Mnaopanga kuandamana tena

Mnaopanga kuandamana tena

Ulichokizungumza ni sahihi kabisa

Na watanzania wengi wako hivyo ndio maana wengine wanatumia fursa ya kuvunja maduka na ATM wapate chochote kitu badala ya kuandamana kufikisha ujumbe wao

Wengi wamekutukana na kukupa majibu ya hovyo hii inaonesha jinsi gani watu wa aina hii hata wakipata uongozi wanaoupigania watadharau piah sauti za wananchi wao wanyonge

Mmoja hapo amekutukana tusi kali sana halafu ni Diaspora huyo yeye hayupo hapa Tanzania hana experience ya ile lock down tuliokutana nayo hajui ile situation umelala ndani na risasi zinagonga kwenye ukuta wa nyumba tena usiku wa manane

Walio na vyoo vya nje walijisaidia kwenye ndoo hata ndani kutoka mtu unaogopa usije ukala chuma

Safari hii haitokuwa na shida sana kwa sababu cha kwanza watu watakuwa wachache sana hata naowafahamu ambao walitoka mwanzoni hakuna anayetamani kurudi tena

Wamama wanawasihi waume zao hiyo siku hamna kutoka kwenda popote na wengi washaanza mipango kwenda vijijini kusalimia

Hiki kipindi kifupi jichange change usogee mahali ambapo unahisi hapatokuwa na kashikashi au hata kukiwa na kashikashi basi kuwepo na mahitaji ya kujitosheleza either iwe kwa ndugu au hata marafiki
Afadhali wewe umeona aisee
Asante Kwa kuelewa
Kizazi hiki hakipokei ujumbe ili wauelewe,Bali wanaupokea ili wajibu.
We appreciate what they do kama njia ya kujikomboa.na sio Kila mtu anapitia njia mororo na amefanikiwa kiasi kwamba atoke hapa akachote pesa bank,ajaze mazaga ndani,wengine unakuta hata jiko Hana bado.mambo ni mengi.na bado anapokaa pa low budget choo kipo nje atatamnai yamkute?
Kuna wengine wanauguza wagonjwa ndani wakipewa lockdown ya siku Tano watatokaje hata usafiri barabarani hamna?
Kuna wengine hawana ndugu hawana pa kwenda waende wapi?
Nlichoshauri ni kwamba wajitahidi kutumia busara na sio kuchoma maduka kama awali na zile riot ndo zinawapa ujasiri upande wa pili kuwacntrol Kwa nguvu..kama wamedhamiria Kwa amani waeenende Kwa amani lakini lolote linaweza kutokea.

Nawatakia Kila la heri
 
Dah!! Mama mkwe nakuelewa tena nakuelewa sana, lakini kinachoniuma zaidi ni hawa walio madarakani, je wanawakumbuka watu kama nyinyi, kodi zetu wanazochukua na mali zetu za asili zilizojaa nchini, zinakunufaisha mkwe wangu kipenzi..
Kila jambo lina athari zake..
Pole sana mkwe, sitamani uteseke hope unajua hilo.
Asante ba mkwe.
The struggle is real out there.
Tutaponea wapi na bado tuna ndoto na malengo tunahitaji tutimize.
Kila upande una umuhimu wake.
Vyovyote itavyokuwa ndo hivohivo
Nimejiandaa
 
Vumilia kidogo acha nyumbu ziandamane kuiba na kuharibu mali za watu ili ziuwawe maana hazistahili kubaki hai, kinachotafutwa ni justification ya kuwauwa hadi kuwamaliza kwahiyo acha waandamane ili wamalizwe.

Kwahiyo vumilia kula mandazi operation hii ya nyumbu kuliwa na mamba haitumia siku nyingi ni siku mbili tu
 
Vumilia kidogo acha nyumbu ziandamane kuiba na kuharibu mali za watu ili ziuwawe maana hazistahili kubaki hai, kinachotafutwa ni justification ya kuwauwa hadi kuwamaliza kwahiyo acha waandamane ili wamalizwe.

Kwahiyo vumilia kula mandazi operation hii ya nyumbu kuliwa na mamba haitumia siku nyingi ni siku mbili tu
Mkuu mi simo😄
Nimeoga matusi ya kutosha huko juu
 
Kweli kabisa Abigail, umeongea really ya maisha yetu kwa ujumla .
Ile ya kwanza imetosha kabisa kufikisha ujumbe .
Kwa sasa hali ni ngumu sana aisee heri wasitishe.
Hapana haijatosha acha nyumbu zitoke kuiba na kuharibu mali za watu ili zimaliziwe operation ya kuuwa nyumbu ni ya muhimu sana katika nchi hii serekali haitakiwi kuwa na huruma na nyumbu yoyote.
 
Mkuu mi simo😄
Nimeoga matusi ya kutosha huko juu
Usijali mimi ndo kiboko yao.

Hizi nyumbu ni muhimu sana kuuwawa zikibaki hai zitakusumbua kila siku kwahiyo acha ziandamane hiyo siku ziibe na kuharibu mali ili ziuwawe zimalizwe, Safari hii hatakufa tena asie na hatia kila nyumbu atakufa mbele ya mali aliyoiba au mali aliyoiharibu katika hilo hamna huruma.
 
Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya

Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
Kabla ya hayo maandamao mnapigwa lockdown. Fanya utaratibu kakope kwa mangi. Kukiwasha au kukinukisha hili halikwepeki.
Haiwezekani wauwe ndugu watupotezee.
 
Back
Top Bottom