Mnaopanga kuandamana tena

Mnaopanga kuandamana tena

Taifa lipo kwenye uvamizi wa kigaidi wewe unawaza maandazi mpumbavu mkubwa. Kwenye nature kuna kitu kinaitwa Survival of the fittest. Tafsiri yake ni kuwa watu dhaifu kama wewe ambaye hausimami na raia wengine ni lazima maandazi ukose ili ufe njaa taifa lipate raia makini wachache wajenge taifa imara.

Ni watu kama wewe ndio sababu hadi leo tanzania taifa lenye miaka zaidi ya 50+ ya uhuru bado limenasa katika stage ya umasikini wa kipato cha chini. Ni watu kama wewe ndio hawa matapeli wa siasa wanawatumia kuaminisha jamii kuwa sisi ni masikini na tunatakiwa kuombewa misaada.

Sasa ili sekeseke la mabadiliko ya kimfumo litapita na wapuuzi kama wewe hadi akili ikukae sawa ubadilike. Kama wewe unawaza maandazi unamuwazia nini mtoto wako kesho yake?
 
hawa waandamanaji mimi nawaita Nyumbu na Nyumbu ni chakula cha mamba .

wanachofanya wana offend the wrong enemy mfano ile trh 29 wameharibu mwendokasi .

mpaka sasa DSM kuna shida kubwa ya usafiri barabara ya kimala mbez n.k

ikiwa kweli unawachukia ccm why uchome mwendokasi ambayo ni usafiri wa masikini.

zama hizi ambazo unabidi kutumia technology weapons kudeal na adui wewe unatumia nguvu.


yaani walioua na walioliwa wote walionesha kuwa ni zero brain.

Nb mimi nasikitika kwa walioliwa bila kuandamana.
 
Taifa lipo kwenye uvamizi wa kigaidi wewe unawaza maandazi mpumbavu mkubwa. Kwenye nature kuna kitu kinaitwa Survival of the fittest. Tafsiri yake ni kuwa watu dhaifu kama wewe ambaye hausimami na raia wengine ni lazima maandazi ukose ili ufe njaa taifa lipate raia makini wachache wajenge taifa imara.

Ni watu kama wewe ndio sababu hadi leo tanzania taifa lenye miaka zaidi ya 50+ ya uhuru bado limenasa katika stage ya umasikini wa kipato cha chini. Ni watu kama wewe ndio hawa matapeli wa siasa wanawatumia kuaminisha jamii kuwa sisi ni masikini na tunatakiwa kuombewa misaada.

Sasa ili sekeseke la mabadiliko ya kimfumo litapita na wapuuzi kama wewe hadi akili ikukae sawa ubadilike. Kama wewe unawaza maandazi unamuwazia nini mtoto wako kesho yake?
umeandika upumbavu mkuu .

mtoa mada yeye ni mgonjwa ambaye anabidi ku attend hosptalini

so nyie mnatumia keybody kupush ajenda ila hauwezi kuandamana unategemea mabadiliko kwa keybody yako .

wajinga kama nyie ndo mlishawishi vijana kuandamana na kuwaambia watalindwa jeshi

watu wapumbavu kama wewe ndo mmejazana Tanzania .

ccm itawatawa milele kwakuwa mnafanya wrong approaching .
 
Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya

Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
Lakini wao wanaenda kuuwawa na risasi za moto inabidi uchague, kufa kwa njaa au kwa risasi🐼
 
Taifa lipo kwenye uvamizi wa kigaidi wewe unawaza maandazi mpumbavu mkubwa. Kwenye nature kuna kitu kinaitwa Survival of the fittest. Tafsiri yake ni kuwa watu dhaifu kama wewe ambaye hausimami na raia wengine ni lazima maandazi ukose ili ufe njaa taifa lipate raia makini wachache wajenge taifa imara.

Ni watu kama wewe ndio sababu hadi leo tanzania taifa lenye miaka zaidi ya 50+ ya uhuru bado limenasa katika stage ya umasikini wa kipato cha chini. Ni watu kama wewe ndio hawa matapeli wa siasa wanawatumia kuaminisha jamii kuwa sisi ni masikini na tunatakiwa kuombewa misaada.

Sasa ili sekeseke la mabadiliko ya kimfumo litapita na wapuuzi kama wewe hadi akili ikukae sawa ubadilike. Kama wewe unawaza maandazi unamuwazia nini mtoto wako kesho yake?
Asante Kwa kucoment boss.karibu tena
 
Back
Top Bottom