Huwezi kutenganisha MOKIWA na Dhehebu la ANGLIKANA na huwezi kutenganisha Anglikana na USHOGA, Masharti ya CHADEMA kupewa misaada ni sera ya USHOGA, kuna nini nyuma ya pazia kufuatia kauli ya MOKIWA?
Mashoga wapo ukanda wa Pwani!
Huwezi kutenganisha MOKIWA na Dhehebu la ANGLIKANA na huwezi kutenganisha Anglikana na USHOGA, Masharti ya CHADEMA kupewa misaada ni sera ya USHOGA, kuna nini nyuma ya pazia kufuatia kauli ya MOKIWA?
Hatutarajii kiongozi mkubwa wa dini kama huyu (hata kama amestaafu) kutoa kauli kwa mtindo huu. Kwani vipara vinanyolewa na wale tu ambao damn zao hazijakomaa? Je kukomaa kwa damu kunategemea nini? Angeweza kufikisga ujumbe aliotaka kwa lugha sahihi, siyo hii ya 'kiuni'.Akizungumzia sakata la kuibuka kwa watu wanaojitangaza kuwania urais, Askofu mstaafu ndugu Valentine Mokiwa amesema kuwa nchi ya Tanzania bado ni changa sana hivyo haipaswi kuongozwa na wanyoa 'unga' maarufu kama 'vipara'.
"Nchi yetu bado ni changa sana hivyo sii busara kuongozwa na wanyoa 'unga'.Tunahitaji damu iliyokomaa kutuongoza". Alisema Mokiwa huku akionekana dhahiri kumlenga mmoja wa watu ambaye ametangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hivi karibuni kupitia kituo kimoja maarufu duniani cha runinga ya idhaa ya Kiswahili.
below !!30?? what a rubbish!!??
unajadili uhalisia au mihemko?
ni kweli mkuu, na atabaki hivyo endapo wataendelea kale kamchezo kao kakupitisha mgombea wa chama kimoja bila kupingwa kama alivyopita.
Akizungumzia sakata la kuibuka kwa watu wanaojitangaza kuwania urais, Askofu mstaafu ndugu Valentine Mokiwa amesema kuwa nchi ya Tanzania bado ni changa sana hivyo haipaswi kuongozwa na wanyoa 'unga' maarufu kama 'vipara'.
"Nchi yetu bado ni changa sana hivyo sii busara kuongozwa na wanyoa 'unga'.Tunahitaji damu iliyokomaa kutuongoza". Alisema Mokiwa huku akionekana dhahiri kumlenga mmoja wa watu ambaye ametangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hivi karibuni kupitia kituo kimoja maarufu duniani cha runinga ya idhaa ya Kiswahili.
Mokiwa aache kanisa aje kwenye siasa, ni aibu kwa askofu na taasisi kubwa anayoingoza kuwa na analysis kama hii. Hivi kuna mahusiano gani kati ya kunyoa na uongozi? Mbona Jacob Juma ananyoa kipara na anaongoza nchi
- Mbona watu wenye nywele wameghubikwa na ufisadi wa richmond, iptl n.k
- Sasa akili kuwa ubaguzi na unyanyasaji umeanzia kanisani kwake
Akizungumzia sakata la kuibuka kwa watu wanaojitangaza kuwania urais, Askofu mstaafu ndugu Valentine Mokiwa amesema kuwa nchi ya Tanzania bado ni changa sana hivyo haipaswi kuongozwa na wanyoa 'unga' maarufu kama 'vipara'.
"Nchi yetu bado ni changa sana hivyo sii busara kuongozwa na wanyoa 'unga'.Tunahitaji damu iliyokomaa kutuongoza". Alisema Mokiwa huku akionekana dhahiri kumlenga mmoja wa watu ambaye ametangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hivi karibuni kupitia kituo kimoja maarufu duniani cha runinga ya idhaa ya Kiswahili.
sawa mkuu nimekuelewa wewe una akili nyingi, je unaweza kutueleza JK Nyerere alikabidhiwa nchi hii ikiwa changa wakati ana umri gani?
Mkuu Matola,
With all due respect naomba kupingana na wewe katika hili.
Yule Kijana JK Nyerere wa wakati ule anakabidhiwa hii nchi hauwezi kumfananisha na Mhuni na Kilaza kama Makamba Jr kwa kila nyanja.
Kuanzia uadilifu,uzalendo,akili na kila kitu.
Huyu mwizi wa NECTA Galanos hauwezi kumfananisha na Nyerere wa kipindi kile.
Mkuu ni wewe kweli wa kumfananisha huyu limbukeni aliyempeleka mkewe kuzalia USA kwa kodi zetu eti ili tu mwanae aukwae uraia wa kule na kuachwa kwenye msafara wa Rais kisa mademu USA ?
This cant be you,kuna mtu atakuwa ame temper na ID yako,sio bure
juzi tulikuwa harambee kuchangia ununuzi wa gari ya paroko, niliwaeleza wazi natoa pesa yangu lakini gari ni lazima ubavuni iandikwe kwa maandishi makubwa kwamba gari hii ni ya parokia gani ili itambulike, mwenye magendo yake akodi tax ndio aende night club na guest house.
mokiwa hana akili na ndio maana waanglicana wamempiga chini uaskofu mkuu, jacob zuma ananyowa kipara na wasouth wamemwamini, hivi kama msomi wa level ya phd kama mokiwa anakuja na reasoning za kitoto namna hii bora mwanangu nimpeleke veta tu akapate ujuzi. tuna ombwe la wasomi wasioelimika Tanzania.
Common sense ni adimu sana kwa wengi, kwa nafasi yake kama kiongozi wa kiroho anapaswa kutoa angalizo lakijinga kama hilo? Mimi sikubaliani na JM kwa vigezo vingi lakini si style yake ya mavazi, onekano na ujana wake! ... Najiuliza tu; what is statement kama hiyo angeitoa kiongozi wa Kiislam kwa kiongozi kijana mwenye imani tofauti na yake ingekuwaje... Ni vema viongozi wa dini wakatuachia sisi tuchambue kwa kina kiongozi atakae tufaa !... Wao waliwahi kutuambia kuna chaguo la Mungu na sisi tukawasikiliza! sasa watuachie na sisi tumsikilizie mungu atuongoze kimya kimya ...
Akizungumzia sakata la kuibuka kwa watu wanaojitangaza kuwania urais, Askofu mstaafu ndugu Valentine Mokiwa amesema kuwa nchi ya Tanzania bado ni changa sana hivyo haipaswi kuongozwa na wanyoa 'unga' maarufu kama 'vipara'.
"Nchi yetu bado ni changa sana hivyo sii busara kuongozwa na wanyoa 'unga'.Tunahitaji damu iliyokomaa kutuongoza". Alisema Mokiwa huku akionekana dhahiri kumlenga mmoja wa watu ambaye ametangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hivi karibuni kupitia kituo kimoja maarufu duniani cha runinga ya idhaa ya Kiswahili.
Akizungumzia sakata la kuibuka kwa watu wanaojitangaza kuwania urais, Askofu mstaafu ndugu Valentine Mokiwa amesema kuwa nchi ya Tanzania bado ni changa sana hivyo haipaswi kuongozwa na wanyoa 'unga' maarufu kama 'vipara'.
"Nchi yetu bado ni changa sana hivyo sii busara kuongozwa na wanyoa 'unga'.Tunahitaji damu iliyokomaa kutuongoza". Alisema Mokiwa huku akionekana dhahiri kumlenga mmoja wa watu ambaye ametangaza nia ya kuwania urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania hivi karibuni kupitia kituo kimoja maarufu duniani cha runinga ya idhaa ya Kiswahili.
- Hayamuhusu ya Urais wameshindwa ya Flora Mbasha sasa anataka kuingilia ya siasa kutaka kutafuta ulaji tu hayamuhusu!1
Le Mutuz