Mokiwa: Hatutaongozwa na wanyoa vipara

Mokiwa: Hatutaongozwa na wanyoa vipara

Wakuu, Mokiwa kaongea ukweli kuhusu huyu kijana Makamba(regardless kwamba kuna anayepigiwa chapuo na Mokiwa mwenyewe) Makamba ana jipya gani zaidi ya kubebwa na Kikwete? Imagine anaota ndoto za urais!!! Hivi kweli? Kuna hoja ya msingi ya kumpeleka ikulu? hata mimi nasema siko tayari kuongozwa na wanyoa 'unga'
 
January Makamba ni Mtutsi pure kwa mama yake. Wajomba zake wako Rwanda asituzingue huyu.
 
below !!30?? what a rubbish!!??
unajadili uhalisia au mihemko?

Nyerere wakati anaingia
ikulu alikuwa msomi wa Masters ya Edinburgh na alishaonyesha kwa vitendo
kwamba ana uwezo wa kuongoza nchi baada ya kumng'oa mkoloni. Makamba is
below 30 na hana sifa yoyote ya kuongoza nchi hii iliyojaa mafisadi
wazoefu kutoka chama chake cha CCM! Chaguo la watanzania mwaka 2015 ni
Hon Dr Slaa.
 
Huyu askofu anampigia kampeni Padre aliyeasi. Mwambieni Padre aliyeasi hataongoza kondoo wa bwana nchi hii.

Kwenda zako, kitabu gani
hicho. Kawadanganye wadogo zako. Weka hichi kitabu cha biblia
kinachosema hivyo, tumbafu
 
juzi tulikuwa harambee kuchangia ununuzi wa gari ya paroko, niliwaeleza wazi natoa pesa yangu lakini gari ni lazima ubavuni iandikwe kwa maandishi makubwa kwamba gari hii ni ya parokia gani ili itambulike, mwenye magendo yake akodi tax ndio aende night club na guest house.

mokiwa hana akili na ndio maana waanglicana wamempiga chini uaskofu mkuu, jacob zuma ananyowa kipara na wasouth wamemwamini, hivi kama msomi wa level ya phd kama mokiwa anakuja na reasoning za kitoto namna hii bora mwanangu nimpeleke veta tu akapate ujuzi. tuna ombwe la wasomi wasioelimika Tanzania.

Mokiwa ni mwanafasihi sana, ametumia vipara kumaanisha utoto utoto Wa baadhi ya wanaowania urais Wa nchi hii kama vile makamba, zitto na kigwangala.
 
Mokiwa aache siasa na kama anaona amechoka kuongoza kanisa aache kama alivyo fanya Slaa! Mokiwa anatakiwa kujua kuwa nchi hii haita ongozwa na mtu wake!

Naona ameanza kumpigia campaign Slaa.
 
juzi tulikuwa harambee kuchangia ununuzi wa gari ya paroko, niliwaeleza wazi natoa pesa yangu lakini gari ni lazima ubavuni iandikwe kwa maandishi makubwa kwamba gari hii ni ya parokia gani ili itambulike, mwenye magendo yake akodi tax ndio aende night club na guest house.

mokiwa hana akili na ndio maana waanglicana wamempiga chini uaskofu mkuu, jacob zuma ananyowa kipara na wasouth wamemwamini, hivi kama msomi wa level ya phd kama mokiwa anakuja na reasoning za kitoto namna hii bora mwanangu nimpeleke veta tu akapate ujuzi. tuna ombwe la wasomi wasioelimika Tanzania.
Huu ndiyo mwisho wako wa kufikiri? Unamkejeri askofu wakati wewe mwenyewe vi 200 ulivyotoa sadaka unalikejeli kanisa?
 
Mokiwa aache siasa na kama anaona amechoka kuongoza kanisa aache kama alivyo fanya Slaa! Mokiwa anatakiwa kujua kuwa nchi hii haita ongozwa na mtu wake! Naona ameanza kumpigia campaign Slaa.

quote_icon.png
By tenende
CCM imetumia Sh bilioni 3,659,000,000/ Kumpa ZITTO ili AIHUJUMU CHADEMA. Ebu fikiria:

  • Ikiwa kujenga DARASA 1 ina gharimu Tsh Milioni 10 vingejengwa vyumba vya Madarasa 365, sawa na Shule 45.
  • Kama zahanati 1 Itagharimu Tsh milioni 20 ingejenga Zahanati 182.
  • Ikiwa Kuchimba Kisima kimoja ni Tsh million 10 vingechimbwa visima 365.
  • Vocha 1 ya kilimo ina ghalimu Tsh 100,000/ Wakulima 36,590 wangepata vocha.
  • Kwa hali hii kweli ZITTO ni Mzalendo kwa nchi? je anafaa kuwa CHADEMA? TAFAKARI!
 
Mokiwa ni mwanafasihi sana, ametumia vipara kumaanisha utoto utoto Wa baadhi ya wanaowania urais Wa nchi hii kama vile makamba, zitto na kigwangala.
Hakuna fasihi yeyote hapo ukisoma tuu utagundua kuwa ana mpigia campaign Slaa!
 
Huyo Mokiwa kama dini imemshinda atafute kazi zingine, unga/kipala ni personality ya mtu Jacob Zuma ananyoa hivyo lakini ni raisi, Raisi wa North korea ana style yake yakunyoa(Pank kwa huku kwetu) lakini ni raisi anayeheshimiwa na kukubalika vizuri katika nchi yake, Mokiwa iyo si hoja ya kutuambia watanzania
 
Mokiwa ni mwanafasihi sana, ametumia vipara kumaanisha utoto utoto Wa baadhi ya wanaowania urais Wa nchi hii kama vile makamba, zitto na kigwangala.
Kwa hiyo manamtumia Mokiwa kupambana na ZITTO nA MAKAMBA?

Mokiwa ni mwanachadema mtiifu!
 
Kwa hiyo manamtumia Mokiwa kupambana na ZITTO nA MAKAMBA?

Mokiwa ni mwanachadema mtiifu!

kila msema kweli nchi anaitwa chadema ni sawa na kila mtenda mema nchi hii anavyoitwa mlokole. hecko chadema.
 
askofu wako ndio amekurupa shika adabu yako, mokiwa ni muhuni tu sawa na wahuni wengine ndio maana kanisa la Anglican wamemuweka pembeni si askofu mkuu tena.

Unataka kuibua hisia za UDINI?
 
Mokiwa aache kanisa aje kwenye siasa, ni aibu kwa askofu na taasisi kubwa anayoingoza kuwa na analysis kama hii. Hivi kuna mahusiano gani kati ya kunyoa na uongozi? Mbona Jacob Juma ananyoa kipara na anaongoza nchi
  • Mbona watu wenye nywele wameghubikwa na ufisadi wa richmond, iptl n.k
  • Sasa akili kuwa ubaguzi na unyanyasaji umeanzia kanisani kwake
Jacob Zuma hanyoi kipara ila yeye ni kipara.
 
Back
Top Bottom