Mojawapo ya masharti ya STATUS ya Lissu nchini Ubelgiji

Dah.....ungeuchuna,...Sasa ushamchoma..!!! Ndo mana ghafla amemute..kumbe ukiwa mkimbizi unapata HAKI ZAKE stahiki lakini ni Lazima utimize WAJIBU wa kuwa MUTE na kutojihusisha na siasa...atajutia igizo lake.. Bora arudi mzee Magu atampa kibarua chochote....!!
Bwana wenu si awape vyeo ninyi kwanza! Au ninyi wakusifu na kumtukuza mungu wenu uchwara hamtaki mtolewe jalalani!?
 
Ila nimegundua Lissu ana kipaji kingine cha uigizaji. Wewe huwezi kupiga kampeni nchi nzima ukijibweda na chopa, Halafu umemaliza kampeni unakimbilia balozi za Germany 'eti' wanataka kuniua. Sasa kama ni kweli kile kichopa si wangekinasisha kwenye miti huko huko angani ..! Akirudi nashauri apelekwe ...tena kinguvu TASUBA Bagamoyoooo..! kuongeza ujuzi na cheti cha sanaa akabidhiwe.
Huwezi kuhua hivi hivi,!! Hivi hujui Kuna watu wanaangaika kuua kunguni?? Hata mbu kuua si Jambo la kawaida !!
 
Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.

Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake, approve kwamba kweli kuna threat nchini mwake. Baadae ndio atakubaliwa kuwa mkimbizi halali na akifuata masharti anaweza kupewa uraia wa Belgium. Ila SHARTI mojawapo hatakiwi kujihusisha na SIASA zozote zile akiwa humo. Ndo maana Amsterdam kauchuna ghafla.

Na hamtamsikia Lissu akiongelea Siasa tena akiwa Belgium sababu ya status yake ya kuomba hifadhi kama mkimbizi.

Kabla ya Julai 2020,Lissu alikuwa na jeuri Belgium maana aliishi kama mgonjwa ndio maana alikuwa akijirekodi na kurusha video hovyo, akienda US, Uk etc. Baada ya uchaguzi ni story tofauti kabisa maana kaondoka Kama mkimbizi.

Soma kidogo chini uelewe..

For
BELGIUM
- Those living in refugee reception centers or with refugee status receive a weekly spending allowance of 7.40 euros per adult. Some can also carry out paid work at the center, receiving up to 185 euros per month. After six months, people can apply for a work permit.

- Work permit issued once asylum application is approved; immediate family members can then also come to Belgium.

Mara nyingi watu wanasema humu Lissu ana akili nyingi za darasani Ila Elimu ya Dunia ni SUFURI kichwani mwake. Hakuyajua yote haya ndo maana aliporudi tu Belgium akaanza harakati zake. Balozi wa Belgium TZ aliyemsaidia kuondoka nchini akamkumbusha STATUS yake hairuhusu tena harakati za kisiasa akiwa Belgium. Akamzuia hata kuhojiwa tena na BBC,VOA,DW etc kuwa zitamharibia maombi yake ya kukaa huko. Ikabidi na story za Amsterdam na ICC ziishie hapo.

Sasa hivi amebaki Kama debe tupu. Kurudi hawezi, hata kupost JF hawezi. Amebakia kupokea Tuzo hewa na kufura tu akiwa chumbani kwake. Kwa status ya ukimbizi hata kazi ya uanasheria au yoyote official hawezi fanya hadi awe approved na at least miezi sita iishe. Kisiasa ndo KWISHA habari yake.

Hata cheo chake cha CHADEMA haruhusiwi kukiongelea popote kwa status yake ya ukimbizi akiwa Belgium kinamharibia kukubaliwa kuishi huko. Kule hawamtambui Kama Lissu au sijui makamu mwenyekiti wa CDM.. Kule ni sawa na mrwanda,mrundi au msomali aliyekimbia vita kwao.
Kwa uzuzu wake alijigamba alipokuwa anaondoka nchini kwamba uwanja wa mapambano ya kisiasa nchini Tanzania anauhamishia nchini Ubelgiji. Na mazuzu wengine waliamini na bado wanaamini hivyo.

Baada ya matusi yake hayo kwa taifa letu hatutamruhusu tena kukanyaga nchini kwetu. Kenya walifanya hivyo kwa Miguna Miguna aliyekimbilia Canada na kupata uraia wa Canada. Lissu na Lemma ndiyo mwisho wao umetimia.

 
kama usemayo ni kweli basi mnyampaa kwisha habari yake!! uzunguni wabaguzi mno kazi zetu watu weusi ni manual tu hata uwe na PhD, bila msuli huwezi kula!! sasa jamaa ni mlemavu hawezi kubeba box huyu ataishi kwa upweke sana ndani kwake tu mda wote tena kwa pesa ya manispaa tu yenye masharti milioni na form elfu za kujaza kila mwezi ili upewe mpunga usiotosha kununua chochote zaidi ya msosi tu na watumishi kibao wa manispaa watakaokuwa wakimtembelea home mnyampaa daily kujustify pesa ya manispaa inaenda kihalali , ulaya hakuna jambo dogo!!watamsumbua mno mno mpaka atasali kuomba kurudi kijijini kwao bongo!!

siku si nyingi wazungu watamchoka mnyampaa maana hazalishi na wazungu hawataki mizigo na bahati mbaya mnyampaa keshakuwa tegemezi maana ni mlemavu nao watamwambia wewe bishoo rudi kwenu tumechunguza hatari ya kuuwawa kwako haipo!

wazungu hawana dini na hakuna Mungu kwao!!watamtema tu!!

Siku moja nikiwa natembea na mwanangu wa kiume mitaani , huyu yuko darasa la pili tu bongo ghafla akaniambia , unajua shetani anaishi huku!! nikacheka sana!! sikuuliza zaidi! sijui kijana wangu aliona nini tofauti na kwao!
Unaongelea Uzunguni ya mwaka gani?

Hujui tulia ... Acha stress na Mahaba uchwara.
 
So what ? Lissu tunajua alichopigania kwa maisha yake yote. Wewe je unapigania nini na mchango wako kwa nchi yetu ni upi?

I doubt if you have moral and intellectual authority to question the intelligence of Lissu
Lissu juzi kafanya mahojiano na BBC kuhusu uchaguzi mkuu ulivyokuwa wa maigizo Tanzania, sijui ulikuwa kijiji gani hukuona, au hayo mahojiano yalitangulia masharti? au shida yako unaogopa selfie za Lissu tu? wewe kweli katuni.

Kiuhalisia hata kama anasubiri status ambayo naamini ataipata tu kulingana na situation yake halisi ilivyokuwa na ushahidi wa wazi uliopo, hiyo status ikisha kuwa approved maana yake ataendelea kuwatandika vile viboko vyake, kumbe huwa vinawauma, poleni sana.

Mleta mada ni sawa na unafurahia kupona maumivu ya kichwa wakati unaumwa malaria, sindano za Lissu bado ziko palepale ni suala la muda tu, wacheni kujiliwaza.
Hiyo status ya kisheria siyo kwa Lissu tu bali ni kwa wote wanaokuja nchini humo kama alivypkuja yeye hata hapa kwetu ukazi nchini wa Watutsi wakimbizi wa Rwanda ni tofauti na ule wa Watutsi wa Chato. Baada ya muda mfupi Lissu atapata kibali cha kufanya kazi lakini kwa kuwa ni mgeni hataruhusiwa kujihusisha na siasa za nchi ile. Wapigania Uhuru wa Kusini mwa Afrika walikaa nchini miaka mingi wakifanya siasa za kwao na wakipambana na wahasimu wao lakini hawakuruhusiwa kujihusisha na siasa za Bongo.
 
Lissu amepigania haki katika nchi hii milima na mabonde anayopitia sasa nikwasababu ya kutaka kuwakomboa watanzania.Ninachoamini kazi hajaimaliza akimaliza Kaz atavalishwa taji ni swala la muda tu.
Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.

Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake, approve kwamba kweli kuna threat nchini mwake. Baadae ndio atakubaliwa kuwa mkimbizi halali na akifuata masharti anaweza kupewa uraia wa Belgium. Ila SHARTI mojawapo hatakiwi kujihusisha na SIASA zozote zile akiwa humo. Ndo maana Amsterdam kauchuna ghafla.

Na hamtamsikia Lissu akiongelea Siasa tena akiwa Belgium sababu ya status yake ya kuomba hifadhi kama mkimbizi.

Kabla ya Julai 2020,Lissu alikuwa na jeuri Belgium maana aliishi kama mgonjwa ndio maana alikuwa akijirekodi na kurusha video hovyo, akienda US, Uk etc. Baada ya uchaguzi ni story tofauti kabisa maana kaondoka Kama mkimbizi.

Soma kidogo chini uelewe..

For
BELGIUM
- Those living in refugee reception centers or with refugee status receive a weekly spending allowance of 7.40 euros per adult. Some can also carry out paid work at the center, receiving up to 185 euros per month. After six months, people can apply for a work permit.

- Work permit issued once asylum application is approved; immediate family members can then also come to Belgium.

Mara nyingi watu wanasema humu Lissu ana akili nyingi za darasani Ila Elimu ya Dunia ni SUFURI kichwani mwake. Hakuyajua yote haya ndo maana aliporudi tu Belgium akaanza harakati zake. Balozi wa Belgium TZ aliyemsaidia kuondoka nchini akamkumbusha STATUS yake hairuhusu tena harakati za kisiasa akiwa Belgium. Akamzuia hata kuhojiwa tena na BBC,VOA,DW etc kuwa zitamharibia maombi yake ya kukaa huko. Ikabidi na story za Amsterdam na ICC ziishie hapo.

Sasa hivi amebaki Kama debe tupu. Kurudi hawezi, hata kupost JF hawezi. Amebakia kupokea Tuzo hewa na kufura tu akiwa chumbani kwake. Kwa status ya ukimbizi hata kazi ya uanasheria au yoyote official hawezi fanya hadi awe approved na at least miezi sita iishe. Kisiasa ndo KWISHA habari yake.

Hata cheo chake cha CHADEMA haruhusiwi kukiongelea popote kwa status yake ya ukimbizi akiwa Belgium kinamharibia kukubaliwa kuishi huko. Kule hawamtambui Kama Lissu au sijui makamu mwenyekiti wa CDM.. Kule ni sawa na mrwanda,mrundi au msomali aliyekimbia vita kwao.
 
Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.

Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake, approve kwamba kweli kuna threat nchini mwake. Baadae ndio atakubaliwa kuwa mkimbizi halali na akifuata masharti anaweza kupewa uraia wa Belgium. Ila SHARTI mojawapo hatakiwi kujihusisha na SIASA zozote zile akiwa humo. Ndo maana Amsterdam kauchuna ghafla.

Na hamtamsikia Lissu akiongelea Siasa tena akiwa Belgium sababu ya status yake ya kuomba hifadhi kama mkimbizi.

Kabla ya Julai 2020,Lissu alikuwa na jeuri Belgium maana aliishi kama mgonjwa ndio maana alikuwa akijirekodi na kurusha video hovyo, akienda US, Uk etc. Baada ya uchaguzi ni story tofauti kabisa maana kaondoka Kama mkimbizi.

Soma kidogo chini uelewe..

For
BELGIUM
- Those living in refugee reception centers or with refugee status receive a weekly spending allowance of 7.40 euros per adult. Some can also carry out paid work at the center, receiving up to 185 euros per month. After six months, people can apply for a work permit.

- Work permit issued once asylum application is approved; immediate family members can then also come to Belgium.

Mara nyingi watu wanasema humu Lissu ana akili nyingi za darasani Ila Elimu ya Dunia ni SUFURI kichwani mwake. Hakuyajua yote haya ndo maana aliporudi tu Belgium akaanza harakati zake. Balozi wa Belgium TZ aliyemsaidia kuondoka nchini akamkumbusha STATUS yake hairuhusu tena harakati za kisiasa akiwa Belgium. Akamzuia hata kuhojiwa tena na BBC,VOA,DW etc kuwa zitamharibia maombi yake ya kukaa huko. Ikabidi na story za Amsterdam na ICC ziishie hapo.

Sasa hivi amebaki Kama debe tupu. Kurudi hawezi, hata kupost JF hawezi. Amebakia kupokea Tuzo hewa na kufura tu akiwa chumbani kwake. Kwa status ya ukimbizi hata kazi ya uanasheria au yoyote official hawezi fanya hadi awe approved na at least miezi sita iishe. Kisiasa ndo KWISHA habari yake.

Hata cheo chake cha CHADEMA haruhusiwi kukiongelea popote kwa status yake ya ukimbizi akiwa Belgium kinamharibia kukubaliwa kuishi huko. Kule hawamtambui Kama Lissu au sijui makamu mwenyekiti wa CDM.. Kule ni sawa na mrwanda,mrundi au msomali aliyekimbia vita kwao.
Ikiwa hivyo wewe unafaidika na nini hapo?
 
Wasichokijua watu wengi kuhusu Status ya ukimbizi aliyoomba Lissu zamu hii hata kabla ya kufika Ubelgiji ni kutojihusisha na masuala ya kisiasa au uanaharakati akiwa nchini humo.

Ni kwamba Lissu ni assylum seeker na bado haja-qualify kupewa permanent resident status mpaka ashinde kesi yake, approve kwamba kweli kuna threat nchini mwake. Baadae ndio atakubaliwa kuwa mkimbizi halali na akifuata masharti anaweza kupewa uraia wa Belgium. Ila SHARTI mojawapo hatakiwi kujihusisha na SIASA zozote zile akiwa humo. Ndo maana Amsterdam kauchuna ghafla.

Na hamtamsikia Lissu akiongelea Siasa tena akiwa Belgium sababu ya status yake ya kuomba hifadhi kama mkimbizi.

Kabla ya Julai 2020,Lissu alikuwa na jeuri Belgium maana aliishi kama mgonjwa ndio maana alikuwa akijirekodi na kurusha video hovyo, akienda US, Uk etc. Baada ya uchaguzi ni story tofauti kabisa maana kaondoka Kama mkimbizi.

Soma kidogo chini uelewe..

For
BELGIUM
- Those living in refugee reception centers or with refugee status receive a weekly spending allowance of 7.40 euros per adult. Some can also carry out paid work at the center, receiving up to 185 euros per month. After six months, people can apply for a work permit.

- Work permit issued once asylum application is approved; immediate family members can then also come to Belgium.

Mara nyingi watu wanasema humu Lissu ana akili nyingi za darasani Ila Elimu ya Dunia ni SUFURI kichwani mwake. Hakuyajua yote haya ndo maana aliporudi tu Belgium akaanza harakati zake. Balozi wa Belgium TZ aliyemsaidia kuondoka nchini akamkumbusha STATUS yake hairuhusu tena harakati za kisiasa akiwa Belgium. Akamzuia hata kuhojiwa tena na BBC,VOA,DW etc kuwa zitamharibia maombi yake ya kukaa huko. Ikabidi na story za Amsterdam na ICC ziishie hapo.

Sasa hivi amebaki Kama debe tupu. Kurudi hawezi, hata kupost JF hawezi. Amebakia kupokea Tuzo hewa na kufura tu akiwa chumbani kwake. Kwa status ya ukimbizi hata kazi ya uanasheria au yoyote official hawezi fanya hadi awe approved na at least miezi sita iishe. Kisiasa ndo KWISHA habari yake.

Hata cheo chake cha CHADEMA haruhusiwi kukiongelea popote kwa status yake ya ukimbizi akiwa Belgium kinamharibia kukubaliwa kuishi huko. Kule hawamtambui Kama Lissu au sijui makamu mwenyekiti wa CDM.. Kule ni sawa na mrwanda,mrundi au msomali aliyekimbia vita kwao.
Satanic verses.
 
Exactly , mleta mada ni Pimbi wa kutupa , anadhani humu wote ni mbumbumbu kama Lumumba , alicholeta mleta mada ni utopolo , hivi malumumba huwa Ni mazima kweli vichwani ? Uje udanganye mchana kweupe , utafikiri watu hawawezi kugoogle na kupata information . Zanzimana kaiharibu sana hii nchi .
Wewe ndiyo mpumbavu.
 
Naona Tundu Lisu anaendelea kupiga nyundo huko Majuu akieleza aina ya Tanzania tunayotakiwa kuishi.

Tanzania ya utu si Tanzania ya vitu, Tanzania ya sheria si Tanzania ya mtu. Nchi ambayo umri uliopewa kuishi hauingiliwi na kupunguzwa na mtu. Nchi ambayo uhai haulinganishwi na kitu kingine chochote wala aubadilishwi na kitu chochote.

(2020 was a difficult year for democracy in Africa, including in #Tanzania. But @TunduALissu reminds us that there is hope. "We have survived the Magufuli dictatorship. We were supposed to be completely down and out. We are not." Lisu)

Je wale waliotuambia kuwa amenyamazishwa na wakaleta taarifa na vifungu vyao vya sheria wanamchukulia hatua gani huyu mtu ambaye anyamazi Kama Asylum na Refugee tulioaminishwa hapa Jf?

Au sisi Wana CCM tunajua zaidi ya sheria za kimataifa kuliko Mataifa?
 
Naona Tundu Lisu anaendelea kupiga nyundo huko Majuu akieleza aina ya Tanzania tunayotakiwa kuishi.

Tanzania ya utu si Tanzania ya vitu, Tanzania ya sheria si Tanzania ya mtu. Nchi ambayo umri uliopewa kuishi hauingiliwi na kupunguzwa na mtu. Nchi ambayo uhai haulinganishwi na kitu kingine chochote wala aubadilishwi na kitu chochote.

(2020 was a difficult year for democracy in Africa, including in #Tanzania. But @TunduALissu reminds us that there is hope. "We have survived the Magufuli dictatorship. We were supposed to be completely down and out. We are not." Lisu)

Je wale waliotuambia kuwa amenyamazishwa na wakaleta taarifa na vifungu vyao vya sheria wanamchukulia hatua gani huyu mtu ambaye anyamazi Kama Asylum na Refugee tulioaminishwa hapa Jf?

Au sisi Wana CCM tunajua zaidi ya sheria za kimataifa kuliko Mataifa?
Hivi we we kipindi kile cha kampenii alipaswa hata kampenii asifanyee, matokeo yake amekiachia chama mbunge mumojaà. Kiufupi Mimi napendekeza baada ya ajaliii ile kubwa na mbaya, alipaswa apumuzike kwanza ili akili itengamaeee
 
Hivi we we kipindi kile cha kampenii alipaswa hata kampenii asifanyee, matokeo yake amekiachia chama mbunge mumojaà. Kiufupi Mimi napendekeza baada ya ajaliii ile kubwa na mbaya, alipaswa apumuzike kwanza ili akili itengamaeee
Amekiachia chama mbunge mmoja kwani kulikuwa na uchaguzi? Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
 
Amekiachia chama mbunge mmoja kwani kulikuwa na uchaguzi? Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Akiwemo yeye alikuja kujionyesha kwa ujinga wake na jinsia moja, kisha akalala mbele kurudi alipokuwa baada ya maonyesho kwisha,
Nadhani yeye ndo alikuwa mjinga na wafuasi wake walioshiriki maonyesho huku wakijua hayana maana.
 
Back
Top Bottom