MMU hot talk

....na kwa taarifa yako haji..........(imekura kwako),.....kapeleka familia yake ''picnic''

Too bad he came! hahaaaaaaaa! We siku jaribu kufanya ubaya uone kama utakwamaaa! sucess level 100% Shetani anakusaidia ili akuchome vizuri!
 
Too bad he came! hahaaaaaaaa! We siku jaribu kufanya ubaya uone kama utakwamaaa! sucess level 100% Shetani anakusaidia ili akuchome vizuri!

Na uende ibadani..ujute na kutubu...usisingizie hangover ya upweke wa jana...
 
Bonge la swali isije kuwa anaangalia upande wake tu
 
Jifunze kujibu maswali kwa usahihi, nimekuuliza wewe ni malaika?

Unadhani wewe hauitaji toba kwa madhambi uliyonayo?

Nawe jifunze kutoa UTATA katika tungo tata..
Swali lenye dhima ya kudhani si swali...
 
Haahahaaaaaa! Ile ilipata REPORT ABUSE 500, Tukapigwa BAN kuanzia HOST, MGENI, FUNDI MITAMBO, HAT SISIMIZI ALIEKATIZA ULE UZI ALIPIGWA BAN! Hahahaaaaaaaa! Na uzi uadilitiwa PERMENENTLY kwenye saver za MMU! Hahahaaaaa!

Mods aliyeyafanya hayo mimi namchukulia ni mshamba fulani tu, walioleta fujo kwenye uzi wanajulikana why us?

Kama kuna mod kilaza anadhani tutajikomba kwake kwa ban za kiboyaboya kama hizi anajidanganya mwenyewe.
 
Kwamba Mungu alikuandikia utoke na Mume wa mtu? Huyo atakuwa ni Mungu magumashi na siyo Yehova.

Maisha ni safari ndefu sana, kufika panapositahili utapitia vingi kwangu ili nimoja ya ngazi kufika napopataka.
 
angelita, nami nakuswali swali..


Nu kitu gania ambayo huyo "Bonge la bwana" alikufanyia ukajuta kuwa naye?? Thou haikuleta mtafaruku mkubwa ila ikakuumiza sana???
 
Last edited by a moderator:
angelita umri ulionao ndio unaandaa future yako mwenyewe, mwanamke ana umri wa kuwa kwenye soko na kuweza kudenguwa lakini kama kwa hiyari yako ujana wako umeamuwa kuspenda na mume wa mtu basi faida yake utaiona tu. All the best.
 
Last edited by a moderator:
angelita umri ulionao ndio unaandaa future yako mwenyewe, mwanamke ana umri wa kuwa kwenye soko na kuweza kudenguwa lakini kama kwa hiyari yako ujana wako umeamuwa kuspenda na mume wa mtu basi faida yake utaiona tu. All the best.

Nitakuwa mjinga kiasi gani kutokufikiria future yangu, kwani Mimi siitaji kuwa na familia yangu, Matola hadithi yangu tofauti na zingine, nimekuwa na huyu mtu kwa miaka 3 sasa, baada ya miaka 2 ya mahusiano ndo nilijua kama ana mke tena baada ya mke wake kunitafuta ingawa yeye miaka yote alitambua uwepo wangu, na miaka yote 2 najulikana na wazazi na ndugu zake.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…