Mnaopanga kuandamana tena

Mnaopanga kuandamana tena

Kabla ya hayo maandamao mnapigwa lockdown. Fanya utaratibu kakope kwa mangi. Kukiwasha au kukinukisha hili halikwepeki.
Haiwezekani wauwe ndugu watupotezee.
Kila mtu kajeruhiwa awali..na Kila mtu anawish yasitokee Tena Yale mauwaji. Mimi sitamani wadogo zangu
 
Kushauri akili changa ni kazi sana.sitamani yatokee Yale ya wali
Usijali mimi ndo kiboko yao.

Hizi nyumbu ni muhimu sana kuuwawa zikibaki hai zitakusumbua kila siku kwahiyo acha ziandamane hiyo siku ziibe na kuharibu mali ili ziuwawe zimalizwe, Safari hii hatakufa tena asie na hatia kila nyumbu atakufa mbele ya mali aliyoiba au mali aliyoiharibu katika hilo hamna huruma.
 
Hawa vijana Wana jazba aisee na vibaka wakijichanganya watwapinza Tena kundi Zima.
Imagine Kwa Sasa Hali haijatengamaa.wengine tunapitia ups and down bado machafuko.sio tunaaford kujaza vya kula ndani
Najua Maisha magumu.
Najua nchi inapitia pagumu
Najua Wana Nia ya kujikomboa but busara itumike pande zote mbili.
Watafute haki Yao Kwa akili.wachcahe wakianza Tena mambo ya kuvunja maduka itakuwaje?
Kuna wajane,Kuna watoto hawana baba na ndo tegemeo.
Kweli kabisa tunapita pagumu kama taifa na mtu mmoja mmoja , kuna wengine mpaka kurudi kawaida si leo wala kesho ! Bado hakuja pambazuka vizuri wanataka kuliamsha tena?
 
Ulichokizungumza ni sahihi kabisa

Na watanzania wengi wako hivyo ndio maana wengine wanatumia fursa ya kuvunja maduka na ATM wapate chochote kitu badala ya kuandamana kufikisha ujumbe wao

Wengi wamekutukana na kukupa majibu ya hovyo hii inaonesha jinsi gani watu wa aina hii hata wakipata uongozi wanaoupigania watadharau piah sauti za wananchi wao wanyonge

Mmoja hapo amekutukana tusi kali sana halafu ni Diaspora huyo yeye hayupo hapa Tanzania hana experience ya ile lock down tuliokutana nayo hajui ile situation umelala ndani na risasi zinagonga kwenye ukuta wa nyumba tena usiku wa manane

Walio na vyoo vya nje walijisaidia kwenye ndoo hata ndani kutoka mtu unaogopa usije ukala chuma

Safari hii haitokuwa na shida sana kwa sababu cha kwanza watu watakuwa wachache sana hata naowafahamu ambao walitoka mwanzoni hakuna anayetamani kurudi tena

Wamama wanawasihi waume zao hiyo siku hamna kutoka kwenda popote na wengi washaanza mipango kwenda vijijini kusalimia

Hiki kipindi kifupi jichange change usogee mahali ambapo unahisi hapatokuwa na kashikashi au hata kukiwa na kashikashi basi kuwepo na mahitaji ya kujitosheleza either iwe kwa ndugu au hata marafiki
Unajidanganya sana chawa watu watakuwa wengi zaidi na walivyokua mwanzo endeleeni kushupaza shingo
 
Wewe mwenye maisha magumu ndio unatakiwa uwe frontline 9D.

Fikiria una maisha ya kuungaunga halafu fisadi na mwizi said lugumi anakuonesha yard yake ya magari ya thamani alioifunga kiyoyozi.

Gari ya bei ya chini milioni mia nne ambazo amezipata kifisadi.

Ujakaa sawa unamuona mtoto wa mkurugenzi wa usalama wa taifa anachezea dola laki 3 ambazo ni milioni 700 na ushee za kitanzania.

Hiyo haitoshi anakuonesha na dole la kati kabisa kama ishara ya matusi na huna la kumfanya.

Hapo bado ujaongelea rozi rozi la Abdul la billion 2 na ushee na manunuzi yake ya tiles za bilioni 2 na milioni mia nne ambazo zote zimepatikana kifisadi.

Kwa hali kama hiyo unaanzaje kulala ndani?

Toka tukaikomboe nchi yetu.

Toka tukawsshikishe adabu watekaji na wauaji.

Usiogope wao ni binadamau kama sisi.

Wanaumia na kufa kama sisi.

Ndio maana maandamano yaliyopita kuna wengine baada ya kuzidiwa na wananchi walivua gwanda zao na kukimbia.

Naomba tutoke 9D nguvu yako inahitajoka sana.

#9D save the date.

#Aluta continua.
Siku hizi kumbe dola laki 3 = na milioni 700 za kitanzania??
 
Back
Top Bottom