ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,100
- 49,795
Je Tundu Lisu Ameenda kutoa ripoti na mrejesho Kwa Wanaomfadhili? Huyu bwana huwa anakuja Tanzania kuchochea chuki na kisha kuondoka, akirudi tena anakuja tena kuchochea vurugu.
Je, Serikali haioni ni wakati muafaka sasa kumdhibiti huyu kibaraka kabla ya kutuletea balaa na yeye kukimbilia Kwa wanaomtuma huko Ulaya kwa kina Armstadam?
"Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA ameondoka nchini siku ya juzi kupitia mpaka wa Namanga kuelekea Nairobi akiwa ameanza safari ya kuelekea katika nchi Ubelgiji na Marekani."
View: https://twitter.com/Nipashetz/status/1702221539293135325?t=-_SmKjNv1bZJvmjmqLYuUA&s=19
My Take
Serikali msichezee amani yetu Kwa kuchekea Hawa vibaraka waliovaa ngozi ya kondooo, wengine hatuna pa kukimbilia, familia zetu ziko Tanzania, huyo mnaemchekea familia yake ipo huko anakokwenda.
Je, Serikali haioni ni wakati muafaka sasa kumdhibiti huyu kibaraka kabla ya kutuletea balaa na yeye kukimbilia Kwa wanaomtuma huko Ulaya kwa kina Armstadam?
"Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na maendeleo CHADEMA ameondoka nchini siku ya juzi kupitia mpaka wa Namanga kuelekea Nairobi akiwa ameanza safari ya kuelekea katika nchi Ubelgiji na Marekani."
View: https://twitter.com/Nipashetz/status/1702221539293135325?t=-_SmKjNv1bZJvmjmqLYuUA&s=19
My Take
Serikali msichezee amani yetu Kwa kuchekea Hawa vibaraka waliovaa ngozi ya kondooo, wengine hatuna pa kukimbilia, familia zetu ziko Tanzania, huyo mnaemchekea familia yake ipo huko anakokwenda.