Mojawapo ya masharti ya STATUS ya Lissu nchini Ubelgiji

Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.

Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake, approve kwamba kweli kuna threat nchini mwake. Baadae ndio atakubaliwa kuwa mkimbizi halali na akifuata masharti anaweza kupewa uraia wa Belgium. Ila SHARTI mojawapo hatakiwi kujihusisha na SIASA zozote zile akiwa humo. Ndo maana Amsterdam kauchuna ghafla.

Na hamtamsikia Lissu akiongelea Siasa tena akiwa Belgium sababu ya status yake ya kuomba hifadhi kama mkimbizi.

Kabla ya Julai 2020,Lissu alikuwa na jeuri Belgium maana aliishi kama mgonjwa ndio maana alikuwa akijirekodi na kurusha video hovyo, akienda US, Uk etc. Baada ya uchaguzi ni story tofauti kabisa maana kaondoka Kama mkimbizi.

Soma kidogo chini uelewe..

For
BELGIUM
- Those living in refugee reception centers or with refugee status receive a weekly spending allowance of 7.40 euros per adult. Some can also carry out paid work at the center, receiving up to 185 euros per month. After six months, people can apply for a work permit.

- Work permit issued once asylum application is approved; immediate family members can then also come to Belgium.

Mara nyingi watu wanasema humu Lissu ana akili nyingi za darasani Ila Elimu ya Dunia ni SUFURI kichwani mwake. Hakuyajua yote haya ndo maana aliporudi tu Belgium akaanza harakati zake. Balozi wa Belgium TZ aliyemsaidia kuondoka nchini akamkumbusha STATUS yake hairuhusu tena harakati za kisiasa akiwa Belgium. Akamzuia hata kuhojiwa tena na BBC,VOA,DW etc kuwa zitamharibia maombi yake ya kukaa huko. Ikabidi na story za Amsterdam na ICC ziishie hapo.

Sasa hivi amebaki Kama debe tupu. Kurudi hawezi, hata kupost JF hawezi. Amebakia kupokea Tuzo hewa na kufura tu akiwa chumbani kwake. Kwa status ya ukimbizi hata kazi ya uanasheria au yoyote official hawezi fanya hadi awe approved na at least miezi sita iishe. Kisiasa ndo KWISHA habari yake.

Hata cheo chake cha CHADEMA haruhusiwi kukiongelea popote kwa status yake ya ukimbizi akiwa Belgium kinamharibia kukubaliwa kuishi huko. Kule hawamtambui Kama Lissu au sijui makamu mwenyekiti wa CDM.. Kule ni sawa na mrwanda,mrundi au msomali aliyekimbia vita kwao.
Kwahiyo na mabeberu waliompa tuzo ya IDU wewe mcheza vigodoro unawazidi akili na uelewa?
 
Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.

Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake, approve kwamba kweli kuna threat nchini mwake. Baadae ndio atakubaliwa kuwa mkimbizi halali na akifuata masharti anaweza kupewa uraia wa Belgium. Ila SHARTI mojawapo hatakiwi kujihusisha na SIASA zozote zile akiwa humo. Ndo maana Amsterdam kauchuna ghafla.

Na hamtamsikia Lissu akiongelea Siasa tena akiwa Belgium sababu ya status yake ya kuomba hifadhi kama mkimbizi.

Kabla ya Julai 2020,Lissu alikuwa na jeuri Belgium maana aliishi kama mgonjwa ndio maana alikuwa akijirekodi na kurusha video hovyo, akienda US, Uk etc. Baada ya uchaguzi ni story tofauti kabisa maana kaondoka Kama mkimbizi.

Soma kidogo chini uelewe..

For
BELGIUM
- Those living in refugee reception centers or with refugee status receive a weekly spending allowance of 7.40 euros per adult. Some can also carry out paid work at the center, receiving up to 185 euros per month. After six months, people can apply for a work permit.

- Work permit issued once asylum application is approved; immediate family members can then also come to Belgium.

Mara nyingi watu wanasema humu Lissu ana akili nyingi za darasani Ila Elimu ya Dunia ni SUFURI kichwani mwake. Hakuyajua yote haya ndo maana aliporudi tu Belgium akaanza harakati zake. Balozi wa Belgium TZ aliyemsaidia kuondoka nchini akamkumbusha STATUS yake hairuhusu tena harakati za kisiasa akiwa Belgium. Akamzuia hata kuhojiwa tena na BBC,VOA,DW etc kuwa zitamharibia maombi yake ya kukaa huko. Ikabidi na story za Amsterdam na ICC ziishie hapo.

Sasa hivi amebaki Kama debe tupu. Kurudi hawezi, hata kupost JF hawezi. Amebakia kupokea Tuzo hewa na kufura tu akiwa chumbani kwake. Kwa status ya ukimbizi hata kazi ya uanasheria au yoyote official hawezi fanya hadi awe approved na at least miezi sita iishe. Kisiasa ndo KWISHA habari yake.

Hata cheo chake cha CHADEMA haruhusiwi kukiongelea popote kwa status yake ya ukimbizi akiwa Belgium kinamharibia kukubaliwa kuishi huko. Kule hawamtambui Kama Lissu au sijui makamu mwenyekiti wa CDM.. Kule ni sawa na mrwanda,mrundi au msomali aliyekimbia vita kwao.
We muongo sana na hata haujui mtiririko wa kuomba ukimbizi barani ulaya.
Kwa taharifa yako...unapoomba asylum kama unavyodai kuwa LISSU kaomba basi jua kwamba huwezi kutoka kusafiri mpk unapokuwa granted.na ukishapata status ya ukimbizi basi hutotakiwa kwenda kwenye ile nchi ambayo ulikuwa threatened na kama ukiamua kurudi basi suala la ulinzi wa maisha yako litakuwa juu ya nchi wenyeji wako (kwa maana hiyo lissu asingekuja Tanzania kwenye kampeni kama angekuwa ameomba ukimbizi).
Tufanye Lissu aliomba ukimbizi...kama lissu aliomba ukimbizi na kwa situation aliyokuwa nayo wkt anaingia belgium basi yeye kesi yake itakuwa imeamuliwa direct na watu wa uhamiaji wa Belgium bila kwenda mahakamani maana ushahidi wa kuwa threatened ulikuwa wazi sana. Kesi huwa inaenda mahakamani kama uhamiaji hawakuridhika na ushahidi wako kuwa upo hatarini huko ulipotoka.
Kwa kifupi ni kwamba umeunga unga story. Nipo Ueropa mwaka wa 12 najua mengi sana, kama kuna sehemu unataka maelezo zaidi niulize.
 
Ndo maana kaufyata.
uwenda serikali ilijua mapema ndo maana awakumpa vikwazo wakati anaondoka.
kuondoka kwake kama mkimbizi uwenda serikali ilijua fika ni kufuli yake ya mdomo wake mchafu wa kuropoka ovyo.
esabu zimeenda vizuri sana kwa serikali,ndani ya nchi kwasasa mambo safi kwakule Zanzibar na nje ya nchi kwa wakina Lissu pia mambo safi,keshapigwa kufuli.
 
20201215_111918163125.jpg
 
Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.

Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake, approve kwamba kweli kuna threat nchini mwake. Baadae ndio atakubaliwa kuwa mkimbizi halali na akifuata masharti anaweza kupewa uraia wa Belgium. Ila SHARTI mojawapo hatakiwi kujihusisha na SIASA zozote zile akiwa humo. Ndo maana Amsterdam kauchuna ghafla.

Na hamtamsikia Lissu akiongelea Siasa tena akiwa Belgium sababu ya status yake ya kuomba hifadhi kama mkimbizi.

Kabla ya Julai 2020,Lissu alikuwa na jeuri Belgium maana aliishi kama mgonjwa ndio maana alikuwa akijirekodi na kurusha video hovyo, akienda US, Uk etc. Baada ya uchaguzi ni story tofauti kabisa maana kaondoka Kama mkimbizi.

Soma kidogo chini uelewe..

For
BELGIUM
- Those living in refugee reception centers or with refugee status receive a weekly spending allowance of 7.40 euros per adult. Some can also carry out paid work at the center, receiving up to 185 euros per month. After six months, people can apply for a work permit.

- Work permit issued once asylum application is approved; immediate family members can then also come to Belgium.

Mara nyingi watu wanasema humu Lissu ana akili nyingi za darasani Ila Elimu ya Dunia ni SUFURI kichwani mwake. Hakuyajua yote haya ndo maana aliporudi tu Belgium akaanza harakati zake. Balozi wa Belgium TZ aliyemsaidia kuondoka nchini akamkumbusha STATUS yake hairuhusu tena harakati za kisiasa akiwa Belgium. Akamzuia hata kuhojiwa tena na BBC,VOA,DW etc kuwa zitamharibia maombi yake ya kukaa huko. Ikabidi na story za Amsterdam na ICC ziishie hapo.

Sasa hivi amebaki Kama debe tupu. Kurudi hawezi, hata kupost JF hawezi. Amebakia kupokea Tuzo hewa na kufura tu akiwa chumbani kwake. Kwa status ya ukimbizi hata kazi ya uanasheria au yoyote official hawezi fanya hadi awe approved na at least miezi sita iishe. Kisiasa ndo KWISHA habari yake.

Hata cheo chake cha CHADEMA haruhusiwi kukiongelea popote kwa status yake ya ukimbizi akiwa Belgium kinamharibia kukubaliwa kuishi huko. Kule hawamtambui Kama Lissu au sijui makamu mwenyekiti wa CDM.. Kule ni sawa na mrwanda,mrundi au msomali aliyekimbia vita kwao.
Ok sasa alalamike ubeljiji hakuna uhuru na haki maana yeye anafikiri kufanya mtu atakavyo bila kujali sheria ndio uhuru na haki. Awaseme sasa wabeljiji kama hawajamtoa inya. Pumbafu amekua anatusumbua sasa kaingia cha kike. 😂😂
 
Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.

Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake, approve kwamba kweli kuna threat nchini mwake. Baadae ndio atakubaliwa kuwa mkimbizi halali na akifuata masharti anaweza kupewa uraia wa Belgium. Ila SHARTI mojawapo hatakiwi kujihusisha na SIASA zozote zile akiwa humo. Ndo maana Amsterdam kauchuna ghafla.

Na hamtamsikia Lissu akiongelea Siasa tena akiwa Belgium sababu ya status yake ya kuomba hifadhi kama mkimbizi.

Kabla ya Julai 2020,Lissu alikuwa na jeuri Belgium maana aliishi kama mgonjwa ndio maana alikuwa akijirekodi na kurusha video hovyo, akienda US, Uk etc. Baada ya uchaguzi ni story tofauti kabisa maana kaondoka Kama mkimbizi.

Soma kidogo chini uelewe..

For
BELGIUM
- Those living in refugee reception centers or with refugee status receive a weekly spending allowance of 7.40 euros per adult. Some can also carry out paid work at the center, receiving up to 185 euros per month. After six months, people can apply for a work permit.

- Work permit issued once asylum application is approved; immediate family members can then also come to Belgium.

Mara nyingi watu wanasema humu Lissu ana akili nyingi za darasani Ila Elimu ya Dunia ni SUFURI kichwani mwake. Hakuyajua yote haya ndo maana aliporudi tu Belgium akaanza harakati zake. Balozi wa Belgium TZ aliyemsaidia kuondoka nchini akamkumbusha STATUS yake hairuhusu tena harakati za kisiasa akiwa Belgium. Akamzuia hata kuhojiwa tena na BBC,VOA,DW etc kuwa zitamharibia maombi yake ya kukaa huko. Ikabidi na story za Amsterdam na ICC ziishie hapo.

Sasa hivi amebaki Kama debe tupu. Kurudi hawezi, hata kupost JF hawezi. Amebakia kupokea Tuzo hewa na kufura tu akiwa chumbani kwake. Kwa status ya ukimbizi hata kazi ya uanasheria au yoyote official hawezi fanya hadi awe approved na at least miezi sita iishe. Kisiasa ndo KWISHA habari yake.

Hata cheo chake cha CHADEMA haruhusiwi kukiongelea popote kwa status yake ya ukimbizi akiwa Belgium kinamharibia kukubaliwa kuishi huko. Kule hawamtambui Kama Lissu au sijui makamu mwenyekiti wa CDM.. Kule ni sawa na mrwanda,mrundi au msomali aliyekimbia vita kwao.
Mbna jana aliongelea mambo ya kariba na mbiona ailongelea kuhusi act kujiunga na CCM?
 
Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.

Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake, approve kwamba kweli kuna threat nchini mwake. Baadae ndio atakubaliwa kuwa mkimbizi halali na akifuata masharti anaweza kupewa uraia wa Belgium. Ila SHARTI mojawapo hatakiwi kujihusisha na SIASA zozote zile akiwa humo. Ndo maana Amsterdam kauchuna ghafla.

Na hamtamsikia Lissu akiongelea Siasa tena akiwa Belgium sababu ya status yake ya kuomba hifadhi kama mkimbizi.

Kabla ya Julai 2020,Lissu alikuwa na jeuri Belgium maana aliishi kama mgonjwa ndio maana alikuwa akijirekodi na kurusha video hovyo, akienda US, Uk etc. Baada ya uchaguzi ni story tofauti kabisa maana kaondoka Kama mkimbizi.

Soma kidogo chini uelewe..

For
BELGIUM
- Those living in refugee reception centers or with refugee status receive a weekly spending allowance of 7.40 euros per adult. Some can also carry out paid work at the center, receiving up to 185 euros per month. After six months, people can apply for a work permit.

- Work permit issued once asylum application is approved; immediate family members can then also come to Belgium.

Mara nyingi watu wanasema humu Lissu ana akili nyingi za darasani Ila Elimu ya Dunia ni SUFURI kichwani mwake. Hakuyajua yote haya ndo maana aliporudi tu Belgium akaanza harakati zake. Balozi wa Belgium TZ aliyemsaidia kuondoka nchini akamkumbusha STATUS yake hairuhusu tena harakati za kisiasa akiwa Belgium. Akamzuia hata kuhojiwa tena na BBC,VOA,DW etc kuwa zitamharibia maombi yake ya kukaa huko. Ikabidi na story za Amsterdam na ICC ziishie hapo.

Sasa hivi amebaki Kama debe tupu. Kurudi hawezi, hata kupost JF hawezi. Amebakia kupokea Tuzo hewa na kufura tu akiwa chumbani kwake. Kwa status ya ukimbizi hata kazi ya uanasheria au yoyote official hawezi fanya hadi awe approved na at least miezi sita iishe. Kisiasa ndo KWISHA habari yake.

Hata cheo chake cha CHADEMA haruhusiwi kukiongelea popote kwa status yake ya ukimbizi akiwa Belgium kinamharibia kukubaliwa kuishi huko. Kule hawamtambui Kama Lissu au sijui makamu mwenyekiti wa CDM.. Kule ni sawa na mrwanda,mrundi au msomali aliyekimbia vita kwao.
Mbona kapewa tuzo ya uanaharakati majuzi na kaipokea?
 
Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.

Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake, approve kwamba kweli kuna threat nchini mwake. Baadae ndio atakubaliwa kuwa mkimbizi halali na akifuata masharti anaweza kupewa uraia wa Belgium. Ila SHARTI mojawapo hatakiwi kujihusisha na SIASA zozote zile akiwa humo. Ndo maana Amsterdam kauchuna ghafla.

Na hamtamsikia Lissu akiongelea Siasa tena akiwa Belgium sababu ya status yake ya kuomba hifadhi kama mkimbizi.

Kabla ya Julai 2020,Lissu alikuwa na jeuri Belgium maana aliishi kama mgonjwa ndio maana alikuwa akijirekodi na kurusha video hovyo, akienda US, Uk etc. Baada ya uchaguzi ni story tofauti kabisa maana kaondoka Kama mkimbizi.

Soma kidogo chini uelewe..

For
BELGIUM
- Those living in refugee reception centers or with refugee status receive a weekly spending allowance of 7.40 euros per adult. Some can also carry out paid work at the center, receiving up to 185 euros per month. After six months, people can apply for a work permit.

- Work permit issued once asylum application is approved; immediate family members can then also come to Belgium.

Mara nyingi watu wanasema humu Lissu ana akili nyingi za darasani Ila Elimu ya Dunia ni SUFURI kichwani mwake. Hakuyajua yote haya ndo maana aliporudi tu Belgium akaanza harakati zake. Balozi wa Belgium TZ aliyemsaidia kuondoka nchini akamkumbusha STATUS yake hairuhusu tena harakati za kisiasa akiwa Belgium. Akamzuia hata kuhojiwa tena na BBC,VOA,DW etc kuwa zitamharibia maombi yake ya kukaa huko. Ikabidi na story za Amsterdam na ICC ziishie hapo.

Sasa hivi amebaki Kama debe tupu. Kurudi hawezi, hata kupost JF hawezi. Amebakia kupokea Tuzo hewa na kufura tu akiwa chumbani kwake. Kwa status ya ukimbizi hata kazi ya uanasheria au yoyote official hawezi fanya hadi awe approved na at least miezi sita iishe. Kisiasa ndo KWISHA habari yake.

Hata cheo chake cha CHADEMA haruhusiwi kukiongelea popote kwa status yake ya ukimbizi akiwa Belgium kinamharibia kukubaliwa kuishi huko. Kule hawamtambui Kama Lissu au sijui makamu mwenyekiti wa CDM.. Kule ni sawa na mrwanda,mrundi au msomali aliyekimbia vita kwao.
Huyo ni mahabusu tu,
Tofauti yeye analala chumbani
 
kama usemayo ni kweli basi mnyampaa kwisha habari yake!! uzunguni wabaguzi mno kazi zetu watu weusi ni manual tu hata uwe na PhD, bila msuli huwezi kula!! sasa jamaa ni mlemavu hawezi kubeba box huyu ataishi kwa upweke sana ndani kwake tu mda wote tena kwa pesa ya manispaa tu yenye masharti milioni na form elfu za kujaza kila mwezi ili upewe mpunga usiotosha kununua chochote zaidi ya msosi tu na watumishi kibao wa manispaa watakaokuwa wakimtembelea home mnyampaa daily kujustify pesa ya manispaa inaenda kihalali , ulaya hakuna jambo dogo!!watamsumbua mno mno mpaka atasali kuomba kurudi kijijini kwao bongo!!

siku si nyingi wazungu watamchoka mnyampaa maana hazalishi na wazungu hawataki mizigo na bahati mbaya mnyampaa keshakuwa tegemezi maana ni mlemavu nao watamwambia wewe bishoo rudi kwenu tumechunguza hatari ya kuuwawa kwako haipo!

wazungu hawana dini na hakuna Mungu kwao!!watamtema tu!!

Siku moja nikiwa natembea na mwanangu wa kiume mitaani , huyu yuko darasa la pili tu bongo ghafla akaniambia , unajua shetani anaishi huku!! nikacheka sana!! sikuuliza zaidi! sijui kijana wangu aliona nini tofauti na kwao!
 
Lissu kawashinda tena mbali mno - kwenye Kampeni kawafunika, kwenye kujenga hoja zinazokubalika kwa wananchi kawafunika, kummua vile vile mkashindwa - sasa imebaki kubwabwaja!! tushawazoea bila kumtaja Lissu siku haijaisha.
 
Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.

Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake, approve kwamba kweli kuna threat nchini mwake. Baadae ndio atakubaliwa kuwa mkimbizi halali na akifuata masharti anaweza kupewa uraia wa Belgium. Ila SHARTI mojawapo hatakiwi kujihusisha na SIASA zozote zile akiwa humo. Ndo maana Amsterdam kauchuna ghafla.

Na hamtamsikia Lissu akiongelea Siasa tena akiwa Belgium sababu ya status yake ya kuomba hifadhi kama mkimbizi.

Kabla ya Julai 2020,Lissu alikuwa na jeuri Belgium maana aliishi kama mgonjwa ndio maana alikuwa akijirekodi na kurusha video hovyo, akienda US, Uk etc. Baada ya uchaguzi ni story tofauti kabisa maana kaondoka Kama mkimbizi.

Soma kidogo chini uelewe..

For
BELGIUM
- Those living in refugee reception centers or with refugee status receive a weekly spending allowance of 7.40 euros per adult. Some can also carry out paid work at the center, receiving up to 185 euros per month. After six months, people can apply for a work permit.

- Work permit issued once asylum application is approved; immediate family members can then also come to Belgium.

Mara nyingi watu wanasema humu Lissu ana akili nyingi za darasani Ila Elimu ya Dunia ni SUFURI kichwani mwake. Hakuyajua yote haya ndo maana aliporudi tu Belgium akaanza harakati zake. Balozi wa Belgium TZ aliyemsaidia kuondoka nchini akamkumbusha STATUS yake hairuhusu tena harakati za kisiasa akiwa Belgium. Akamzuia hata kuhojiwa tena na BBC,VOA,DW etc kuwa zitamharibia maombi yake ya kukaa huko. Ikabidi na story za Amsterdam na ICC ziishie hapo.

Sasa hivi amebaki Kama debe tupu. Kurudi hawezi, hata kupost JF hawezi. Amebakia kupokea Tuzo hewa na kufura tu akiwa chumbani kwake. Kwa status ya ukimbizi hata kazi ya uanasheria au yoyote official hawezi fanya hadi awe approved na at least miezi sita iishe. Kisiasa ndo KWISHA habari yake.

Hata cheo chake cha CHADEMA haruhusiwi kukiongelea popote kwa status yake ya ukimbizi akiwa Belgium kinamharibia kukubaliwa kuishi huko. Kule hawamtambui Kama Lissu au sijui makamu mwenyekiti wa CDM.. Kule ni sawa na mrwanda,mrundi au msomali aliyekimbia vita kwao.
Hii habari wewe umeitoa wapi?
Thibitisha.
Maana ulichoandika hapa ni sawa mtu katoka kuota ndotoni tu
Hebu thibitisha.
Pia ninashaka wewe ni kabudi kwa mpangilio huu wa maneno mazuri yasiyo na ushahidi
 
Lema ni hivyo hivyo, tofauti ya Lema ni kuwa Canada ni taifa kubwa zaidi Kuna benefits za wakimbizi za kufa mtu. Na ndani ya wiki chache ni Kama mwezi anaweza kuanza kupiga kazi za kuingiza hata milioni 6 kwa mwezi na nyumba ya kuishi kubwa bure. Na baada ya miezi 6 ndo benefits zinaongezeka sana. Tofauti na Belgium. Ni Kama ufaransa, wakongo walishaharibu kitambo so, wakimbizi walishapunguziwa marupurupu kitambo.
Wakati huku ilikuwa aende bungeni asiende millioni 11 iko pale pale..ana mkopo usio na riba wa million 90 wa kununua gari..ana millioni 50 ya mfuko wa jimboni..kweli hakuna kama tanzania.
 
Ila nimegundua Lissu ana kipaji kingine cha uigizaji. Wewe huwezi kupiga kampeni nchi nzima ukijibweda na chopa, Halafu umemaliza kampeni unakimbilia balozi za Germany 'eti' wanataka kuniua. Sasa kama ni kweli kile kichopa si wangekinasisha kwenye miti huko huko angani ..! Akirudi nashauri apelekwe ...tena kinguvu TASUBA Bagamoyoooo..! kuongeza ujuzi na cheti cha sanaa akabidhiwe.
Au wangepindua kile kimtumbwi alichovuka nacho kwenda kisiwa cha ukerewe.
 
Hii habari wewe umeitoa wapi?
Thibitisha.
Maana ulichoandika hapa ni sawa mtu katoka kuota ndotoni tu
Hebu thibitisha.
Pia ninashaka wewe ni kabudi kwa mpangilio huu wa maneno mazuri yasiyo na ushahidi
Mkuu mbona sheria za wakimbizi wa kisiasa nchi za ulaya zinafahamika tu. Waweza ku Google sio mpaka utafuniwe. Ungekuwa uongo ungemuona Lissu au wafuasi wake leo asubuhi asubuhi wanaleta ushahidi kuwa ni uongo maana anshinda humu hana pa kwenda. Na Kuna kitu nilisahau kusema, kwa status yake ya Sasa hawezi kwenda nchi yoyote kwa muda usiojulikana.
 
Lissu juzi kafanya mahojiano na BBC kuhusu uchaguzi mkuu ulivyokuwa wa maigizo Tanzania, sijui ulikuwa kijiji gani hukuona, au hayo mahojiano yalitangulia masharti? au shida yako unaogopa selfie za Lissu tu? wewe kweli katuni.

Kiuhalisia hata kama anasubiri status ambayo naamini ataipata tu kulingana na situation yake halisi ilivyokuwa na ushahidi wa wazi uliopo, hiyo status ikisha kuwa approved maana yake ataendelea kuwatandika vile viboko vyake, kumbe huwa vinawauma, poleni sana.

Mleta mada ni sawa na unafurahia kupona maumivu ya kichwa wakati unaumwa malaria, sindano za Lissu bado ziko palepale ni suala la muda tu, wacheni kujiliwaza.
Tofautisha "kuhojiwa" na "kufanya harakati"
 
Mbona alishiriki kikao cha kamati kuu ya Chadema kilichowavua uanachama akina Halima Mdee?

Ninachojua nu kuwa Lissu ana permanent residence ya Ubelgiji kabla hata hajarudi nchini kugombea urais.

Halafu usidhani EU ni kama Congo eti wakuondolee haki yako ya kuleta mabadiriko chanya katika nchi yako kwa kufanya mambo ya kidemokrasia yasiyo Illegal. Siasa siyo Illegal Tanzania na Ulaya sasa EU itamzuiaje mtu kufanya kitu ambacho siyo Illegal?. Mleta mada umeleta mada ambayo huna uhakika nayo.

Kama angekuwa anaorganise mapinduzi hapo mada yako ingekuwa sawa, lakini tunamuona Lissu akiendelea kuwa makamu mwenyekiti wa Chadema na vikao anashiriki, na video conference kibao za kujadili mambo ya nchi na wanaharakati wengine bado anafanya sasa wewe mleta mada unaongea kitu gani?
Exactly , mleta mada ni Pimbi wa kutupa , anadhani humu wote ni mbumbumbu kama Lumumba , alicholeta mleta mada ni utopolo , hivi malumumba huwa Ni mazima kweli vichwani ? Uje udanganye mchana kweupe , utafikiri watu hawawezi kugoogle na kupata information . Zanzimana kaiharibu sana hii nchi .
 
Back
Top Bottom