Mnielimishe: Ni kitu gani haswa Nyerere alikitaka kwenye Muungano, maana nachoona tunapigwa wazi wazi

Nyerere alikuwa na lengo moja tu kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wa Zanzibar waje kuwekeza Tanzania bara uwekezaji mkubwa serikali ipate Kodi kwani wazawa kipindi kile wakiwemo wachaga matotongo ya kufanya biashara kubwa yakikuwa yamejaa hayajaamka .Wachaga walikuwa migombani tu kulima kahawa wamelala fofo kibiashara.Akaona heri alete wazanzibari waje huku kwa wingi bara apate Kodi ya kuendesha serikali na alifanikiwa Hadi leo wafanyabiashara wakubwa Wenye biashara kubwa na viwanda vikubwa bara Ni wazanzibari kuanzia akina Bakhresa nk wameshika sekta kubwa ziwe usafiri,mafuta,viwanda nk

Wachaga Ni wachuuzi yaani machinga waliochangamka kuliko machinga wa makabila mengine

Kwa kulipa Kodi TRA wazanzibari walioko bara wanaoongoza kuliko waswahili wote watanganyika

Nyerere aliangalia zaidi TRA kuukubali huu muungano mnauona umekaa mguu kushoto ukiwa kulia na wa kulia ukiwa kushoto.

Ukiwaangalia kiingiacho TRA Hadi leo Huwezi mtu kubali muungano uvunjike kirahisi hivi ukiuvunja halafu Bakhresa arudi kwao Zanzibar Mswahili yupi mtanganyika aweza kuwa na mtaji na uwezo wa kuendesha business chain kubwa za Bakhresa kuhakikisha TRA inapata chake bila athari? Wata take over Nani Hawa malofa akina Lisu wapiga Domo ambao hata kufuga kuku tu wa biashara watano hawawezi kazi kubweka tu kuwa muungano mbaya? Mkono mtupu haulambwi

Nyerere alikubali muungano wa aina ilyopo akijua mkono aulambao una kitu.Mfano tukisema tulambe mkono wa Chadema wasiotaka muungano una Nini? Mbowe ana Nini,Lisu ana Nini,Msigwa ana Nini? Chadema wengi choka mbaya wamepigika kimaisha wanaishi kwa kuchonga midomo tu
Umeongea points kwa asilimia 60 lakini jaribu kuweka hisia za chuki pembeni mkuu, naona umeongea kwa hisia chachu, dharau na kebehi, next time weka pembeni hizo sumu, haya matatizo ni yetu sote, watanganyika wengi pia hawautaki muungano na wazanzibar pia hawautaki, hakuna haja ya kuweka hisia chachu kwenye kutoa maoni.

Hapo nmechukua ka point kazuri sana baada ya kuchambua mchele uliojaa mawe ili nipate mchele pekee
 
Nyerere alikuwa na lengo moja tu kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wa Zanzibar waje kuwekeza Tanzania bara uwekezaji mkubwa serikali ipate Kodi kwani wazawa kipindi kile wakiwemo wachaga matotongo ya kufanya biashara kubwa yakikuwa yamejaa hayajaamka .Wachaga walikuwa migombani tu kulima kahawa wamelala fofo kibiashara.Akaona heri alete wazanzibari waje huku kwa wingi bara apate Kodi ya kuendesha serikali na alifanikiwa Hadi leo wafanyabiashara wakubwa Wenye biashara kubwa na viwanda vikubwa bara Ni wazanzibari kuanzia akina Bakhresa nk wameshika sekta kubwa ziwe usafiri,mafuta,viwanda nk

Wachaga Ni wachuuzi yaani machinga waliochangamka kuliko machinga wa makabila mengine

Kwa kulipa Kodi TRA wazanzibari walioko bara wanaoongoza kuliko waswahili wote watanganyika

Nyerere aliangalia zaidi TRA kuukubali huu muungano mnaouona umekaa mguu kushoto ukiwa kulia na wa kulia ukiwa kushoto.

Ukiwaangalia kiingiacho TRA Hadi leo Huwezi mtu kubali muungano uvunjike kirahisi hivi ukiuvunja halafu Bakhresa arudi kwao Zanzibar Mswahili yupi mtanganyika aweza kuwa na mtaji na uwezo wa kuendesha business chain kubwa za Bakhresa kuhakikisha TRA inapata chake bila athari? Wata take over Nani Hawa malofa akina Lisu wapiga Domo ambao hata kufuga kuku tu wa biashara watano hawawezi kazi kubweka tu kuwa muungano mbaya? Mkono mtupu haulambwi

Nyerere alikubali muungano wa aina ilyopo akijua mkono aulambao una kitu.Mfano tukisema tulambe mkono wa Chadema wasiotaka muungano una Nini? Mbowe ana Nini,Lisu ana Nini,Msigwa ana Nini? Chadema wengi choka mbaya wamepigika kimaisha wanaishi kwa kuchonga midomo tu
Subiri mapovu ya mtaa wa ufipa
 
Umeongea points kwa asilimia 60 lakini jaribu kuweka hisia za chuki pembeni mkuu, naona umeongea kwa hisia chachu, dharau na kebehi, next time weka pembeni hizo sumu, haya matatizo ni yetu sote, watanganyika wengi pia hawautaki muungano na wazanzibar pia hawautaki, hakuna haja ya kuweka hisia chachu kwenye kutoa maoni.

Hapo nmechukua ka point kazuri sana baada ya kuchambua mchele uliojaa mawe ili nipate mchele pekee
Wasiotaka muungano Ni malofa Maskini wasiochangia chochote kikubwa TRA au Zanzibar Revenue Authority . Kaangalie quality ya wapinga muungano walioko Zanzibar Ni Maskini wa kutupwa na bara hivyo hivyo .Hata ungevunja leo hawana Cha kuwekeza Zanzibar Cha kufanya Zanzibar ipae kimapato na hawana Cha kuwekeza bara Cha kufanya Tanzania ipae kimapato

Tuweke ushabiki pembeni .Wapiga yowe wengi masikini .Huwezi mwambia mfanyabiashara mkubwa aliyeko Zanzibar muungano uvunjike wakati soko lake kubwa liko bara na Huwezi mwambia mfanyabiashara mkubwa wa bara avunje muungano wakati soko lake kubwa la nafaka liko Zanzibar na mazao huyapata bara

Wapiga yowe ukiacha malofa Ni wanasiasa ambao maisha yao hutegemea porojo kushinda ubunge na Baraza la wawakilishi nk

Ila ukifanya assessment sio people material Ni waganga njaaa.Anapiga yowe ohh bara turuhusiwe kununua ardhi Zanzibar !!! Tanzania bara kwenyewe hata shamba Hana ana kakiwanja hatua chache tu.Kashindwa kununua hata kashamba tu!!! Mchonga mdomo hata asiyeweza!!!


Mwenye macho haambiwi Tazama angalia profile za wapinga muungano na CV zao wawe CCM au upinzani Ni malofa lofa tu hata Kama Wana vyeo walifikia hapo walipo kwa kuchonga midomo tu sio kwa kuchangia kikubwa TRA au ZRB(Zanzibar Revenue Board)
 
View attachment 2029458

Naombeni wenye jicho la ziada mnitoe ujinga maana huu ujinga nilionao ndio unanifanya niwe napatwa na hasira kwa maono mafupi yanayonifanga nione Zanzibar inatunyonya

Kwa upeo wangu mfupi najionea mambo haya, Naombeni mnipe maarifa, huenda mtazamo wangu haupo sawa.

Mambo ya huku bara lazima yawe na mchanganyiko wa mtanganyika na mzanzibari kuanzia ajira, uongozi, jeshini, mahakama, n.k kwenye uongozi kukiwa na msaidizi wa bara basi mkuu inabidi awe wa Zanzibar, kwenye ajira nako katika kila ajira 100 basi 21 za wazanzibar, jeshini huko wapo wengi pia sana sana polisi na jwtz, ila sasa huko kwao mambo yao ni ya wao hawataki mchanganyiko, hapa Tanganyika tunanufaika kivipi????

Ukija kwenye ardhi, wazanzibari kibao wanamiliki mashamba makubwa na viwanja huku bara lakini mtanganyika harusiwi kufanya hivyo, Je tunanufaika kivipi??

Ukija kwenye Power, hakuna kabila wala kundi linalowafikia wala kuwasogelea wazanzibar, yani si mchaga wala msukuma wala kabila lolote unaloweza kulifikiria, hawa wenzetu wapo wachache lakini wamesambazwa si mchezo kwenye vyeo vizito. kuna mawaziri, wakuu wamikoa, wakuu wa wilaya, ma rpc, vyeo vikubwa jwtz, mabalozi wa nchi za nje, majaji wa mahakama, maprofesa vyuoni, waajiriwa kwenye mashirika yenye mishahara minono kama bandarini, Bot, Tanapa, Tra, Nssf, n.k hii ni kwasababu muungano unahitaji mchanganyiko wa pande mbili.

Mtanganyika hana nafasi kwenye serikali ya zanzibar kuanzia kwenye uongozi, ajira, mahakama, n.k Wana serikali yao kwajili yao kuanzia uraisi, makamu wa raisi, spika wa bunge, n.k hawa inabidi wawe wa zanzibar. pia wana taasisi zao kama Zff ambayo ni kama tff ya huku, Zrb ambayo ni kama Tra ya huku, Zssf ambayo ni kama Nssf ya huku, Jku ambayo ni kama jkt ya huku, yani taasisi zipo kibao kwakweli, hizo taasisi zinatoa ajira kwa wazanzibar tu, mtu wa Tanganyika huna sifa, lakini cha ajabu mzanzibar anaweza kupata ajira pande mbili za bara na huko kwao, vya bara ni vya wote ila vya zanzibar ni vya wao pekee, Patamu happ aisee 🤔🤔

Tukubali kwamba wazanzibar WALITUZIDI AKILI na sasa wanafaidi dili nono la muungano

Kwa upeo wangu nimegundua Karume alimzidi akili Nyerere, Alipoona kwamba Nyerere anambembeleza sana kuwe na muungano, Karume akatumia nafasi hii kumbana Nyerere aipe Zanzibar upendeleo kama huu tunaouona ama sivyo hakuna muungano, Pia akaongezea kipengere kwamba endapo kukiwa na muungano basi Zanzibar iwe kwajili ya Zanzibar lakini Tanganyika ibanwe iwe kwajili ya wote, Kwa lugha nyepesi "changu ni changu ila chako tutagawana" matokeo yake leo Tanganyika tunashuhudia inapigwa nje ndani na wazanzibar, na pia haya malalamiko ya wazanzibar kunyonywa yaliwekwa kimkakati ili iwe silaha kwa Zanzibar kutojitapa kwamba wametuzidi akili lakini pia haya malalamiko huwadanganya watanganyika wadhani kwamba Zanzibar ni kama mkoa wake kumbe kiukweli wanapigwa 😂😂
Zanzibar haijawahi kujiamlia mambo yake bila kupangiwa na wabara.
Hii ni ajjali kazini na baada ya hapa itarudi tena mikononi mwa wabara,
Wamesahau hata kudai taifa huru wakati ambao chochote wanachoweza kudai
uwezekano wa kusikilizwa upo na sio kupigwa mabom.
 
View attachment 2029458

Naombeni wenye jicho la ziada mnitoe ujinga maana huu ujinga nilionao ndio unanifanya niwe napatwa na hasira kwa maono mafupi yanayonifanga nione Zanzibar inatunyonya

Kwa upeo wangu mfupi najionea mambo haya, Naombeni mnipe maarifa, huenda mtazamo wangu haupo sawa.

Mambo ya huku bara lazima yawe na mchanganyiko wa mtanganyika na mzanzibari kuanzia ajira, uongozi, jeshini, mahakama, n.k kwenye uongozi kukiwa na msaidizi wa bara basi mkuu inabidi awe wa Zanzibar, kwenye ajira nako katika kila ajira 100 basi 21 za wazanzibar, jeshini huko wapo wengi pia sana sana polisi na jwtz, ila sasa huko kwao mambo yao ni ya wao hawataki mchanganyiko, hapa Tanganyika tunanufaika kivipi????

Ukija kwenye ardhi, wazanzibari kibao wanamiliki mashamba makubwa na viwanja huku bara lakini mtanganyika harusiwi kufanya hivyo, Je tunanufaika kivipi??

Ukija kwenye Power, hakuna kabila wala kundi linalowafikia wala kuwasogelea wazanzibar, yani si mchaga wala msukuma wala kabila lolote unaloweza kulifikiria, hawa wenzetu wapo wachache lakini wamesambazwa si mchezo kwenye vyeo vizito. kuna mawaziri, wakuu wamikoa, wakuu wa wilaya, ma rpc, vyeo vikubwa jwtz, mabalozi wa nchi za nje, majaji wa mahakama, maprofesa vyuoni, waajiriwa kwenye mashirika yenye mishahara minono kama bandarini, Bot, Tanapa, Tra, Nssf, n.k hii ni kwasababu muungano unahitaji mchanganyiko wa pande mbili.

Mtanganyika hana nafasi kwenye serikali ya zanzibar kuanzia kwenye uongozi, ajira, mahakama, n.k Wana serikali yao kwajili yao kuanzia uraisi, makamu wa raisi, spika wa bunge, n.k hawa inabidi wawe wa zanzibar. pia wana taasisi zao kama Zff ambayo ni kama tff ya huku, Zrb ambayo ni kama Tra ya huku, Zssf ambayo ni kama Nssf ya huku, Jku ambayo ni kama jkt ya huku, yani taasisi zipo kibao kwakweli, hizo taasisi zinatoa ajira kwa wazanzibar tu, mtu wa Tanganyika huna sifa, lakini cha ajabu mzanzibar anaweza kupata ajira pande mbili za bara na huko kwao, vya bara ni vya wote ila vya zanzibar ni vya wao pekee, Patamu happ aisee 🤔🤔

Tukubali kwamba wazanzibar WALITUZIDI AKILI na sasa wanafaidi dili nono la muungano

Kwa upeo wangu nimegundua Karume alimzidi akili Nyerere, Alipoona kwamba Nyerere anambembeleza sana kuwe na muungano, Karume akatumia nafasi hii kumbana Nyerere aipe Zanzibar upendeleo kama huu tunaouona ama sivyo hakuna muungano, Pia akaongezea kipengere kwamba endapo kukiwa na muungano basi Zanzibar iwe kwajili ya Zanzibar lakini Tanganyika ibanwe iwe kwajili ya wote, Kwa lugha nyepesi "changu ni changu ila chako tutagawana" matokeo yake leo Tanganyika tunashuhudia inapigwa nje ndani na wazanzibar, na pia haya malalamiko ya wazanzibar kunyonywa yaliwekwa kimkakati ili iwe silaha kwa Zanzibar kutojitapa kwamba wametuzidi akili lakini pia haya malalamiko huwadanganya watanganyika wadhani kwamba Zanzibar ni kama mkoa wake kumbe kiukweli wanapigwa 😂😂
Zanzibar ni kama mtoto mdogo unampiga analia baadae unampa pipi ananyamaza.
 
Kwa kuongezea tu ni kwamba Wazanzibari wao hata kuoa wanaruhusiwa kuoa Bara ila sisi wa Bara tukienda Zenji kuoa tunakataliwa yaani hata uwe unaitwa Ramadhani utakataliwa tu yani hii mi inaniuma mno.
 
Zanzibar haijawahi kujiamlia mambo yake bila kupangiwa na wabara.
Hii ni ajjali kazini na baada ya hapa itarudi tena mikononi mwa wabara,
Wamesahau hata kudai taifa huru wakati ambao chochote wanachoweza kudai
uwezekano wa kusikilizwa upo na sio kupigwa mabom.
Sema bila kupangiwa na CCM siyo Wabara.
Na wewe unajua vizuri kuwa ndani ya CCM kuna genge la Wazanzibar linalowauza wenzao kwa maslahi madogo ya vyeo.
Kwa hiyo acha kutulaumu wabara kwa kitu kinachofanywa na genge dogo tu la CCM ambalo na wazanzibar wenzao ni wadau wake.
 
Umewahi kudadisi kabla Karume hajatangulia mbele za haki huo mwaka alikuwa na mawazo gani kuhusu Muungano? Nimesikia aliwahi kusema haya "Muungano ni kama koti likikubana unalivua"...
Katika hali ya kawaida yule mzee alikuja kushtuka ameingizwa chaka na namna ya kutoka Isha kua ngumu kwake ndipo alipoanza kusema mafumbo kama hayo, kisha maisha yake hayakuweza kuendelea sana!
 
Sema bila kupangiwa na CCM siyo Wabara.
Na wewe unajua vizuri kuwa ndani ya CCM kuna genge la Wazanzibar linalowauza wenzao kwa maslahi madogo ya vyeo.
Kwa hiyo acha kutulaumu wabara kwa kitu kinachofanywa na genge dogo tu la CCM ambalo na wazanzibar wenzao ni wadau wake.
Wabara ndio wanamiliki jeshi na intelligence ndani ya ccm.
 
Vipi Commoro, Shelisheli na Madagascar?
hivo visiwa havina risk impact kubwa kuliko zenj.................. comoro , Madagascar havina muingiliano sana na waarabu........ kuliko zenji........
najua unajua uhusiano wa nchi za kiarabu na ugaidi
 
Hii sababu ni kwa mujibu wa ulivyoambiwa na hao wahenga, tueleze leo kwa akili zako mwenyewe nini maoni yako?
bado una umuhimu.......coz zanzibar itakua weak kijeshi ........hivyo kuwa ni njia rahisi kwa magaidi.............then kuhatarisha usalama wa bara
 
Alichemka kuipa zenj status ya nchi (semi-autonomous status) wakati alikuwa na upper hand, angezifanya tu kuwa wilaya za mkoa wa pwani au Dar.
 
Nyerere alikuwa na lengo moja tu kuvutia wawekezaji na wafanyabiashara wa Zanzibar waje kuwekeza Tanzania bara uwekezaji mkubwa serikali ipate Kodi kwani wazawa kipindi kile wakiwemo wachaga matongitongo ya kufanya biashara kubwa yakikuwa yamejaa hayajaamka .Wachaga walikuwa migombani tu kulima kahawa wamelala fofo kibiashara.Akaona heri alete wazanzibari waje huku kwa wingi bara apate Kodi ya kuendesha serikali na alifanikiwa Hadi leo wafanyabiashara wakubwa Wenye biashara kubwa na viwanda vikubwa bara Ni wazanzibari kuanzia akina Bakhresa nk wameshika sekta kubwa ziwe usafiri,mafuta,viwanda nk

Wachaga Ni wachuuzi yaani machinga waliochangamka kuliko machinga wa makabila mengine

Kwa kulipa Kodi TRA wazanzibari walioko bara wanaoongoza kuliko waswahili wote watanganyika

Nyerere aliangalia zaidi TRA kuukubali huu muungano mnaouona umekaa mguu kushoto ukiwa kulia na wa kulia ukiwa kushoto.

Ukiwaangalia kiingiacho TRA Hadi leo Huwezi mtu kubali muungano uvunjike kirahisi hivi ukiuvunja halafu Bakhresa arudi kwao Zanzibar Mswahili yupi mtanganyika aweza kuwa na mtaji na uwezo wa kuendesha business chain kubwa za Bakhresa kuhakikisha TRA inapata chake bila athari? Wata take over Nani Hawa malofa akina Lisu wapiga Domo ambao hata kufuga kuku tu wa biashara watano hawawezi kazi kubweka tu kuwa muungano mbaya? Mkono mtupu haulambwi

Nyerere alikubali muungano wa aina ilyopo akijua mkono aulambao una kitu.Mfano tukisema tulambe mkono wa Chadema wasiotaka muungano una Nini? Mbowe ana Nini,Lisu ana Nini,Msigwa ana Nini? Chadema wengi choka mbaya wamepigika kimaisha wanaishi kwa kuchonga midomo tu
Maelezo mazuri lakini yana ukakasi ndani yake uliopelekea hoja yako yote kuwa na ukakasi.

Taja mwingine ukiachilia said nani mwingine kutoka Zanzibar kiasi cha kusema Wabara wote hawana kitu katika biashara.

Kwamba huyo said ndie egememeo la serikali kwenye upande wa kodi kiasi cha kwamba asipokuwepo na serikali haita kuwepo!

Kwanini wachanga pekee ndio imewaona ni machinga, kwani mchanga ndie afanya huo uliouita umachinga pekee?

Wakina lisu mbowe na chadema wanahusika kwa namna yoyote na hii hoja?

Sio kwamba una chuki za kisiasa ndio ukaelemea kwa wachaga na chadema na vingozi wake?
 
Nadhani Tukitengana tutapoteza sehemu kubwa ya eneo la bahari na zanzibar itapaa kiuchumi kupitia marafiki zao waarabu.

In short kujitenga kuna manufaa makubwa sana kwa Zanzibar kukiko Tanganyika.
 
Back
Top Bottom