butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,769
- 8,260
Kwa uelewa wangu katika fasihi hapa Mokiwa kaongea kwa lugha nyepesi lakini ngumu kutafsirika,uelewa wangu ni hivi;jaribu kuangalia waamini wa dini zetu hizi mbili yaani uislamu na ukristo ni waamini wa upande upi ambao huwa wananyoa sana vipara.I do not need your answer just swallow it na ikiwezekana fumba macho umeze kiwembe.