Mnaopanga kuandamana tena

Mnaopanga kuandamana tena

Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya
Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
Hayo yote uliyoandika ni machache miongoni mwa mengi yanayosababisha maandamano ya 9/12. Kwa vile wewe unaumwa, baki uombee tunaotoka.
Kikiumana ukafa, itakuwa umekufa kishujaa na utakumbukwa kati ya walioipambania HAKI.
 
Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya
Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
Haya maombi yalipaswa uyafikishe kwa JIMAMA Samia ili aachie nchi kwa amani.. vinginevyo utaishi hayo maisha magumu unayolalamikia leo miaka kwa miaka, na watoto na wajukuu na vitukuuu,... vilembwe na vining'ina vikija vitakojolea kaburi LAKO kwa kutochukua hatua na wenzako tarehe 09 Disemba 2025.
 
Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya
Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
Kweli kabisa Abigail, umeongea really ya maisha yetu kwa ujumla .
Ile ya kwanza imetosha kabisa kufikisha ujumbe .
Kwa sasa hali ni ngumu sana aisee heri wasitishe.
 
Haya maombi yalipaswa uyafikishe kwa JIMAMA Samia ili aachie nchi kwa amani.. vinginevyo utaishi hayo maisha magumu unayolalamikia leo miaka kwa miaka, na watoto na wajukuu na vitukuuu,... vilembwe na vining'ina vikija vitakojolea kaburi LAKO kwa kutochukua hatua na wenzako tarehe 09 Disemba 2025.
Kwa maandamano ya amani yule aachie nchi
Mnafanya mchezo nyie
Mnajua uzito wa madaraka anayobeba?
Aachie kirahisi hivo?
 
Mtufikirie na sisi tunaoishi Maisha magumu...tunaoshindia maandazi na maji na bado na bado tunategemea kudra wengine tunajitegemea huku tuna challenge za kiafya
Vikiumana huko mtatuua wenzenu🥲
Sister kwanni uishi maisha magumu au umesahau kauli y alhaji Al Hassan Mwinyi "Uchumi unao umeukalia".
 
Kweli kabisa Abigail, umeongea really ya maisha yetu kwa ujumla .
Ile ya kwanza imetosha kabisa kufikisha ujumbe .
Kwa sasa hali ni ngumu sana aisee heri wasitishe.
Hawa vijana Wana jazba aisee na vibaka wakijichanganya watwapinza Tena kundi Zima.
Imagine Kwa Sasa Hali haijatengamaa.wengine tunapitia ups and down bado machafuko.sio tunaaford kujaza vya kula ndani
Najua Maisha magumu.
Najua nchi inapitia pagumu
Najua Wana Nia ya kujikomboa but busara itumike pande zote mbili.
Watafute haki Yao Kwa akili.wachcahe wakianza Tena mambo ya kuvunja maduka itakuwaje?
Kuna wajane,Kuna watoto hawana baba na ndo tegemeo.
 
@Sister Abigail
alimuokoa mumewe asiuuwawe na mfalme Daud
Acha uwoga toka ukapambane hta ukikaa ndani watakufuata

Bora uingie road upambanie nchi yako.
9dec...
Alitumia busara sio mihemko lakini.unakumbuka?
Sasa nyie najua mnasema ya amani amani mkikanyaga tu lami mkiona kijani kibicho vinawapanda mnaanza...
 
Back
Top Bottom