Gor
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,791
- 850
...Askofu kasema ukweli,mie nashangaa watu kama awa akina January wanakotoa haya maneno makubwa!ni haki yake but anatakiwa kuwa makini sana maana nina amina hana busara ya urais kwa wakati huu,bado njuka...kukaa pale ikulu then ubunge then unaibu waziri eti mtu anajiona RAIS!!,hajatuonyesha kwa jinsi gani anapenda taifa hili.....bado na achane na ndoto hizo kabisa maana muziki huo hauwezi.