Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 6,211
- 6,559
Unawadanganya wenzio eti ukifa kwenye maandamano ni ushujaa..?Unatakiwa uwe mstari wa mbele kwenye Maandamano, usife kizembe au kindezi na njaa.
Ukifa kwenye maandamano wewe ni shujaa wa Taifa.
Tukifanikiwa watakao baki wanatakiwa wafukue makaburu yote ya mashujaa wazike upya na Mizinga ipigwe100, (Mia).
Hapo ni kama unaomba Maisha Mrefu alafu ya tabu