Raisi Samia natoa ushauri tu. Wengi wetu sio wanasiasa hapa tunapenda maendeleo ya nchi yetu tu.
Tunakuomba uweke maslahi ya nchi mbele kuliko maslahi ya vigogo wa CCM na wewe binafsi.
Katiba nzuri ya kidemokrasia italeta maendeleo kwa nchi pamoja na ukweli kwamb itaongeza ushindani wa kisiasa. Lakini maendeleo hayatakuja na hii system ya sasa na demokrasia ya maneno na matakwa ya wachache. Hii hali itahatarisha usalama huko mbele. Suluhu kwa wote ni katiba nzuri bila kujali vyama.
Ukiangalia wenzetu kama South African na hata Kenya wanatuzidi kwasababu ya sheria nzuri.
1. Demokrasia inaleta uhakika wa uwekezaji zaidi hasa wa muda mrefu
2. Sheria za Ardhi zibadilishwe
3. Serikali irudishwe kwa wananchi ili kupunguza rushwa
4. Ushindani uwepo wa kisiasa kwa usawa.
Bila hivi utapata shida sana maana kwa hali ya sasa watu hawatarudi nyuma
Achana ni hii miswada ambayo haina tija
Tunakuomba uweke maslahi ya nchi mbele kuliko maslahi ya vigogo wa CCM na wewe binafsi.
Katiba nzuri ya kidemokrasia italeta maendeleo kwa nchi pamoja na ukweli kwamb itaongeza ushindani wa kisiasa. Lakini maendeleo hayatakuja na hii system ya sasa na demokrasia ya maneno na matakwa ya wachache. Hii hali itahatarisha usalama huko mbele. Suluhu kwa wote ni katiba nzuri bila kujali vyama.
Ukiangalia wenzetu kama South African na hata Kenya wanatuzidi kwasababu ya sheria nzuri.
1. Demokrasia inaleta uhakika wa uwekezaji zaidi hasa wa muda mrefu
2. Sheria za Ardhi zibadilishwe
3. Serikali irudishwe kwa wananchi ili kupunguza rushwa
4. Ushindani uwepo wa kisiasa kwa usawa.
Bila hivi utapata shida sana maana kwa hali ya sasa watu hawatarudi nyuma
Achana ni hii miswada ambayo haina tija