Mnaopanga kuandamana tena

Mnaopanga kuandamana tena

Unatakiwa uwe mstari wa mbele kwenye Maandamano, usife kizembe au kindezi na njaa.
Ukifa kwenye maandamano wewe ni shujaa wa Taifa.
Tukifanikiwa watakao baki wanatakiwa wafukue makaburu yote ya mashujaa wazike upya na Mizinga ipigwe100, (Mia).

Hapo ni kama unaomba Maisha Mrefu alafu ya tabu
 
Kwanza hili jina la Abigael halikufai badilisha kwanzia leo, jiite hata Wanu au Wanyuko.

Abigael alikuwa ni mwanamke jasiri sana ndio maana alimuokoa mume wake mjinga mjinga na wenzake waliokuwa wanasubiria kifo kwenye mikono ya mfalme dhalimu Daudi.

Sasa ilipaswa na wewe kama symbolic reincarnation ya Abigael uwe ni miongoni mwa wadai haki hiyo 9 December kwa manufaa ya familia yako na vizazi vyako na sio kusambaza uwoga hapa.

....nadhani umesikia lile Zimwi la kizanzibar wakati linahutubia leo, eti linasema rasilimali tulizonazo hazitoshi kutuletea maendeleo itabidi tukope tu...

...sasa hata wewe kwa akili yako unaona hii nchi ina rasilimali chache? Nchi hii ambayo ina utitiri wa rasilimali kila unapokanyaga leo hii unaambiwa eti hazitoshi kukuletea maendeleo, hivyo uendelee tu kushindia maandazi..

Sasa hiyo ndio serikali unayotaka ikuongeze kwa miaka mingine mitano? Hebu acha kuwapa ushindi hawa wadhalimu dada, jiandae tukaikomboe nchi.
 
Haya Sasa mshaambiwa wahisani hawatoi hata Senti
Kwakuwa Samia kaauwa watu
Utakula Nini ukibaki ndani
Unaenda kuongezewa Kodi kwenye vyakula, nauli, mtandao, n. K
 
Aikiingia mfano tundu lissu madarakani nae akabehave hivohivo watasemaje mfano😊
Lissu atakuta mifumo ya kumbana kimaamuzi na kiutendaji imemtangulia. Mambo ya kinga ya rais hakuna tena. Mambo ya kutoshtakiwa hata kama ufanye madudu kiasi gani hakuna tena. Mambo ya rais kuwa 'mungu mtu' hakuna tena. Ni mwendo wa adabu mbele,kiburi nyuma.

Nchi imara inajengwa kwa mifumo imara inayowafanya watu wawe na nidhamu imara. Mifumo(misingi) ikiwa mibovu hata watu wema hugeuzwa kuwa waovu.

Ni upumbavu kuweka Chakula kisafi kwenye sahani chafu!
 
Kwanza hili jina la Abigael halikufai badilisha kwanzia leo, jiite hata Wanu au Wanyuko.

Abigael alikuwa ni mwanamke jasiri sana ndio maana alimuokoa mume wake mjinga mjinga na wenzake waliokuwa wanasubiria kifo kwenye mikono ya mfalme dhalimu Daudi.

Sasa ilipaswa na wewe kama symbolic reincarnation ya Abigael uwe ni miongoni mwa wadai haki hiyo 9 December kwa manufaa ya familia yako na vizazi vyako na sio kusambaza uwoga hapa.

....nadhani umesikia lile Zimwi la kizanzibar wakati linahutubia leo, eti linasema rasilimali tulizonazo hazitoshi kutuletea maendeleo itabidi tukope tu...

...sasa hata wewe kwa akili yako unaona hii nchi ina rasilimali chache? Nchi hii ambayo ina utitiri wa rasilimali kila unapokanyaga leo hii unaambiwa eti hazitoshi kukuletea maendeleo, hivyo uendelee tu kushindia maandazi..

Sasa hiyo ndio serikali unayotaka ikuongeze kwa miaka mingine mitano? Hebu acha kuwapa ushindi hawa wadhalimu dada, jiandae tukaikomboe nchi.
Naunga mkono hoja.
 
Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya

Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
toka ukaandamane acha kuwa
Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya

Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
toka tukaandamane watu kama nyie ndio ccm inawatumia kuendelea kuuwa ndugu zetu bila woga 9/12/ tukutane barabarani wahini wauwaji wa ccm laazima waishi kwa tabu kama watz tunavyo ishi kwa tabu saizi
 
Vumilia kidogo acha nyumbu ziandamane kuiba na kuharibu mali za watu ili ziuwawe maana hazistahili kubaki hai, kinachotafutwa ni justification ya kuwauwa hadi kuwamaliza kwahiyo acha waandamane ili wamalizwe.

Kwahiyo vumilia kula mandazi operation hii ya nyumbu kuliwa na mamba haitumia siku nyingi ni siku mbili tu
Safari hii hata muandamanaji mmoja akiuawa nyie machawa wote mnauawa
 
Back
Top Bottom