduzi mkubwa wa Afrika ninalodumu nalo hadi sasa / leo na Nitazikwa nalo pia pale nikiitwa Mbinguni kwa Mungu Baba.

Tarehe 1 Februari, 2023

KLABU ya Azam FC imeingia mkataba wa miaka miwili na hospitali ya Aga Khan kwa ajili ya matibabu ya wachezaji na wafanyakazi wake wote.

Taarifa ya Azam FC imesema kwamba mkataba huo wa miaka miwili umesainiwa leo katika hospitali hiyo iliyopo eneo la Sea View Upanga Dar Es Salaam.

Mtendaji mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Nurdin Mohamed Amin 'Popat' na mwenzake Sisawo Konteh wa Aga Khan ndiyo waliosaini mkataba huo kwa niaba ya taasisi zao


( Chanzo ni Mtandao wa Michezo wa Bin Zubeiry na pia Taarifa hii ipo katika Mitandao mingine mbalimbali na hata katika Mtandao wao Hospitali ya Agha Khan )

Haya Mapovu ruksa enyi Mazuzu Ok?
VYUO 20 BORA NCHINI TANZANIA

1. University Of Dar es Salaam (UDSM)
2. Sokoine University of Agriculture (SUA)
3.Muhimbili University of Health and Allied Science (MUHAS)
4. University of Dodoma (UDOM)
5. Catholic University of Health and Allied Science (BUGANDO)
6. Open University of Tanzania
7. Ardhi University
8. Mzumbe University
9. Tumaini University Makumira
10. State University of Zanzibar
11. Mkwawa University College of Education
12. Nelson Mandela African Institute of Science and Technology
13. Hurbert Kairuki Memorial University
14. Dar es Salaam Institute of Technology (DIT)
15. St Joseph University in Tanzania
16. College of Business Education (CBE)
17. Institute of Finance Management (IFM)
18. Kilimanjaro Christian Medical University College (KCMC)
19. Moshi Co-operative University (MOCU)
20. Saint Augustine University of Tanzania (SAUT)

Source: IREG Observatory

CHUO ulichosoma Kipo Namba Ngapi Kwenye List??
 
Hivi ni kwanini lakini Viongozi wa Yanga SC hupenda Kuwadanganya Mashabiki wa Yanga SC na kuwaona ni kama vile hawana Akili na siyo Watu wanaopenda Kufuatilia mambo / masuala mtambuka ndani na nje ya Tanzania?

Kwa mshangao na masikitiko makubwa kabisa leo Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said na hata baadae Msemaji wa Yanga SC Ali Kamwe kwa pamoja na nyakati tofauti wamesema kuwa Tanzania nzima hadi Afrika Mashariki ni Yanga SC tu pekee ndiyo Klabu iliyoweza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa ya Agha Khan ambao ni wa mwaka mmoja.

Na kama kawaida Mijitu ( Mishabiki ). ya Yanga SC iliyo miepesi kukubali Uwongo na Kudanganywa imekubali na kujiona kuwa Wao ndiyo Waanzilishi wa Mafanikio ya Mikataba na Biashara hapa Tanzania wakati ukweli ni kwamba Vilabu vya Simba SC na Azam FC vimeizidi Yanga SC kwa mbali mno.

Haya Rais wa Yanga, Msemaji na Mashabiki wote wa Yanga SC GENTAMYCINE nimeamua Kuwaumbueni kwa Uwongo wenu kwa kuwawekea Ushahidi hapa chini wa Klabu ipi kati ya Yanga SC na Azam FC ndiyo ilikuwa / imekuwa ya Kwanza kuingia Mkataba mnono na Hospitali Kubwa na ya Kimataifa ambayo miongo Minne iliyopita ilifanikisha kusaidia Kunileta duniani kwa Msaada mkubwa wa Manesi Wawili wa Kizungu Sister Agatha na Sister Brenda huku Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere akiwa wa Kwanza kuja Kuniona na Kunibeba akitokea Ikulu Magogoni na kunipa Jina langu halisia la mwana Mapinduzi mkubwa wa Afrika ninalodumu nalo hadi sasa / leo na Nitazikwa nalo pia pale nikiitwa Mbinguni kwa Mungu Baba.

Tarehe 1 Februari, 2023

KLABU ya Azam FC imeingia mkataba wa miaka miwili na hospitali ya Aga Khan kwa ajili ya matibabu ya wachezaji na wafanyakazi wake wote.

Taarifa ya Azam FC imesema kwamba mkataba huo wa miaka miwili umesainiwa leo katika hospitali hiyo iliyopo eneo la Sea View Upanga Dar Es Salaam.

Mtendaji mkuu wa Azam FC, Abdulkarim Nurdin Mohamed Amin 'Popat' na mwenzake Sisawo Konteh wa Aga Khan ndiyo waliosaini mkataba huo kwa niaba ya taasisi zao


( Chanzo ni Mtandao wa Michezo wa Bin Zubeiry na pia Taarifa hii ipo katika Mitandao mingine mbalimbali na hata katika Mtandao wao Hospitali ya Agha Khan )

Haya Mapovu ruksa enyi Mazuzu Ok?
Vi[i umesoma mikataba hiyo na kujua ni nani ana mktaba mnono? Inawezekana wote wana mikataba hiyo lakini siyo lazima terms za mikataba hiyo ziwe sawa. Kumbuka usemi huu: "In business life you don't get waht you deserve, you get what you negotiated for!." Haiwezekani Azama na Yanga wakanegotiate kwa namna ile ile.
 
Back
Top Bottom