Mnapata wapi ujasiri na akili ya kulinganisha maendeleo yaliyoletwa kupitia CCM kulinganisha na nchi za Ulaya?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,556
2,996
Akili ni nywele kila mtu anazake ila wingi wa nywele haimaanishi kuwa unaakili nyingi au kubwa dhidi ya wenzako,mimi Muhafidhina nimeona nyuzi zenye hoja nyingi zisizo mashiko kwa baadhi ya member wa humu kuishutumu serikali yao ya CCM kuwa haijafanya lolote na hata napojaribu kuangalia mitandao ya kijamii hasa mijadala ya bungeni wabunge wa upinzani wakitoa hoja mbovu na kufanya ulinganifu usiosahihi kwa serikali ya CCM.

HOJA HUJIBIWA KWA HOJA ILA HOJA YA DEMOKRASIA NI HOJA YA KIJOGRAFIA

Nawaona baadhi ya member wakisema kuwa bado nchi ya Tanzania haijapiga hatua kwenye demokrasia huku wakijaribu kuishutumu serikali kuwa na misingi isiyo ya wazi katika uendeshaji wake ila wanasahau kuwa demokrasia hotofautiana kulingana na eneo hebu angalia nchi ya marekani katika eneo lilipo unaweza kulinganisha na demokrasia ya middle east au estern europe? jibu ni kwamba demokrasia huathiriwa na tamaduni hivyo ni ngumu sana kuwa na total indication or principle of demokrasi.

HOJA YA MUDA NA WAKATI INAWEZA KUISUBIRISHA CCM KUFANYA MCHAKATO WA KATIBA PENDEKEZWA

Wapo baadhi ya member wanaikosoa serikali kuhusu mchakato wa mwaka 2014 kukwama,ila tukiangalia vizuri muda au wakati wa kufanya maboresho au reform ya katiba ni bado sana,tusipende kulinganisha katiba ya nchi za wazungu ambao wametutawala kwa takribani karne tukajifananisha nao,marekani katengeneza nchi miaka mingi toka apate uhuru na mpaka alipofika bado kuna baadhi ya vifungu vya katiba ni ngumu kubadilisha wewe na nchi yako ya miaka 60 unataka maendeleo ya haraka kwa muda mfupi..who are you by the way siasa zisitudanganye kuwa wakiingia wasemaji kuwa kutabadilika labda hujiulizi umesoma mambo mengi na ulivosoma umeshindwa kutekeleza baadhi ya mambo?

ACHENI SERIKALI ITENDE MAENDELEO NI MCHAKATO,WAPO WALIOGAIWA DEMOKRASIA WAKAWA NI WENYE FUJO NA VURUGU,RUSHWA NA WENGINE UBAGUZI,AFRIKA KWA MFUMO WA KIDUNIA TUNAHITAJI MIAKA 300 ILI KUBADILIKA CHINI YA SERIKALI MOJA ILA TUKILETAMULTI GOVERNMENT TUTAKESHA BARABARANI TU.
 
Hii definition ya demokrasia kuwa ni tofauti kulingana na maeneo fulani ni hoja ya hovyoo sana yenye lengo la kuficha madhambi na kutotenda haki.
Kama demokrasia yetu ni tofauti, badi tuelezwe wazi hii yetu ni ya namna gani?? Ili tuelewe na kutolinganisha na wengine.
Shida yeti kubwa ni unafiki.. demokrasia yeti kinadharia ipo sawa na kwengine ila ukija kwenye matendo tunautupa kule na kusema yetu ni tofauti.. na hatuambiwi ina utofauti gani kwa mujibu gani?? Huu ni udhalimu tuu wa watawala wetu ili kujilinda.
Wote tunakubali kuna mambo yamefanyika chini ya CCM hii, ila tunachokipia kelele ni kuwa tungeweza kuwa mbali zaidi kama mambo fulani fulani yangefanyika with good vision and mission.
Kwa umri wetu TZ ni kama mtoto aliyedumaa kwa kukosa lishe na malezi bora.
CCM inakosa vision endelevu... kila awamu inategemea na mkubwa anaona nini au anashawishiwa kufanya nini... na hii inapelekea kuwa watu wasio na nchi.
 
Akili ni nywele kila mtu anazake ila wingi wa nywele haimaanishi kuwa unaakili nyingi TUNAHITAJI MIAKA 300 ILI KUBADILIKA CHINI YA SERIKALI MOJA ILA TUKILETAMULTI GOVERNMENT TUTAKESHA BARABARANI TU.

Tujilinganishe na Malaysia, Singapore na Korea Kusini ambazo ziliweza kupata maendeleo makubwa katika kipindi cha miaka 30 tangu zipate uhuru. Tukisubiria kuendelea baada ya miaka 300 ni mingi sana, wote tutakuwa tumekufa na kugeuka fossils.
 
Tujilinganishe na Malaysia, Singapore na Korea Kusini ambazo ziliweza kupata maendeleo makubwa katika kipindi cha miaka 30 tangu zipate uhuru. Tukisubiria kuendelea baada ya miaka 300 ni mingi sana, wote tutakuwa tumekufa na kugeuka fossils.
inshu ideology mfum wetu ni wakijamaa hvyo ni ngumu kuoparate kwenye ubepari alaf ujamaa wetu ni wa kuumzana na kuogopana..
 
Hii definition ya demokrasia kuwa ni tofauti kulingana na maeneo fulani ni hoja ya hovyoo sana yenye lengo la kuficha madhambi na kutotenda haki.
Kama demokrasia yetu ni tofauti, badi tuelezwe wazi hii yetu ni ya namna gani?? Ili tuelewe na kutolinganisha na wengine.
Shida yeti kubwa ni unafiki.. demokrasia yeti kinadharia ipo sawa na kwengine ila ukija kwenye matendo tunautupa kule na kusema yetu ni tofauti.. na hatuambiwi ina utofauti gani kwa mujibu gani?? Huu ni udhalimu tuu wa watawala wetu ili kujilinda.
Wote tunakubali kuna mambo yamefanyika chini ya CCM hii, ila tunachokipia kelele ni kuwa tungeweza kuwa mbali zaidi kama mambo fulani fulani yangefanyika with good vision and mission.
Kwa umri wetu TZ ni kama mtoto aliyedumaa kwa kukosa lishe na malezi bora.
CCM inakosa vision endelevu... kila awamu inategemea na mkubwa anaona nini au anashawishiwa kufanya nini... na hii inapelekea kuwa watu wasio na nchi.
boss ni ngumu kusema demokrasia zmefanana coz tamaduni huatiri tabia,.ndy maana unakuta kuna by laws coz ya utamaduni
 
Akili ni nywele kila mtu anazake ila wingi wa nywele haimaanishi kuwa unaakili nyingi au kubwa dhidi ya wenzako,mimi Muhafidhina nimeona nyuzi zenye hoja nyingi zisizo mashiko kwa baadhi ya member wa humu kuishutumu serikali yao ya CCM kuwa haijafanya lolote na hata napojaribu kuangalia mitandao ya kijamii hasa mijadala ya bungeni wabunge wa upinzani wakitoa hoja mbovu na kufanya ulinganifu usiosahihi kwa serikali ya CCM.

HOJA HUJIBIWA KWA HOJA ILA HOJA YA DEMOKRASIA NI HOJA YA KIJOGRAFIA

Nawaona baadhi ya member wakisema kuwa bado nchi ya Tanzania haijapiga hatua kwenye demokrasia huku wakijaribu kuishutumu serikali kuwa na misingi isiyo ya wazi katika uendeshaji wake ila wanasahau kuwa demokrasia hotofautiana kulingana na eneo hebu angalia nchi ya marekani katika eneo lilipo unaweza kulinganisha na demokrasia ya middle east au estern europe? jibu ni kwamba demokrasia huathiriwa na tamaduni hivyo ni ngumu sana kuwa na total indication or principle of demokrasi.

HOJA YA MUDA NA WAKATI INAWEZA KUISUBIRISHA CCM KUFANYA MCHAKATO WA KATIBA PENDEKEZWA

Wapo baadhi ya member wanaikosoa serikali kuhusu mchakato wa mwaka 2014 kukwama,ila tukiangalia vizuri muda au wakati wa kufanya maboresho au reform ya katiba ni bado sana,tusipende kulinganisha katiba ya nchi za wazungu ambao wametutawala kwa takribani karne tukajifananisha nao,marekani katengeneza nchi miaka mingi toka apate uhuru na mpaka alipofika bado kuna baadhi ya vifungu vya katiba ni ngumu kubadilisha wewe na nchi yako ya miaka 60 unataka maendeleo ya haraka kwa muda mfupi..who are you by the way siasa zisitudanganye kuwa wakiingia wasemaji kuwa kutabadilika labda hujiulizi umesoma mambo mengi na ulivosoma umeshindwa kutekeleza baadhi ya mambo?

ACHENI SERIKALI ITENDE MAENDELEO NI MCHAKATO,WAPO WALIOGAIWA DEMOKRASIA WAKAWA NI WENYE FUJO NA VURUGU,RUSHWA NA WENGINE UBAGUZI,AFRIKA KWA MFUMO WA KIDUNIA TUNAHITAJI MIAKA 300 ILI KUBADILIKA CHINI YA SERIKALI MOJA ILA TUKILETAMULTI GOVERNMENT TUTAKESHA BARABARANI TU.
Huna hoja wewe.
 
Back
Top Bottom