NGERESHAA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,292
- 1,793
Unatakiwa uwe mstari wa mbele kwenye Maandamano, usife kizembe au kindezi na njaa.
Ukifa kwenye maandamano wewe ni shujaa wa Taifa.
Tukifanikiwa watakao baki wanatakiwa wafukue makaburu yote ya mashujaa wazike upya na Mizinga ipigwe100, (Mia).
Hapo ni kama unaomba Maisha Mrefu alafu ya tabu
Ukifa kwenye maandamano wewe ni shujaa wa Taifa.
Tukifanikiwa watakao baki wanatakiwa wafukue makaburu yote ya mashujaa wazike upya na Mizinga ipigwe100, (Mia).
Hapo ni kama unaomba Maisha Mrefu alafu ya tabu