Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 5,619
- 5,654
Huku Maalim Self kamkana saba wa sabini.Kwa ufupi Lissu ndo kawekewa VIKWAZO BELGIUM na sio Tanzania maana European Union jana wameanza kutoa mabilioni kwa kishindo.
Huku Maalim Self kamkana saba wa sabini.Kwa ufupi Lissu ndo kawekewa VIKWAZO BELGIUM na sio Tanzania maana European Union jana wameanza kutoa mabilioni kwa kishindo.
Kumbe MATAGA ndio mnavyomtazama Lissu kwa jicho hilo, ndio maana hamkuhangaika kumpa ulinzi aliohitaji, matokeo yake ameondoka Ndugai anaanza kulia lia watanzania wasikimbie nchi, mwambie it's too late.Duuh,sasa hili balaa.Na maringo yote yale !
Ahaa kumbe ishu ni kujulikana hapa bongo na sio ubelgiji, hiyo mbona inatosha kbs...muhimu ni ajulikane hapa nyumbani huko aliko hata akitambulika kama mkimbizi inatosha kabisa!Mkuu Belgium wapo kibao toka Rwanda, Burundi, Sudan etc tena waliokuwa na vyeo vikubwa kwao mpaka ma IGP, wakuu wa majeshi etc. Ila ukiingia Kama mkimbizi una MUTE. Ukileta ujuaji unarudishwa kwenu unaambiwa kumbe wewe msumbufu ndo maana umekimbia. Bongo ndo mnamjua ni nani!?, kule Belgium hawajui hata Lissu ni mdudu gani duniani.
Nchi ina shida moja kubwa na watu hawataki kuiongelea...Kuna wahamiaji haramu wengi kutoka Rwanda na Burundi (Hutu na Tutsi)toka miaka ya 1950 kundi kubwa liliingia Tanzania alafu miaka ya 70 na lingine miaka ya 90 achilia mbali mmoja mmoja kila siku...hawa watu wameingia kwenye serikali yetu ndio maana wako tayari kuuwa ili CCM ibakie madarakani..wanaogopa wakija upinzani mwisho wao utakuwa umefika...na wote wanatabia kama zako👆Si wameshaliona bwege fulani tena fitna kuliko hata mchawi ambaye kwake anatamani mamilioni wateseke kwa sababu kakosa.Roho mbaya.
So what ? Lissu tunajua alichopigania kwa maisha yake yote. Wewe je unapigania nini na mchango wako kwa nchi yetu ni upi?
I doubt if you have moral and intellectual authority to question the intelligence of Lissu.
Mkuu Belgium wapo kibao toka Rwanda, Burundi, Sudan etc tena waliokuwa na vyeo vikubwa kwao mpaka ma IGP, wakuu wa majeshi etc. Ila ukiingia Kama mkimbizi una MUTE. Ukileta ujuaji unarudishwa kwenu unaambiwa kumbe wewe msumbufu ndo maana umekimbia. Bongo ndo mnamjua ni nani!?, kule Belgium hawajui hata Lissu ni mdudu gani duniani.
Ana permanent resident!?.. ndo alivyowadanganya au bado unaota!?Mbona alishiriki kikao cha kamati kuu ya Chadema kilichowavua uanachama akina Halima Mdee?
Niachojua nu kuwa Lissu ana permanent residence ya Ubelgiji kabla hata hajarudi nchini kugombea urais
Ulikuwa hujui kuwa Lissu ana permanent residence Ubelgiji?, Sasa ndo ujue hiloAna permanent resident!?.. ndo alivyowadanganya au bado unaota!?
Wewe ulichokiona hapo ni namna alivyo na mchango ktk nji hii ama kuzuwiwa kujihusisha na siasa angali akikamisha shariti la kuitwa kimbizi la kisiasa?Jerusalem wewe na Lissu nani ana mchango wowote nchi hii ?!. Huna lolote la faida na nchi hii , piga debe huenda ukakumbukwa.
Lissu amefanya yake na history itamkumbuka. Je wewe ?!. Sababu zinazosababisha watu wazikimbie nchi zao si za kujivunia kama taifa bali ni aibu yetu .
Chadema hapa wanapita kimyakimya, mkuu umewapiga za uso mbaya!Si wameshaliona bwege fulani tena fitna kuliko hata mchawi ambaye kwake anatamani mamilioni wateseke kwa sababu kakosa.Roho mbaya.
Wewe haujielewi kwani waliompiga risasi wamepelekwa mahakaman ? Au kwa kuwa wewe hauviziwi kuondolewa uhai wako ndo unabwata ngoja yakukute ndiyo utaelewa .Tafakar kabla ujaongea.Ila nimegundua Lissu ana kipaji kingine cha uigizaji. Wewe huwezi kupiga kampeni nchi nzima ukijibweda na chopa, Halafu umemaliza kampeni unakimbilia balozi za Germany 'eti' wanataka kuniua. Sasa kama ni kweli kile kichopa si wangekinasisha kwenye miti huko huko angani ..! Akirudi nashauri apelekwe ...tena kinguvu TASUBA Bagamoyoooo..! kuongeza ujuzi na cheti cha sanaa akabidhiwe.
Safi Sana mdada Ubarikiwe kwa hoja yakoNadhani tuwe tunasoma japo kwa kugoogle itatusaidia kufungua fikra zetu, naangalia alichoweka mtoa mada Kama citation na zuio lakisiasa nakosa connection.
Tujifunze kujua nani mwomba hifadhi? Nani mkimbizi? Je, Lisu nimkimbizi? Ni muomba hifadhi?
Tukipata majibu ndipo tujadili ana haki gani na anakosa haki gani? Ila pia wakati tunajadili tutafute watu wenye sifa za akina Lissu wanapata benefits gani tofauti na Mimi na wewe?
Kinacholindwa na Dunia ni uhai wa mtu ( haki ya kuishi) na uhuru wakutoa maoni, Dunia ya leo haifungi watu fikra na mawazo yao. Ukimbizi si kifungo Cha fikra na uwezo wa mtu kutenda au kukosoa Bali Ni sifa yakukufanya uishi salama nje ya eneo ambalo uasalma wako upo hatarini.