Sister Abigail
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 3,417
- 10,564
- Thread starter
- #101
Asante mkuuMshukuru Mungu unaishi, wengine wamedhulumiwa maisha wapo kaburini.
Nimejaa shukrani mda wote
Asante mkuuMshukuru Mungu unaishi, wengine wamedhulumiwa maisha wapo kaburini.
Jana maza kanitumia lita 5 ya mafuta ya Alizeti hapa nikajiokotee first year hapo jalalani nipunguze machungu ya kunyanyaswa na JamhuriDogo mama kasema uje nyumbani jioni.
Unadhani wanaoandana ndio hawana maisha magumu?Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya
Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
Maria Sarungi na Mange Kimambi wamejua kuwa shika akili aisee licha ya damu zote kumwagika vile bado tu wanataka zimwagike tena wale wanawake wanaroho ngumu kinomaWe ni chawa na nikuambie tu unachokifanya ni ujinga
Ukiwa na maana Maria Sarungi na Mange ndio wanaoteka na kuuwa watu.Maria Sarungi na Mange Kimambi wamejua kuwa shika akili aisee licha ya damu zote kumwagika vile bado tu wanataka zimwagike tena wale wanawake wanaroho ngumu kinoma
Usiwaze hakuna maandamanoMtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya
Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
🤣🤣🤣 Kitulambe woteNjoo nikupe hifadhi ya muda ila nitakuacha ndani Mimi nikapiganie taifa letu
Nawaonea huruma wale ambao ni wajafazito na tarehe zao za makadirio ni mwezi wa 12. Ukisikia kujifungulia nyumbani ndio hiyo sasaMtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya
Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
Wanayo ila hujaupata ujumbe wanguUnadhani wanaoandana ndio hawana maisha magumu?
Wewe utabaki ndani kuniombea Dua nirudi salama🤣🤣🤣 Kitulambe wote
Watu wengine wana akili nzitoo, walimu wao walipata shida sana kuwafundisha a e i o uUkiwa na maana Maria Sarungi na Mange ndio wanaoteka na kuuwa watu.
Dhambi mtende wenyewe halafu zigo la lawamu muwaangushie wengine.
😊Nawaonea huruma wale ambao ni wajafazito na tarehe zao za makadirio ni mwezi wa 12. Ukisikia kujifungulia nyumbani ndio hiyo sasa
Bado lawama zinarudi kwa serikali. Wangeruhusu maandamano ya amani,na kuwapa escort waandamanaji. Uhalifu usingetokea au ungetokea kwa kiwango cha chini sana.Afadhali wewe umeona aisee
Asante Kwa kuelewa
Kizazi hiki hakipokei ujumbe ili wauelewe,Bali wanaupokea ili wajibu.
We appreciate what they do kama njia ya kujikomboa.na sio Kila mtu anapitia njia mororo na amefanikiwa kiasi kwamba atoke hapa akachote pesa bank,ajaze mazaga ndani,wengine unakuta hata jiko Hana bado.mambo ni mengi.na bado anapokaa pa low budget choo kipo nje atatamnai yamkute?
Kuna wengine wanauguza wagonjwa ndani wakipewa lockdown ya siku Tano watatokaje hata usafiri barabarani hamna?
Kuna wengine hawana ndugu hawana pa kwenda waende wapi?
Nlichoshauri ni kwamba wajitahidi kutumia busara na sio kuchoma maduka kama awali na zile riot ndo zinawapa ujasiri upande wa pili kuwacntrol Kwa nguvu..kama wamedhamiria Kwa amani waeenende Kwa amani lakini lolote linaweza kutokea.
Nawatakia Kila la heri
Hao ndo chanzo cha machafuko haihitaji uwe hata na Degree kulielewa hiliUkiwa na maana Maria Sarungi na Mange ndio wanaoteka na kuuwa watu.
Dhambi mtende wenyewe halafu zigo la lawamu muwaangushie wengine.
🤣🤣 Kwenda hukoWewe utabaki ndani kuniombea Dua nirudi salama
Uliona ni busara kwanza kuandamana siku ya uchaguzi mkuu?Bado lawama zinarudi kwa serikali. Wangeruhusu maandamano ya amani,na kuwapa escort waandamanaji. Uhalifu usingetokea au ungetokea kwa kiwango cha chini sana.
Shida hapa ni kwamba ukitoka tu serikali inapambana kukuumiza, ndo mana waandamanaji wanafanya wanayoyafanya ili kutoa hasira zao.
Pande zote walikoseaBado lawama zinarudi kwa serikali. Wangeruhusu maandamano ya amani,na kuwapa escort waandamanaji. Uhalifu usingetokea au ungetokea kwa kiwango cha chini sana.
Shida hapa ni kwamba ukitoka tu serikali inapambana kukuumiza, ndo mana waandamanaji wanafanya wanayoyafanya ili kutoa hasira zao.
Sisee Mungu awateteeeNawaonea huruma wale ambao ni wajafazito na tarehe zao za makadirio ni mwezi wa 12. Ukisikia kujifungulia nyumbani ndio hiyo sasa
Lakini uchaguzi haukuwa wa Haki.wangefanya Nini kuzuia uchaguzi uliogubikwa na wizi?Uliona ni busara kwanza kuandamana siku ya uchaguzi mkuu?